HadithiZaRuvuly
JF-Expert Member
- Apr 16, 2014
- 369
- 114
Zipo nyingi nyingi lakin nyingi ni biashara za nguo vitengeunauza nimi? biashara gani
ok na mie nauza pia vitengeZipo nyingi nyingi lakin nyingi ni biashara za nguo vitenge
kama hutaki kusugua bench atasugua gagaNifanyebiashara nawewe kwa misingi ipi,weka waz bishara unazofanya na faida zinazopatikana utawanasa watu kiraisi otherwise utasugua bench.
Ahsante kwa ushaur nduguNifanyebiashara nawewe kwa misingi ipi,weka waz bishara unazofanya na faida zinazopatikana utawanasa watu kiraisi otherwise utasugua bench.
Upo wap weweok na mie nauza pia vitenge
Shuka toka kigomaUkiacha vitenge unauza nn kingine?
Hakuna biashara magendo alafu ikatangazwa rekebisha kauli hiyo mkuuMojawapo ya dalili za kufeli unapoanzisha biashara ni kutojua ni kitu gani unafanya......hii hufanya wadau wapate shida kujua unadeal na nini kama labda pengine biashara yako ni ya magendo au ni halala....