LGE2024 Fanuel Siyame aapa kuing’oa CCM Momba, CHADEMA kushinda kwa kishindo

LGE2024 Fanuel Siyame aapa kuing’oa CCM Momba, CHADEMA kushinda kwa kishindo

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mtia nia wa nafasi ya Ubunge Jimbo la Momba kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Fanuel Siyame akiwa katika ziara ya kuwanadi wagombea wa Vijiji na Vitongoji wa chama hicho katika mikutano ya Kampeni, ameeleza namna Chama cha Mapinduzi kilivyoshindwa kutekeleza Ilani yake jimboni humo kwa kushindwa kutatua kero mbalimbali zinazowakabili wananchi ikiwemo ukosefu wa maji safi na Salama, Ubadhirifu wa fedha za umma katika Ofisi za Vijiji na Vitongoji, ushuru kandamizi kwa wakulima na wafanyabiashara wa mazao ya kilimo katika Vijiji na Vitongoji, miundombinu mibovu ya barabara.

Pia Siyame amesema licha ya kuenguliwa kwa wagombea wao katika baadhi ya Vijiji na Vitongoji na huko kusikokuwa na wagombea kupiga kura za hapana ii uchaguzi wa huo uwe na Marudio.

Amewasihi wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura kwa siku ya tarehe 27/11/2024.
IMG_0876.jpeg
 
Hata babake aliapa na kukiapiza na akatoka Kala

USSR
 
Hata babake aliapa na kukiapiza na akatoka Kala

USSR
Na mamako hakuapa kuwa uchaguz utakuwa huru ameishia kutumia form four wamnusuru, ccm imejaa majinga majinga ndio maana mnaishia kwenda Kwa pididy.
 
Back
Top Bottom