Fanya maamuzi magumu wewe msomi usiye na ajira, utafanikiwa sana

Fanya maamuzi magumu wewe msomi usiye na ajira, utafanikiwa sana

Sichomi vyeti vyangu kwasababu hivi vyeti ni motisha kwa wanangu

nikiwambia nimesoma na bado nafanya hivi waelewe,maana ntakua na mifano hai

nikiwambia tu baba yenu nimesomaga ila siwaonyeshi hata ka certificate ka ushahidi

mitoto ya saivi itanisema kimoyo moyo (baba muongooo,ukute kaishia form 1 B) so

na yenyewe haitosoma,ila kwa mifano hai wakaona vyeti,wakaona Grade za mshua (wataelewa)


Naunga hoja Mkono na miguu na mwili pia Ukipenda vyote naunga hapo.
Mkuu mzee wako alishawahi kukuonyesha vyeti vyake ndio maana na wewe ukashawishika kusoma kwa bidii??
 
Mkuu miaka ya nyuma nilienda pale iringa international school ipo gangilonga na degree yangu nikaomba kazi ya kuwa nawapatia uangalizi watoto na kusafisha ofisi yani kazi yako ni kuhakikisha watoto hawapati majanga wanapocheza pia unacheza nao simple as that.....

Hii ni kazi ya mtu ambae hata degree ila niliifanya nikawa vizuri sana kiuchumi ajira ikaja badae badae ila nikiwa nimechomoka na kimtaji kizuri tu
Duu noma.
 
Mkuu mzee wako alishawahi kukuonyesha vyeti vyake ndio maana na wewe ukashawishika kusoma kwa bidii??
Exactly! kwetu kuna Library na material yaliyojaa mule ni ya mshua akiwa anasoma

kila taka taka yake aliyopewa kama zawadi ipo mle,vyeti ndio usiseme Achilia mbali

Picha zake akikabdhiwa hivyo vyeti, kauli yake kila siku alikua anatuambia anataka "tuzidi matokeo yake"

Tuvae kofia zote alizovaa kwenye zile picha zake,japo kwangu mengine yashanishinda ila vitu vyake (material ya shule)

yamechangia kiasi kikubwa sana mimi kukaza kusoma kwa bidiii,niliku sisomi ili nimpite yule jamaa class ila nilikua

nasoma nipate matokeo nimpite mshua maana matokeo yake doooooh.
 
Exactly! kwetu kuna Library na material yaliyojaa mule ni ya mshua akiwa anasoma

kila taka taka yake aliyopewa kama zawadi ipo mle,vyeti ndio usiseme Achilia mbali

Picha zake akikabdhiwa hivyo vyeti, kauli yake kila siku alikua anatuambia anataka "tuzidi matokeo yake"

Tuvae kofia zote alizovaa kwenye zile picha zake,japo kwangu mengine yashanishinda ila vitu vyake (material ya shule)

yamechangia kiasi kikubwa sana mimi kukaza kusoma kwa bidiii,niliku sisomi ili nimpite yule jamaa class ila nilikua

nasoma nipate matokeo nimpite mshua maana matokeo yake doooooh.
Kitu pekee kitachonifaidisha na elimu ni ajira mbali na hapo sina record yoyote kwamba nilikuwa nasoma hata picha za gradu sina na sijaenda.
 
Habari wasomi wote mnaoteseka na suala la ukosefu wa ajira.

Ushauri: Umehitimu chuo ngazi ya Astashahada, Stashada au Shahada na umehangaikia ajira kwa zaidi ya miezi 24 (2yrs)?.
Kama jibu ni yes. Basi chukua uamuzi mgumu wa kuchoma moto vyeti vyako kisha ingia mtaani au shambani.
Utafanikiwa zaidi kwakuwa wewe utakuwa na maarifa zaidi ya yule utakayemkuta field huko.

