Uchaguzi 2020 Fao la Kujitoa ni Turufu nyingine kwa Wagombea Urais

Uchaguzi 2020 Fao la Kujitoa ni Turufu nyingine kwa Wagombea Urais

bumilo

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2014
Posts
352
Reaction score
175
Baada ya sheria mpya kupitishwa iliyofuta FAO LA KUJITOA na kuja na mbadala wake wafanyakazi wengi hususani katika sekta binafsi walionja na wanaendelea kuonja joto la jiwe kutokana na kutoruhusiwa kuchukua MAFAO yao kwa mkupuo pale ajira zao zinapokoma ama kwa kumaliza mkataba au kwa kuachishwa kazi. Kile kilichohifadhiwa kama akiba ya mtu anapokwenda kukidai hakipati chote badala yake kuwa analipwa asilimia 33.3 kama sikosei ya mshahara wake wa awali.

Naamini kundi hili ni kubwa sana na kwa sababu sheria hii bado ipo na inaendelea kufanya kazi hata wale ambao bado ni watumishi wakati wa kumaliza mikataba yao au kuachishwa kazi utakapofika changamoto hiyo watakumbana nayo.

Hivyo kwa jinsi hali ilivyo akitokea mgombea urais yeyote akaishikia kibendera hoja hii ya FAO LA KUJITOA kwamba atalirudisha kama ilivyokuwa zamani atazoa kura nyingi sana na atapata kuungwa mkono na wananchi wengi.

Ewe mgombea urais kupitia chama chako wakati unatafuta kuungwa mkono na wananchi usisahau kutafuta kura zingine kwenye FAO LA KUJITOA na linadi kwa nguvu zote lipate kusikika masikioni na kunenwa vinywani mwa wananchi. Usidharau maana kura moja tu ina "impact" kubwa sana katika uchaguzi mkuu ujao.

CHAUMA, CUF, ACT- WAZALENDO, CCM na CHADEMA kazi kwenu. Sera zenu ziguse kila kundi fulani katika jamii. Kila mmoja ana hamu ya kusikia mgombea urais atakayekuja na majibu ya FAO LA KUJITOA

Niwatakie mpambano mwema katika kutafuta kuungwa mkono na wananchi katika harakati hizi za kuelekea uchaguzi mkuu mwezi Oktoba mwaka huu.
 
mkuu naona hii hoja imekugusa sana, kuongelea fao la kujitoa ni mawazo ya kienyeji sana,

Kwanza, kwanini mtu anadai fao lake? nikwa sababu kapoteza ajira "labor turnover" kinachopaswa kuangaliwa kwanini watu wapoteze ajira zao? Jambo la kwanza alilofanya mwalimu baada tu ya uhuru ni kufanya mtu kupoteza ajira kuwa jambo gumu. Na ndivyo inavyopaswa kuwa, kuwa mtu kupoteza ajira yake liwe jambo gumu sana.

Hawa wagombea wetu hakuna anayezungumzia job security, maelfu ya watu wamefutwa kazi kwa sababu mbalimbali, serikali ilipaswa iwajibike na hayo mambo ya hovyo kabisa. Lakini si Lissu wala jpm anaongelea hilo, tunatengeneza ajira na kupoteza ajira wakati huohuo work done equal to zero.
 
mkuu naona hii hoja imekugusa sana, kuongelea fao la kujitoa ni mawazo ya kienyeji sana,

Kwanza, kwanini mtu anadai fao lake? nikwa sababu kapoteza ajira "labor turnover" kinachopaswa kuangaliwa kwanini watu wapoteze ajira zao? Jambo la kwanza alilofanya mwalimu baada tu ya uhuru ni kufanya mtu kupoteza ajira kuwa jambo gumu. Na ndivyo inavyopaswa kuwa, kuwa mtu kupoteza ajira yake liwe jambo gumu sana.

Hawa wagombea wetu hakuna anayezungumzia job security, maelfu ya watu wamefutwa kazi kwa sababu mbalimbali, serikali ilipaswa iwajibike na hayo mambo ya hovyo kabisa. Lakini si Lissu wala jpm anaongelea hilo, tunatengeneza ajira na kupoteza ajira wakati huohuo work done equal to zero.
I couldn't have said it any better. Well said🙏
 
Baada ya sheria mpya kupitishwa iliyofuta FAO LA KUJITOA na kuja na mbadala wake wafanyakazi wengi hususani katika sekta binafsi walionja na wanaendelea kuonja joto la jiwe kutokana na kutoruhusiwa kuchukua MAFAO yao kwa mkupuo pale ajira zao zinapokoma ama kwa kumaliza mkataba au kwa kuachishwa kazi. Kile kilichohifadhiwa kama akiba ya mtu anapokwenda kukidai hakipati chote badala yake kuwa analipwa asilimia 33.3 kama sikosei ya mshahara wake wa awali

Naamini kundi hili ni kubwa sana na kwa sababu sheria hii bado ipo na inaendelea kufanya kazi hata wale ambao bado ni watumishi wakati wa kumaliza mikataba yao au kuachishwa kazi utakapofika changamoto hiyo watakumbana nayo.

