Fanya haya unapoona hali yako ya maisha ni mbaya au umasikini umezidi

Umasikini ni matokeo ya tabia.
Kuna Tabia za kimasikini na Tabia za kitajiri
 
Muombe Mungu akupe maarifa mapya ili uyatazame maisha katika mtazamo mpya
 
Yote yanatatuliwa na kupata kipato, omba msaada wa ajira,shughuri ya kukuingizia kipato,
Ukiwa maskini, Mambo yote mabaya, yatakupata, ukiwa na hasira, watasema una mapepo, watoto wakiferi mitiani, wanasema wamelogwa waperekwe kwa mwamposa kuombewa, kumbe watoto wana kuwa na njaa huko st kayumba, kila siku kutembea km 5 kwenda shule, nyumbani ugari na majani, nyama maziwa mpaka siku kuu, hapo ubongo utafanyaje kazi?
Kuomba msaada ni jambo muhimu Sana, omba hata kwa usie mjua, jirani,
Kwa, uhaba wa fulsa hapa nchini, inahitaji connection kuzipata hizo chache,
Pili vijana mnaopokea boom, hakikisha unapata passport,na unakuwa na driving licence, kabla hujaingia kitaa,
Kitaani, ni Vita,inabidi upigane kama Wagner ya mzee prighozn, usiwe kama jwtz kufata sheria, pigana kama mamluki!
 
unapoona maisha magumu cha kwanza muelekee Allah.,umuombe msamaha kwa mabaya na umshukuru kwa yote mazuri aliyokufanyia mpaka kufikia hapo muombe akutilie wepesi katika magumu unayopitia akupe afya njema na abariki shughuli au kaz unayofanya ili iwe na tija kama kazi hauna tafuta au omba msaada jiepushe na madeni jiepushe na matumiz mabaya ya fedha kama ulevi kamari uzinz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…