Sasa hivi ukiingia mtaani au shambani si rahisi kwako kufanikiwa kwakuwa utakuwa unafanya kazi huku unawazia ajira na shetani anakuonyesha marafiki zako waliopata shavu B.O.T, TRA, NCCA, TANAPA, NEC na TPA mwishobl unabaki kusononeka tu na kuanza kumlaumu mjomba kuwa hajakuvuta TISS.
Ukificha au kuvitupa vyeti vyako mbali kabisa nakuhakikishia utatoboa haraka zaidi ya yule best yako aliyekupa lift juzi na SUBARU yake huku ametinga kombati zake za JWTZ.

Povu linaruhusiwa.

Wapumzisheni graduate.
 
Exactly! kwetu kuna Library na material yaliyojaa mule ni ya mshua akiwa anasoma

kila taka taka yake aliyopewa kama zawadi ipo mle,vyeti ndio usiseme Achilia mbali

Picha zake akikabdhiwa hivyo vyeti, kauli yake kila siku alikua anatuambia anataka "tuzidi matokeo yake"

Tuvae kofia zote alizovaa kwenye zile picha zake,japo kwangu mengine yashanishinda ila vitu vyake (material ya shule)

yamechangia kiasi kikubwa sana mimi kukaza kusoma kwa bidiii,niliku sisomi ili nimpite yule jamaa class ila nilikua

nasoma nipate matokeo nimpite mshua maana matokeo yake doooooh.
Kitu pekee kitachonifaidisha na elimu ni ajira mbali na hapo sina record yoyote kwamba nilikuwa nasoma hata picha za gradu sina na sijaenda.
 
Exactly! kwetu kuna Library na material yaliyojaa mule ni ya mshua akiwa anasoma

kila taka taka yake aliyopewa kama zawadi ipo mle,vyeti ndio usiseme Achilia mbali

Picha zake akikabdhiwa hivyo vyeti, kauli yake kila siku alikua anatuambia anataka "tuzidi matokeo yake"

Tuvae kofia zote alizovaa kwenye zile picha zake,japo kwangu mengine yashanishinda ila vitu vyake (material ya shule)

yamechangia kiasi kikubwa sana mimi kukaza kusoma kwa bidiii,niliku sisomi ili nimpite yule jamaa class ila nilikua

nasoma nipate matokeo nimpite mshua maana matokeo yake doooooh.
Asante
 
Mkuu miaka ya nyuma nilienda pale iringa international school ipo gangilonga na degree yangu nikaomba kazi ya kuwa nawapatia uangalizi watoto na kusafisha ofisi yani kazi yako ni kuhakikisha watoto hawapati majanga wanapocheza pia unacheza nao simple as that.....

Hii ni kazi ya mtu ambae hata degree ila niliifanya nikawa vizuri sana kiuchumi ajira ikaja badae badae ila nikiwa nimechomoka na kimtaji kizuri tu
Mkuu kwa hiyo ulicheza kama bata as ulivosema. Kweli maisha matamu sana na. JF haijawahi niangusha
 
Sichomi vyeti vyangu vya 'Ka diploma ', ila now nataka niingie k/koo nikachukue mzigo wa T-shirt Kama 25 hivi kwa bei ya 5000/- (bei ya jumla) nataka nije kuuza huku (mabwepande) kwa 9000-8000 kwa reja reja, labda pengine nitatoka ajira ni ngumu na chache, Plus kujuana!
 
Sichomi vyeti vyangu kwasababu hivi vyeti ni motisha kwa wanangu

nikiwambia nimesoma na bado nafanya hivi waelewe,maana ntakua na mifano hai

nikiwambia tu baba yenu nimesomaga ila siwaonyeshi hata ka certificate ka ushahidi

mitoto ya saivi itanisema kimoyo moyo (baba muongooo,ukute kaishia form 1 B) so

na yenyewe haitosoma,ila kwa mifano hai wakaona vyeti,wakaona Grade za mshua (wataelewa)


Naunga hoja Mkono na miguu na mwili pia Ukipenda vyote naunga hapo.

Habari wasomi wote mnaoteseka na suala la ukosefu wa ajira.

