mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,735
Nuksi ni neno la Kiarabu lenye maana ya machafuko, maharibiko, mivurugano katika maisha.
Ni hali inayomfanya MTU kuwa na ugumu katika kutenda mambo yake. Hii unaweza kusababishwa na mambo kadhaa.
1: Ukosefu wa Maarifa sahihi.
2: Kulogwa,laana au majini.
3: Mitihani ya mwenyezi Mungu ili ukifuzu akutunuku kile unachokitaka ukiwa umekomaa.
Kwa sababa 1 na 3 Biblia inasema watu wangu wanaangamizwa kwa ukosefu wa maarifa. Ukisoma neno kwa maombi, Kufunga na kukesha. Ukiaminj Yuko roho mtafsiri mkuu. Mungu atakufunulia nini cha kufanya. Atakupa Nguvu ya kuvumilia Darsa.
Namba 2: KAMA UMELOGWA AU LAANA.
1: Kama umejisababishia mfano umemvunjia heshima mzazi. Tubu kaombe msamaha.
2: Kama umelogwa. Tubu.
Kisha chukua biblia kila siku Mara tatu Asubuhi, mchana na usiku.
Tafuta ahadi za Mungu kuhusu tatizo ulilonalo. (Unaweza kugugo mistari).
Anza kujitamkia hilo neno.
Mfano:
Sitakufa Bali nitaishi, nami nitayasimulia matendo makuu ya Bwana.
Zaburi 118:17
KISHA
1: Jitamkie hilo neno kwa sauti, na kwa kurudiarudia.
2: Malaika wanaotendea kazi neno la Mungu watalichukua na kuligeuza kinyume na maneno uliyotamkiwa huko kwa adui.
3:Ukifanya kwa imani bila kusita, Nguvu zote zinazokuletea hizo nuksi au balaa zitaachia.
4: Kama ni ugonjwa au umauti utakimbia.
Kila tatizo la kichawi, Liko neno ambalo ni ufunguo wa hilo tatizo.
Fanya haya, utanishukuru.
ANZA KUNUFAISHWA NA BIBLIA YAKO. USITEMBEE NAYO TU KAMA KITABU CHA KIADA NA ZIADA. BIBLIA NI MAISHA.
Ni hali inayomfanya MTU kuwa na ugumu katika kutenda mambo yake. Hii unaweza kusababishwa na mambo kadhaa.
1: Ukosefu wa Maarifa sahihi.
2: Kulogwa,laana au majini.
3: Mitihani ya mwenyezi Mungu ili ukifuzu akutunuku kile unachokitaka ukiwa umekomaa.
Kwa sababa 1 na 3 Biblia inasema watu wangu wanaangamizwa kwa ukosefu wa maarifa. Ukisoma neno kwa maombi, Kufunga na kukesha. Ukiaminj Yuko roho mtafsiri mkuu. Mungu atakufunulia nini cha kufanya. Atakupa Nguvu ya kuvumilia Darsa.
Namba 2: KAMA UMELOGWA AU LAANA.
1: Kama umejisababishia mfano umemvunjia heshima mzazi. Tubu kaombe msamaha.
2: Kama umelogwa. Tubu.
Kisha chukua biblia kila siku Mara tatu Asubuhi, mchana na usiku.
Tafuta ahadi za Mungu kuhusu tatizo ulilonalo. (Unaweza kugugo mistari).
Anza kujitamkia hilo neno.
Mfano:
Sitakufa Bali nitaishi, nami nitayasimulia matendo makuu ya Bwana.
Zaburi 118:17
KISHA
1: Jitamkie hilo neno kwa sauti, na kwa kurudiarudia.
2: Malaika wanaotendea kazi neno la Mungu watalichukua na kuligeuza kinyume na maneno uliyotamkiwa huko kwa adui.
3:Ukifanya kwa imani bila kusita, Nguvu zote zinazokuletea hizo nuksi au balaa zitaachia.
4: Kama ni ugonjwa au umauti utakimbia.
Kila tatizo la kichawi, Liko neno ambalo ni ufunguo wa hilo tatizo.
Fanya haya, utanishukuru.
ANZA KUNUFAISHWA NA BIBLIA YAKO. USITEMBEE NAYO TU KAMA KITABU CHA KIADA NA ZIADA. BIBLIA NI MAISHA.