Hivyo kwa jinsi hali ilivyo akitokea mgombea urais yeyote akaishikia kibendera hoja hii ya FAO LA KUJITOA kwamba atalirudisha kama ilivyokuwa zamani atazoa kura nyingi sana na atapata kuungwa mkono na wananchi wengi.

Ewe mgombea urais kupitia chama chako wakati unatafuta kuungwa mkono na wananchi usisahau kutafuta kura zingine kwenye FAO LA KUJITOA na linadi kwa nguvu zote lipate kusikika masikioni na kunenwa vinywani mwa wananchi. Usidharau maana kura moja tu ina "impact" kubwa sana katika uchaguzi mkuu ujao.

CHAUMA, CUF, ACT- WAZALENDO, CCM na CHADEMA kazi kwenu. Sera zenu ziguse kila kundi fulani katika jamii. Kila mmoja ana hamu ya kusikia mgombea urais atakayekuja na majibu ya FAO LA KUJITOA

Niwatakie mpambano mwema katika kutafuta kuungwa mkono na wananchi katika harakati hizi za kuelekea uchaguzi mkuu mwezi Oktoba mwaka huu.
Naunga hoja kwa 100%
 
Baada ya sheria mpya kupitishwa iliyofuta FAO LA KUJITOA na kuja na mbadala wake wafanyakazi wengi hususani katika sekta binafsi walionja na wanaendelea kuonja joto la jiwe kutokana na kutoruhusiwa kuchukua MAFAO yao kwa mkupuo pale ajira zao zinapokoma ama kwa kumaliza mkataba au kwa kuachishwa kazi. Kile kilichohifadhiwa kama akiba ya mtu anapokwenda kukidai hakipati chote badala yake kuwa analipwa asilimia 33.3 kama sikosei ya mshahara wake wa awali

Naamini kundi hili ni kubwa sana na kwa sababu sheria hii bado ipo na inaendelea kufanya kazi hata wale ambao bado ni watumishi wakati wa kumaliza mikataba yao au kuachishwa kazi utakapofika changamoto hiyo watakumbana nayo.

Hivyo kwa jinsi hali ilivyo akitokea mgombea urais yeyote akaishikia kibendera hoja hii ya FAO LA KUJITOA kwamba atalirudisha kama ilivyokuwa zamani atazoa kura nyingi sana na atapata kuungwa mkono na wananchi wengi.

Ewe mgombea urais kupitia chama chako wakati unatafuta kuungwa mkono na wananchi usisahau kutafuta kura zingine kwenye FAO LA KUJITOA na linadi kwa nguvu zote lipate kusikika masikioni na kunenwa vinywani mwa wananchi. Usidharau maana kura moja tu ina "impact" kubwa sana katika uchaguzi mkuu ujao.

CHAUMA, CUF, ACT- WAZALENDO, CCM na CHADEMA kazi kwenu. Sera zenu ziguse kila kundi fulani katika jamii. Kila mmoja ana hamu ya kusikia mgombea urais atakayekuja na majibu ya FAO LA KUJITOA

Niwatakie mpambano mwema katika kutafuta kuungwa mkono na wananchi katika harakati hizi za kuelekea uchaguzi mkuu mwezi Oktoba mwaka huu.

Hela itatoka wapi wakati Rais wenu pendwa kikwete hakuwa anapeleka hela huko na alikuwa anawakopa tu
 
Baada ya sheria mpya kupitishwa iliyofuta FAO LA KUJITOA na kuja na mbadala wake wafanyakazi wengi hususani katika sekta binafsi walionja na wanaendelea kuonja joto la jiwe kutokana na kutoruhusiwa kuchukua MAFAO yao kwa mkupuo pale ajira zao zinapokoma ama kwa kumaliza mkataba au kwa kuachishwa kazi. Kile kilichohifadhiwa kama akiba ya mtu anapokwenda kukidai hakipati chote badala yake kuwa analipwa asilimia 33.3 kama sikosei ya mshahara wake wa awali

Naamini kundi hili ni kubwa sana na kwa sababu sheria hii bado ipo na inaendelea kufanya kazi hata wale ambao bado ni watumishi wakati wa kumaliza mikataba yao au kuachishwa kazi utakapofika changamoto hiyo watakumbana nayo.

