Fanya hivi kunufaika na ongezeko la tozo katika miamala ya simu (M-Pesa, Tigo Pesa, Halo Pesa)

Kwa wale mnaosema mkimbilie safaricom changamoto ipo kweny exchange rate na hapo ndo wengi tunapigwa.

Chunguzeni kwa makini mtajionea rate iko 21.4 uku Safaricom wanakupa 20.8
 

Kwa sasa kuna choice mbili tu! turudi banks tupange foleni au tuendelee na mfumo tuliowekewa tuwavimbishe vitambi wabunge na viongozi wetu. Kesi kuipeleka mahakamani inahitaji pesa na ushujaa. Ushujaa ambao watanzania hatuna, sie ni mabingwa wa kulalamika na kupiga domo tu. Kwa namna tunavyoishi na kufanya pirika zetu za kila siku, sio kama korona na foleni ndani ya bank kama ni issue kubwa.
 
Miccm ilivyojikausha utadhani hawaoni huu ujinga wa serikali yao.

Uko sahihi. Yaani kama uko na pesa kwa Tigopesa itume bank then nenda kwa Wakala kaitoe. Nimetoa 500,000 NMB wakala kwa takribani 4000 tu
Ungeenda kutoa kwny atm
 
Cut your Nose to Spite your Face....

Huwezi kwenda against technology in the end Mobile Network Providers will Come on top; Banking as we know it its a dying breed, wanahitaji kubadilika sana...., kumbuka pia Block Chain Technology is coming..., kwenye mikopo kuna kitu kinaitwa P2P lending..., kinachowafanya Benki wawe bado wapo hai na sio kwamba wangekufa jana ni BOT ambapo rules and regulations zinawabana Mobile Network Providers
 
IPO HAJA YA KUPIGA MARUFUKU HIZI LAINI ZA NGAMBO KUTUMIKA NDANI YA NCHI
 
Mwigullu & company wanawafanya watanzania ni wapumbavu. Tozo ni wizi wa dola. Sh 10000 ikihamishwa kwa simu 3 ie A akamtumia B, B akamtumia C na akaenda kuitoa kwa wakala, imekwisha! Mfumo mbadala ni kupitia bank japo vujijini watapata shida, mawakala wa bank ni wachache. Pamoja na makato ya bank kila mwezi ya service charge, yana nafuu kubwa.
 
Kwenda mahakamani unajisumbua, hatuna mahakama huru. Folen bank hakuna, zimepunguzwa na wingi wa mawakala mitaani. Money transfer nmb ni bure, unaweza mwekea pesa mtu alie Mtaa wa tatu. Ndugu wa vijijini ndio wataathirika na Tozo.
 
Miccm ilivyojikausha utadhani hawaoni huu ujinga wa serikali yao.

Uko sahihi. Yaani kama uko na pesa kwa Tigopesa itume bank then nenda kwa Wakala kaitoe. Nimetoa 500,000 NMB wakala kwa takribani 4000 tu
Kuituma unazunguka na kuingia kwenye double transaction, lakini bado makato ni nafuu. Sijui mwalimu aliemfundisha Mwiguli uchumi anajisikiaje!
 
Kuituma unazunguka na kuingia kwenye double transaction, lakini bado makato ni nafuu. Sijui mwalimu aliemfundisha Mwiguli uchumi anajisikiaje!
Hajawahi kusoma kwa kuelewa, aalisoma kwa kukariri na ndio matokeo yake hayo sasa
 
Upo sahihi. Statistics on mobile telecom services in africa - global market, m-pesa, tigo-pesa, na airtel money, jan-mar 2020 zilifanya miamala 93.8bn, hiyo ni sawa na miamala 375.2 bn kwa mwaka. Hata kwa tozo la sh 30 serikali itapata sh 11.25 trn kwa mwaka. Bado kuna halotel, na kampuni zingine za simu ambazo huku mikoani tunazisikia tu.
 
Ilifaa kiwango cha juu kabisa cha tozo basi isizidi 5000
Cha chini huku hata wakiwa wanachukua mfano kwa 10000 wachukue 100. Kwa laki wachukue 1000 watu tusingekakama sana.
Ila ni kama serikali imefanya tamaa.
 
Mkuu maelekez kidogo jinsi ya kununua hizo hiss kupotia hy app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…