Mnyiramba
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,141
- 3,119
Wengi wetu tukitaka kuanza biashara wazo la kwanza kabisa tunawaza faida!
Ndio ni faida mtu wangu!
Lakini kwa mfanyabiashara aliyekomaa kabla hajaanza biashara anafikiria kwanza ni kwa namna gani mtaji wake utakuwa salama!
Sasa hapa ndio nafananisha mpira na biashara!
Kwenye mpira timu yeyote inayojitambua ni lazima wafikirie kwanza ni kwa namna gani watazuia wasifungwe kabla ya kuwaza ni kwa namna gani watapata goli!
Hivi ushawahi kujiuliza ni kwanini matapeli wanapata watu wengi sana wa kuwatapeli!?,ni kwa vile watu wengi wamejikita zaidi kwenye kufikiri faida kuliko risk!
Kwenye biashara tumia sana mfumo huu kwa wale wanaoelewa maswala ya mpira 3-4-3,ama 5-3-2 ama 5-5[emoji851]!,ama 1-9[emoji2956]!
Hivi unajua ni kwanini wachaga huwa hawafilisiki kijinga?(na wanyiramba pia),mchaga yupo radhi akaibe ili afidie kile alichopoteza ndio maana ni ngumu sana kufilisika kwasababu mtaji ni jambo la kuzingatia kuliko kitu chochote kwenye biashara!
N:B mimi sio shigongo usipoelewa mshamba haelewi!
Ndio ni faida mtu wangu!
Lakini kwa mfanyabiashara aliyekomaa kabla hajaanza biashara anafikiria kwanza ni kwa namna gani mtaji wake utakuwa salama!
Sasa hapa ndio nafananisha mpira na biashara!
Kwenye mpira timu yeyote inayojitambua ni lazima wafikirie kwanza ni kwa namna gani watazuia wasifungwe kabla ya kuwaza ni kwa namna gani watapata goli!
Hivi ushawahi kujiuliza ni kwanini matapeli wanapata watu wengi sana wa kuwatapeli!?,ni kwa vile watu wengi wamejikita zaidi kwenye kufikiri faida kuliko risk!
Kwenye biashara tumia sana mfumo huu kwa wale wanaoelewa maswala ya mpira 3-4-3,ama 5-3-2 ama 5-5[emoji851]!,ama 1-9[emoji2956]!
Hivi unajua ni kwanini wachaga huwa hawafilisiki kijinga?(na wanyiramba pia),mchaga yupo radhi akaibe ili afidie kile alichopoteza ndio maana ni ngumu sana kufilisika kwasababu mtaji ni jambo la kuzingatia kuliko kitu chochote kwenye biashara!
N:B mimi sio shigongo usipoelewa mshamba haelewi!