Fanya haya ukiwa ugenini.

Fanya haya ukiwa ugenini.

Leo kumbe ni J'pili..!?mada murua unatoa J'pili?
 
Ukiwa ugenini kamwe usithubutu kubakisha chakula hata kama ni kingi kiasi gani ,,ukibakisha utamsononesha mpishi atajiona hajui kupika.

Pia usiagize maji ya dukani,kunywa yale yale utakayopewa,ukikataa watahisi umewadharau .
Toka umezaliwa Leo ndyo umeongea point
 
Back
Top Bottom