Ushauri: Umehitimu chuo ngazi ya Astashahada, Stashada au Shahada na umehangaikia ajira kwa zaidi ya miezi 24 (2yrs)?.
Kama jibu ni yes. Basi chukua uamuzi mgumu wa kuchoma moto vyeti vyako kisha ingia mtaani au shambani.
Utafanikiwa zaidi kwakuwa wewe utakuwa na maarifa zaidi ya yule utakayemkuta field huko.

Sasa hivi ukiingia mtaani au shambani si rahisi kwako kufanikiwa kwakuwa utakuwa unafanya kazi huku unawazia ajira na shetani anakuonyesha marafiki zako waliopata shavu B.O.T, TRA, NCCA, TANAPA, NEC na TPA mwishobl unabaki kusononeka tu na kuanza kumlaumu mjomba kuwa hajakuvuta TISS.
Ukificha au kuvitupa vyeti vyako mbali kabisa nakuhakikishia utatoboa haraka zaidi ya yule best yako aliyekupa lift juzi na SUBARU yake huku ametinga kombati zake za JWTZ.

Povu linaruhusiwa.
Mkuu unawandaa watoto kuhesabu madarasa,huu msoto wa ajira unataka na wanaowaurithi? Waandlie mahala watakapojibanza kupata riziki sio makaratasi mkuu.
 
Habari wasomi wote mnaoteseka na suala la ukosefu wa ajira.

Ushauri: Umehitimu chuo ngazi ya Astashahada, Stashada au Shahada na umehangaikia ajira kwa zaidi ya miezi 24 (2yrs)?.
Kama jibu ni yes. Basi chukua uamuzi mgumu wa kuchoma moto vyeti vyako kisha ingia mtaani au shambani.
Utafanikiwa zaidi kwakuwa wewe utakuwa na maarifa zaidi ya yule utakayemkuta field huko.

Sasa hivi ukiingia mtaani au shambani si rahisi kwako kufanikiwa kwakuwa utakuwa unafanya kazi huku unawazia ajira na shetani anakuonyesha marafiki zako waliopata shavu B.O.T, TRA, NCCA, TANAPA, NEC na TPA mwishobl unabaki kusononeka tu na kuanza kumlaumu mjomba kuwa hajakuvuta TISS.
Ukificha au kuvitupa vyeti vyako mbali kabisa nakuhakikishia utatoboa haraka zaidi ya yule best yako aliyekupa lift juzi na SUBARU yake huku ametinga kombati zake za JWTZ.

Povu linaruhusiwa.
Weka cheti kabatini kama akiba, Ingia msituni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na sie ambao hatuna vyeti vya kuchoma tufanyaje tutoboe, tuchome kitu gani? Yaani elimu ya kijentoman tu, form six.
 
Habari wasomi wote mnaoteseka na suala la ukosefu wa ajira.

Ushauri: Umehitimu chuo ngazi ya Astashahada, Stashada au Shahada na umehangaikia ajira kwa zaidi ya miezi 24 (2yrs)?.
Kama jibu ni yes. Basi chukua uamuzi mgumu wa kuchoma moto vyeti vyako kisha ingia mtaani au shambani.
Utafanikiwa zaidi kwakuwa wewe utakuwa na maarifa zaidi ya yule utakayemkuta field huko.

Sasa hivi ukiingia mtaani au shambani si rahisi kwako kufanikiwa kwakuwa utakuwa unafanya kazi huku unawazia ajira na shetani anakuonyesha marafiki zako waliopata shavu B.O.T, TRA, NCCA, TANAPA, NEC na TPA mwishobl unabaki kusononeka tu na kuanza kumlaumu mjomba kuwa hajakuvuta TISS.
Ukificha au kuvitupa vyeti vyako mbali kabisa nakuhakikishia utatoboa haraka zaidi ya yule best yako aliyekupa lift juzi na SUBARU yake huku ametinga kombati zake za JWTZ.

Povu linaruhusiwa.
Inatakiwa uibadilishe hiyo Elimu kuwa AKILI. Mjini kujiongeza waliojiongeza wengi sio wenye elimu.
 
Back
Top Bottom