Fanya haya kila ununuapo mtungi wa gesi ya kupikia majumbani

Fanya haya kila ununuapo mtungi wa gesi ya kupikia majumbani

- Weka umakini katika rangi ya moto wa gesi uliopo kwenye jiko lako.

View attachment 3092354
* Kama moto una rangi ya bluu inamaanisha kila kitu kipo vizuri na joto linalozalishwa na huo moto ni nyuzi joto kuanzia 1,500°C hadi 1,700°C


* Kama moto wako ni mwekundu au rangi ya chungwa, hii (inawezekana*) umeuziwa gasi iliyochanganywa na gesi ya Oksijeni kwa kiwango kikubwa hali hii itakupa uzito ule ule wa mtungi ila itakupelekea kupata moto wenye jororidi ndogo au pungufu kwa nyuzi joto 900°C hadi 1,200°C. Hii ina maana gani? Ni kwamba utahitaji kufungua gesi zaidi kwenye valvu yako, matumizi yatakuwa makubwa kuliko uhalisia na kukufanya umalize gesi kwa muda mfupi.

#Lakini pia tambua: Upungufu wa hewa ya oksijeni kwenye chumba unacho-pikia inaweza kusababisha gesi yako kubadilika rangi. Sehemu unapopikia hakikisha kuna mzunguko mzuri wa hewa ya oksijeni ili kurahisisha uchomaji mzuri wa gesi ya kupikia.
Endapo gesi hii isipochomeka vizuri basi huweza kusababisha uzalishaji wa hewa sumu inayojulikana kama Carbon monoxide.

KUMBUKA: Unatakiwa kila mara kufungua milango na madirisha sehemu unayotumia kupikia ili kuruhusu mzunguko wa oxygen ndani.
Unafaham majiko ya pinetech?
Yale yanatoa moto mwekundu na ni too hot.

Haina flame ya blue kamwe ile jiko.

Naomba ueleze hii case kwenye pinetech.
 
Basi nishapigwa sana, japo orxy huweka seal leak ni nikiweka mtu bila kuutikisa kwanza moto hauwaki na gesi inatoka. So nachofanya ni kuutikisa Kwa sekunde kadhaa kama naulaza baada ya hapo moto huwaka lakini njano always IPO.

Napata somo hapa inawezekana oxygen ni nyepesi zaidi ya gesi inayowaka, hivyo hukaa juu ya mtungi.
 
Serikali kupitia tbs watoe elimu kuhusu hizi gesi zinazouzwa kwa mangi zinapaswa ziweje. Watu wanaibiwa mno!

Au wenye makampuni ya gesi watoe elimu gesi zao zinaponunuliwa kwa mangi kama zina rangi tofauti basi zirudishwe. Uone kama uswahili utakuwepo tena.


au raia wasusie duka/ brand za mitungi ya gesi zenye mapungufu hayo afu tuone nani atakufa kibudu.

Hii nchi kila mtu mwizi si ccm si wafanyabiashara.
 
Pia chini ya jiko lako la kupikia (PLATE) kuna Sehemu ya ku regulate uwiano wa kiwango cha gas na oxygen,ukiona moto bi njano au sufura zinakuwa na moshi inawezekana kabisa uwino wa gas na oxygen sio mzuri,inua jiko rekebisha.
Hii inategemeana na aina ya jiko unalotumia kwa wale wa plate zingatia hili
 
- Weka umakini katika rangi ya moto wa gesi uliopo kwenye jiko lako.

View attachment 3092354
* Kama moto una rangi ya bluu inamaanisha kila kitu kipo vizuri na joto linalozalishwa na huo moto ni nyuzi joto kuanzia 1,500°C hadi 1,700°C


* Kama moto wako ni mwekundu au rangi ya chungwa, hii (inawezekana*) umeuziwa gasi iliyochanganywa na gesi ya Oksijeni kwa kiwango kikubwa hali hii itakupa uzito ule ule wa mtungi ila itakupelekea kupata moto wenye jororidi ndogo au pungufu kwa nyuzi joto 900°C hadi 1,200°C. Hii ina maana gani? Ni kwamba utahitaji kufungua gesi zaidi kwenye valvu yako, matumizi yatakuwa makubwa kuliko uhalisia na kukufanya umalize gesi kwa muda mfupi.

#Lakini pia tambua: Upungufu wa hewa ya oksijeni kwenye chumba unacho-pikia inaweza kusababisha gesi yako kubadilika rangi. Sehemu unapopikia hakikisha kuna mzunguko mzuri wa hewa ya oksijeni ili kurahisisha uchomaji mzuri wa gesi ya kupikia.
Endapo gesi hii isipochomeka vizuri basi huweza kusababisha uzalishaji wa hewa sumu inayojulikana kama Carbon monoxide.

KUMBUKA: Unatakiwa kila mara kufungua milango na madirisha sehemu unayotumia kupikia ili kuruhusu mzunguko wa oxygen ndani.
Asante, ila sasa kama siyo wa buluu ninatakiwa nifanye nini? Niupeleke TBS? Au Tume ya Ushindani?
 
Halafu utasikiakwenye majukwaa na siasa zao za tutumie nishati safi ya kupikia wakati wameshindwa kushughulikia kwanza upatikanaji, ubora wake na gharama za hiyo nishati safi hasa sehemu za vijijini hasa kule Kantalamba na Kizuramimba, Nyathorongo, Nyamunga,Mirare, Mkoma
 
- Weka umakini katika rangi ya moto wa gesi uliopo kwenye jiko lako.


* Kama moto una rangi ya bluu inamaanisha kila kitu kipo vizuri na joto linalozalishwa na huo moto ni nyuzi joto kuanzia 1,500°C hadi 1,700°C

* Kama moto wako ni mwekundu au rangi ya chungwa, hii (inawezekana*) umeuziwa gasi iliyochanganywa na gesi ya Oksijeni kwa kiwango kikubwa hali hii itakupa uzito ule ule wa mtungi ila itakupelekea kupata moto wenye jororidi ndogo au pungufu kwa nyuzi joto 900°C hadi 1,200°C. Hii ina maana gani? Ni kwamba utahitaji kufungua gesi zaidi kwenye valvu yako, matumizi yatakuwa makubwa kuliko uhalisia na kukufanya umalize gesi kwa muda mfupi.

#Lakini pia tambua: Upungufu wa hewa ya oksijeni kwenye chumba unacho-pikia inaweza kusababisha gesi yako kubadilika rangi. Sehemu unapopikia hakikisha kuna mzunguko mzuri wa hewa ya oksijeni ili kurahisisha uchomaji mzuri wa gesi ya kupikia.

Endapo gesi hii isipochomeka vizuri basi huweza kusababisha uzalishaji wa hewa sumu inayojulikana kama Carbon monoxide.

KUMBUKA: Unatakiwa kila mara kufungua milango na madirisha sehemu unayotumia kupikia ili kuruhusu mzunguko wa oxygen ndani.
Niwe mkweli tu mara ya mwisho kuuona huu mwangaza wa blue ni enzi hizo gesi inaingia ingia na nilijua sababu ndio kitu kigeni hivyo nikawa natazama kwa makini nikihofia kulipuka


Sasa hivi sioni kitu hiko na natumia kampuni inayoanza na O na rangi yake ni msimbazi, kuhusu hewa mzigo hata nikiuwasha hapa nje kabisa bado rangi ni ya pili


Sisemi kitu ila Ok🤣, kama ni kweli sishangai maana TZ janja janja nyingi faida kwanza mengine baadae

Na Mlaji wa mwisho ndio mtaji mkuu
 
Back
Top Bottom