pelius laurent
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 331
- 601
Offline ❌🥶
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inapendeza sana
Upo mkoa gani na ni lipa ya mtandao upi?Mimi nnayo lipa namba,lakini Kila nikienda kutoka Hela inakatwa? je ni kweli lipa namba ni Bure kuweka na kutoka?
Hizo vodashops ndo zimetuamini na kutupa kazi hiyoNashauri mtu aende vodashops au service desks zilizoenea nchi nzima.
Zina gharama kubwa siku hizi. Bora kupokea Cash Mteja anayelipa anakatwq charges. Wewe piya ukienda kutoka or kuhamisha Kuna charges. Ina Double chargesMimi nnayo lipa namba,lakini Kila nikienda kutoka Hela inakatwa? je ni kweli lipa namba ni Bure kuweka na kutoka?
mkuu hapa unamaanisha nini?🤗Line ya Lipa namba inakuwezesha kutoa pesa kwa wakala yeyote bila ya kuwa na makato YEYOTE
Lazima ukatwe Hii huduma inatumaliza taratibu. Juzi nilikuwa. Nataka kulipia bidhaa ya Tshs 57000/ na kwenye Simu nilikuwa na 60,000/ Bado ikagoma kuwa Salio langu halitoshi kulipia hiyo helamkuu hapa unamaanisha nini?
Je nikiwa na shilingi elf1 ninaweza kutoa elf1 yote?
ndio maana nikamuuliza hivyo. Ila elf57 halafu una 60k imegoma mimi najuaga wanakata lakini si mpaka elf3 nzima. Au ilikuwa ni mtandao tu mkuu?Lazima ukatwe Hii huduma inatumaliza taratibu. Juzi nilikuwa. Nataka kulipia bidhaa ya Tshs 57000/ na kwenye Simu nilikuwa na 60,000/ Bado ikagoma kuwa Salio langu halitoshi kulipia hiyo hela
Haliteli kulipia lipa number ya Vida.ndio maana nikamuuliza hivyo. Ila elf57 halafu una 60k imegoma mimi najuaga wanakata lakini si mpaka elf3 nzima. Au ilikuwa ni mtandao tu mkuu?
ngoja tusubiri majibu yakeHa
Haliteli kulipia lipa number ya Vida.
Angalia tarriff zao zipo juu sana
Ndio inatoka yote kabisaaa na wakala hakukati hata senti lakini kwa siku uwe muamala mmoja wa kutoa ila ukizidi muamala mmoja kwa siku ndo unakatwa, yaani kuanzia ule wa pili na kuendelea maana yake wa kwanza hautokatwa ila kuanzia wa pili ndo utakatwa na hilo sidhani kama linaweza kumshinda mtumkuu hapa unamaanisha nini?
Je nikiwa na shilingi elf1 ninaweza kutoa elf1 yote?
Je, wewe ulikua una laini ya lipa? Au laini ya kawaida? Maana laini ya kawaida hiyo unakatwa lakini ni gharama kidogo sana tofauti na ile ungeenda kwa wakala kutoa hela na uje kulipia hiyo bidhaa ulonunua kwa cash ila ukiwa una laini ya lipa haukatwi hata senti kwa muamala mmoja kwa siku NADHANI HAPO UMENIPATA BOSS labda kama hutumii voda maana nasikia mitandao mingine ndo wanakata japo sina uhakika sana kwa sababu mimi nashughulika na Voda tuLazima ukatwe Hii huduma inatumaliza taratibu. Juzi nilikuwa. Nataka kulipia bidhaa ya Tshs 57000/ na kwenye Simu nilikuwa na 60,000/ Bado ikagoma kuwa Salio langu halitoshi kulipia hiyo hela
Kama ni laini ya kawaida na analipia bidhaa wanamkata 1700Tsh tu kuanzia 50,000Tsh hadi 99,999Tsh ila angekua na laini ya lipa asingekatwa hata miandio maana nikamuuliza hivyo. Ila elf57 halafu una 60k imegoma mimi najuaga wanakata lakini si mpaka elf3 nzima. Au ilikuwa ni mtandao tu mkuu?
aiseeee mbona nishazunguka sehem zote wanasema huwezi kutoa pesa yote iliyopo? Kwan ni nchi gani hiyo unazungumzia?Ndio inatoka yote kabisaaa na wakala hakukati hata senti lakini kwa siku uwe muamala mmoja wa kutoa ila ukizidi muamala mmoja kwa siku ndo unakatwa, yaani kuanzia ule wa pili na kuendelea maana yake wa kwanza hautokatwa ila kuanzia wa pili ndo utakatwa na hilo sidhani kama linaweza kumshinda mtu
Upo mkoa gani kiongoziaiseeee mbona nishazunguka sehem zote wanasema huwezi kutoa pesa yote iliyopo? Kwan ni nchi gani hiyo unazungumzia?
Sasa kama ni wa kwanza kwann useme haukatwi kabisa katika maelezo yako? Sema kukatwa kupo
Na nimefungua lipa zaidi ya 50 na zote hamna mtu anaekuja na malalamiko ya kukatwa labda mawakala unapoenda kutoa ndo wanakukata kwa manufaa yao kwasababu endapo una laini ya lipa na ukatoa hela kwa wakala, huyo huyo wakala mwisho wa mwezi anapokea kamisheni yake sasa anapokukata maana yake anajipa faida mala mbiliaiseeee mbona nishazunguka sehem zote wanasema huwezi kutoa pesa yote iliyopo? Kwan ni nchi gani hiyo unazungumzia?
Sasa kama ni wa kwanza kwann useme haukatwi kabisa katika maelezo yako? Sema kukatwa kupo