Fanya ni dada yako, ungemsaidiaje?

Fanya ni dada yako, ungemsaidiaje?

Mavimakavu

Member
Joined
Jan 10, 2011
Posts
10
Reaction score
23
Ni binti mrembo anampenda MUNGU na mwenye akili ila amezaa na Mume wa mtu ambaye mwanzoni wakati penzi limepamba moto Mwanaume alimuambia Mdada aache kazi atamuhudumia na mtoto ila penzi life kwakuwa hakuwa tayari kuzaa nae.

Muda umeenda Mdada kweli alikubali kuacha kazi. Mwanaume anamtimizia mahitaji yake yote na Mdada anaishi maisha mazuri tu na mtoto anasoma shule ya maana. Ila Mbaba hataki kuwaona kabisa, ni ile kutuma pesa tu basi imeisha.

Mdada amechoka hayo maisha anataka kumove on na maisha yake. Ajikimu kipato atengeneze Familia yake. Ila anahisi kama amefungwa kiroho. Aliomba kazi hajawahi kupata tangu yupo chini ya huyo Mbaba! Amejaribu biashara ila kuna kauzito ambako anakaexperience mpaka anafikia point ya kuhisi ni kama kafungwa kimazingara.

Maana huyo mbaba ana wake wengine hivyo anahisi huenda wakawa wamemchezea.

Je, unamsaidiaje huyu Binti kwa ushauri ama chochote?

Help a Sister
 
Amefungwa na Mke wa huyo mwanaume na hatotoboa aisee! Aende akajitambulishe aombe msamaha kwisha kazi
 
Ni binti mrembo anampenda MUNGU na mwenye akili ila amezaa na Mume wa mtu ambaye mwanzoni wakati penzi limepamba moto Mwanaume alimuambia Mdada aache kazi atamuhudumia na mtoto ila penzi life kwakuwa hakuwa tayari kuzaa nae.

Muda umeenda Mdada kweli alikubali kuacha kazi. Mwanaume anamtimizia mahitaji yake yote na Mdada anaishi maisha mazuri tu na mtoto anasoma shule ya maana. Ila Mbaba hataki kuwaona kabisa, ni ile kutuma pesa tu basi imeisha. Mdada amechoka hayo maisha anataka kumove on na maisha yake. Ajikimu kipato atengeneze Familia yake. Ila anahisi kama amefungwa kiroho. Aliomba kazi hajawahi kupata tangu yupo chini ya huyo Mbaba! Amejaribu biashara ila kuna kauzito ambako anakaexperience mpaka anafikia point ya kuhisi ni kama kafungwa kimazingara.

Maana huyo mbaba ana wake wengine hivyo anahisi huenda wakawa wamemchezea.

Je, unamsaidiaje huyu Binti kwa ushauri ama chochote?

Help a Sister
Hakuna aliyekufunga ndugu biashara siyo jambo jepesi kiasi hicho
 
Hivi nyinyi Mungu huwa mnamchukuluaje?
Yaani leo hii mungu amekuwa wa kupendwa na wazinzi na wala jasho za wanawake wenzao kupitia mgongo wa kufanya uzinzi na waume zao?
 
Lazima kuna watu walimkanya kabla hayaja mpata.
Ukiacha kwamba nifanye kama namshauri dada yangu...
Minasemaje......
Hata angekua ni binti yangu, Minaona avune alicho panda..🤨
Na huyo Mungu watu wanamsingizia kwenye mambo ya hovyo na tamaa zao tu..😕
 
Ni binti mrembo anampenda MUNGU na mwenye akili ila amezaa na Mume wa mtu ambaye mwanzoni wakati penzi limepamba moto Mwanaume alimuambia Mdada aache kazi atamuhudumia na mtoto ila penzi life kwakuwa hakuwa tayari kuzaa nae.

Muda umeenda Mdada kweli alikubali kuacha kazi. Mwanaume anamtimizia mahitaji yake yote na Mdada anaishi maisha mazuri tu na mtoto anasoma shule ya maana. Ila Mbaba hataki kuwaona kabisa, ni ile kutuma pesa tu basi imeisha. Mdada amechoka hayo maisha anataka kumove on na maisha yake. Ajikimu kipato atengeneze Familia yake. Ila anahisi kama amefungwa kiroho. Aliomba kazi hajawahi kupata tangu yupo chini ya huyo Mbaba! Amejaribu biashara ila kuna kauzito ambako anakaexperience mpaka anafikia point ya kuhisi ni kama kafungwa kimazingara.

