Rammyq
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 269
- 773
Halafu ana akili ila kazaa na mume wa mtuAnampenda Mungu, ila amezaa na Mume wa mtu!!!
Basi sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu ana akili ila kazaa na mume wa mtuAnampenda Mungu, ila amezaa na Mume wa mtu!!!
Basi sawa
Nimependa sana mstari wa mwishoHajafungwa na mtu yoyote aache ujinga.
Kiufupi hana akili za maisha kwahiyo hana akili za kazi wala biashara. Angekuwa na akili asingekubali kuacha kazi sababu ya kikojoleo tena cha mume wa mtu!
Acheni ushirikina, ni kwamba hana akili huyo dada fullstop. Sasa mtu asiye na akili anawezaje kufanya kazi au biashara
Kwa level yake ya akili mi namshauri aendelee tu na hayo maisha, kwani mbona aliyachagua na ni poa tu si anahudumiwa kila kitu umesema? Shida nini sasa?
Tatizo dada alijua akizaa na jamaa atamteka kwa mkewe na atakuwa nae full time, stupid kabisa.