Hivyo kwa jinsi hali ilivyo akitokea mgombea urais yeyote akaishikia kibendera hoja hii ya FAO LA KUJITOA kwamba atalirudisha kama ilivyokuwa zamani atazoa kura nyingi sana na atapata kuungwa mkono na wananchi wengi.

Ewe mgombea urais kupitia chama chako wakati unatafuta kuungwa mkono na wananchi usisahau kutafuta kura zingine kwenye FAO LA KUJITOA na linadi kwa nguvu zote lipate kusikika masikioni na kunenwa vinywani mwa wananchi. Usidharau maana kura moja tu ina "impact" kubwa sana katika uchaguzi mkuu ujao.

CHAUMA, CUF, ACT- WAZALENDO, CCM na CHADEMA kazi kwenu. Sera zenu ziguse kila kundi fulani katika jamii. Kila mmoja ana hamu ya kusikia mgombea urais atakayekuja na majibu ya FAO LA KUJITOA

Niwatakie mpambano mwema katika kutafuta kuungwa mkono na wananchi katika harakati hizi za kuelekea uchaguzi mkuu mwezi Oktoba mwaka huu.
Kwa Tume hii ya uchaguzi, hata Jiwe lipate O litatangazwa.
 
Hii ni sheria kali sana kwa mtumishi wa umma atakayefikwa na Jambo lolote litakalosababisha aache kazi. Kwa jirani chaweza kuwa ni kicheko kwani hana msiba. Tuendelee kuchagua viongozi wakatutungie sheria zaidi.
 
mkuu naona hii hoja imekugusa sana, kuongelea fao la kujitoa ni mawazo ya kienyeji sana,

Kwanza, kwanini mtu anadai fao lake? nikwa sababu kapoteza ajira "labor turnover" kinachopaswa kuangaliwa kwanini watu wapoteze ajira zao? Jambo la kwanza alilofanya mwalimu baada tu ya uhuru ni kufanya mtu kupoteza ajira kuwa jambo gumu. Na ndivyo inavyopaswa kuwa, kuwa mtu kupoteza ajira yake liwe jambo gumu sana.

Hawa wagombea wetu hakuna anayezungumzia job security, maelfu ya watu wamefutwa kazi kwa sababu mbalimbali, serikali ilipaswa iwajibike na hayo mambo ya hovyo kabisa. Lakini si Lissu wala jpm anaongelea hilo, tunatengeneza ajira na kupoteza ajira wakati huohuo work done equal to zero.
Fao la kujitoa sio tu from kupoteza ajira......huenda mtu unataka kufanya ujasiriamali baada ya kufanya kazi kwa mda flani say 10yrs, au labda kijana umemaliza mkataba wako unataka ukasome masters au PhD (you know how expensive those are)
Mimi mgombea yeyote atakayerudisha fao la kujitoa nampa kura yangu on the spot!
 
Fao la kujitoa sio tu from kupoteza ajira......huenda mtu unataka kufanya ujasiriamali baada ya kufanya kazi kwa mda flani say 10yrs, au labda kijana umemaliza mkataba wako unataka ukasome masters au PhD (you know how expensive those are)
Mimi mgombea yeyote atakayerudisha fao la kujitoa nampa kura yangu on the spot!
Mbona Lissu analizungumzia kuwa atarudisha fao lakujitoa, sema nayeye sijaona akitilia mkazo.
 
Fao la kujitoa sio tu from kupoteza ajira......huenda mtu unataka kufanya ujasiriamali baada ya kufanya kazi kwa mda flani say 10yrs, au labda kijana umemaliza mkataba wako unataka ukasome masters au PhD (you know how expensive those are)
Mimi mgombea yeyote atakayerudisha fao la kujitoa nampa kura yangu on the spot!
Kweli kabisa mkuu,mtu anafanya kazi miaka 10 anataka akajiajiri ,halafu unamnyima mafao yake eti mpaka atimize miaka 53.
 
Kuna mgombea anafurahia watanzania waishi kama mashetani, yeye aishi kama kiongozi wa malaika. Hawezi kurudisha FAO la kujitoa mtaishi maisha mazuri. Mtaachana na kazi za manyanyaso
 
mkuu naona hii hoja imekugusa sana, kuongelea fao la kujitoa ni mawazo ya kienyeji sana,

Kwanza, kwanini mtu anadai fao lake? nikwa sababu kapoteza ajira "labor turnover" kinachopaswa kuangaliwa kwanini watu wapoteze ajira zao? Jambo la kwanza alilofanya mwalimu baada tu ya uhuru ni kufanya mtu kupoteza ajira kuwa jambo gumu. Na ndivyo inavyopaswa kuwa, kuwa mtu kupoteza ajira yake liwe jambo gumu sana.