Maana huyo mbaba ana wake wengine hivyo anahisi huenda wakawa wamemchezea.

Je, unamsaidiaje huyu Binti kwa ushauri ama chochote?

Help a Sister
Atubu kwa Mungu. Wakati ndoa inafungwa, mume na mke wanakubali kuwa kitu kimoja mpaka kifo kiwatenganishe. Kwa kitendo tu cha yeye kuwa na mume wa mtu, ametenganisha umoja ule, hivyo yeye ni kama kifo. Akatubu, amtafute wife wa jamaa akamuombe msamaha. Atakuwa huru
 
Lazima kuna watu walimkanya kabla hayaja mpata.
Ukiacha kwamba nifanye kama namshauri dada yangu...
Minasemaje......
Hata angekua ni binti yangu, Minaona avune alicho panda..🤨
Na huyo Mungu watu wanamsingizia kwenye mambo ya hovyo na tamaa zao tu..😕
Kabisa, tena kama alijua kabisa ni mume wa mtu
 
Hawezi kuwa na akili halafu azae na mume wa mtu, na akubali kuachishwa kazi bila kupata guarantee ya future yake.
 
Braza hii sentensi uliyoandika UMEIELEWA???

""Ni binti mrembo anampenda MUNGU na mwenye akili ila amezaa na Mume wa mtu""

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Hajafungwa na mtu yoyote aache ujinga.

Kiufupi hana akili za maisha kwahiyo hana akili za kazi wala biashara. Angekuwa na akili asingekubali kuacha kazi sababu ya kikojoleo tena cha mume wa mtu!

Acheni ushirikina, ni kwamba hana akili huyo dada fullstop. Sasa mtu asiye na akili anawezaje kufanya kazi au biashara

Kwa level yake ya akili mi namshauri aendelee tu na hayo maisha, kwani mbona aliyachagua na ni poa tu si anahudumiwa kila kitu umesema? Shida nini sasa?

Tatizo dada alijua akizaa na jamaa atamteka kwa mkewe na atakuwa nae full time, stupid kabisa.
 
Ni binti mrembo anampenda MUNGU na mwenye akili ila amezaa na Mume wa mtu ambaye mwanzoni wakati penzi limepamba moto Mwanaume alimuambia Mdada aache kazi atamuhudumia na mtoto ila penzi life kwakuwa hakuwa tayari kuzaa nae.

Muda umeenda Mdada kweli alikubali kuacha kazi. Mwanaume anamtimizia mahitaji yake yote na Mdada anaishi maisha mazuri tu na mtoto anasoma shule ya maana. Ila Mbaba hataki kuwaona kabisa, ni ile kutuma pesa tu basi imeisha.

Mdada amechoka hayo maisha anataka kumove on na maisha yake. Ajikimu kipato atengeneze Familia yake. Ila anahisi kama amefungwa kiroho. Aliomba kazi hajawahi kupata tangu yupo chini ya huyo Mbaba! Amejaribu biashara ila kuna kauzito ambako anakaexperience mpaka anafikia point ya kuhisi ni kama kafungwa kimazingara.

Maana huyo mbaba ana wake wengine hivyo anahisi huenda wakawa wamemchezea.

Je, unamsaidiaje huyu Binti kwa ushauri ama chochote?

Help a Sister
Huyo dada anapaswa kujishauri yeye kwanza. Je ana tatizo? Tatizo ni nini? Baada ya hapo atapata way forward
 
mstari wa kwanza tu naona umempa sifa ambazo hana, Akili na kumpenda Mungu, mwanamke mwenye akili hawezi kuacha kazi akitegemea matunzo kwa mchepuko ambaye ni mke wa mtu, huyo ni Boga, Pili huyo mwanamke hampendi Mungu maana angependa angeshika sheria zake, hakuna sheria ya Mungu inasema zaa na mume wa mtu. Kwahiyo apambane na hali yake
 
Back
Top Bottom