Hawa wagombea wetu hakuna anayezungumzia job security, maelfu ya watu wamefutwa kazi kwa sababu mbalimbali, serikali ilipaswa iwajibike na hayo mambo ya hovyo kabisa. Lakini si Lissu wala jpm anaongelea hilo, tunatengeneza ajira na kupoteza ajira wakati huohuo work done equal to zero.
Kwa nini mtu ung'ang'anie kazi za kutumwa mpaka miaka 60. Lingekuwepo fao la kujitoa ningestaafu na miaka 40 tu nikajiajiri na kuajiri vijana wengine
 
Hii kitu kwa kweli inamuumiza mno, kama hawataki mtu ajitoe basi kuwe na uwezakeno wa kuikopa hiyo michango yako japo 80% ya kile mtu kachangia ajifanyie maendeleo yake. Ile michango inakuwa ndio dhamana yake.
Ingefungua Ajira nyingi na watu kwa watu kujiajiri na kutoa fursa kwa wengine-new entrants kwenye ajira.
Mfano mimi nikijiajiri,nafasi yangu itachukuliwa na mwingine hivyo tunapunguza wasio na ajira.
Ukweli hili FAO la kujitoa ni kilio na mateso hasa kwa wafanyakazi walio sekta binafsi
 
mkuu naona hii hoja imekugusa sana, kuongelea fao la kujitoa ni mawazo ya kienyeji sana,

Kwanza, kwanini mtu anadai fao lake? nikwa sababu kapoteza ajira "labor turnover" kinachopaswa kuangaliwa kwanini watu wapoteze ajira zao? Jambo la kwanza alilofanya mwalimu baada tu ya uhuru ni kufanya mtu kupoteza ajira kuwa jambo gumu. Na ndivyo inavyopaswa kuwa, kuwa mtu kupoteza ajira yake liwe jambo gumu sana.

Hawa wagombea wetu hakuna anayezungumzia job security, maelfu ya watu wamefutwa kazi kwa sababu mbalimbali, serikali ilipaswa iwajibike na hayo mambo ya hovyo kabisa. Lakini si Lissu wala jpm anaongelea hilo, tunatengeneza ajira na kupoteza ajira wakati huohuo work done equal to zero.
Ndiyo, katika hali hiyo ya job insecurity, CCM wakaona haitoshi wakashusha rungu kwa kuondoa fao la kujitoa. Yahani hawataki uchukiwe hata kale kadogo uliko accumulate ukiwa kazini. Mtoa mada kawataja ccm wakati kwenye hili ndo wenye kutengeneza tatizo,obvosly siamiamini kama ccm wanaweza kuwa sehemu ya utatuzi wake kwani ndo wanufaika wakuu wa hilo tatizo (ndo walolitengeneza).
 
HOJA HII NI YA MOTO LAKINI TUNAHTAJI WAGOMBEA WOTE WAJITOKEZE HADHARANI WANA DHAMIRA GANI DHIDI YA WAHANGA WA MUUNGANIKO WA MIFUKO HII NA HATIMA ZA HAKI ZA MAFAO YA KUJITOA HASA SEKTA BINAFSI....

TUSUBIRI TUONEEEEE
 
Ndiyo, katika hali hiyo ya job insecurity, CCM wakaona haitoshi wakashusha rungu kwa kuondoa fao la kujitoa. Yahani hawataki uchukiwe hata kale kadogo uliko accumulate ukiwa kazini. Mtoa mada kawataja ccm wakati kwenye hili ndo wenye kutengeneza tatizo,obvosly siamiamini kama ccm wanaweza kuwa sehemu ya utatuzi wake kwani ndo wanufaika wakuu wa hilo tatizo (ndo walolitengeneza).
Kweli kabisa CCM hawawezi kuliongelea kwa kua ni wanufaika, mimi na wenzangu ni wahanga wa hili jambo kupitia kampuni ya New Habari inayomilikiwa na kada rafiki wa Magufuli Rostam Aziz na kusimamiwa na Hussein Bashe, Wanakata michango ktk mishahara lkn hawapeleki NSSF tumezungushwa sana hili jambo lkn kutokana ni wana CCM hakuna ufumbuzi zaidi ya kuambiwa litashughulikiwa tunautafuta mwaka wa tatu bado bila bila
 
Back
Top Bottom