FAO yaishauri Tanzania kuweka kipaumbele katika zao moja la kilimo litakaloitambulisha nchi soko la Kimataifa

FAO yaishauri Tanzania kuweka kipaumbele katika zao moja la kilimo litakaloitambulisha nchi soko la Kimataifa

Kando ya mazao mengine, tuweke kipaumbele kwenye zao la Halizeti (Sunflower 🌻) kwa sababu linaweza kustawi popote nchini. Tunaangushwa na sera mbovu ya kilimo.
Wamepotea, hatutafuata hivyo kamwe.

Mazao ya biashara nje yanafahamika toka enzi hizo na yataendelea kuwa hivyo, hatutapiga mark time.
 
Shirika la Chakula duniani FAO limeishauri Tanzania kuweka kipaumbele katika zao moja la kilimo litakaloitambulisha nchi yetu kwenye soko la kimataifa.

Chanzo: Radio One

My take; Pendekeza zao, binafsi Napendekeza Korosho
FAO Bull shit!
Napendekeza chai ikalimwe Mtwara!
 
Zao moja kivipi wakati tuna mazao mengi yanakubali, kawambie hao FAO hatujaribiwi....
 
huo ushauri wa mabeberu tukiukubali tutaingia mkenge na hakuna mwananchi atakayekubaliana na upuuzi huo.wawashauri kwanza wazungu wenzao.mara nyingi huwa najiuliza kwa nn hawa mabeberu wanaisemea sana afrika?what is the motive behind.nadhani hawa watu wangependa kuona waafrika wote tunapotea ktk bara hili ili walichukue wao.ss tumeamua tutaenda na mazao yote lkn kwa ufanisi.kuchagua zao moja ni mbinu ya kuja kutumaliza kiuchumi.watafanya mbinu zote kulifanya hilo zao liporomoke kiuchumi ili watanzania tuishie hapo.hatukubali huo upuuzi.
Shirika la Chakula duniani FAO limeishauri Tanzania kuweka kipaumbele katika zao moja la kilimo litakaloitambulisha nchi yetu kwenye soko la kimataifa.

Chanzo: Radio One

My take; Pendekeza zao, binafsi Napendekeza Korosho
 
Kando ya mazao mengine, tuweke kipaumbele kwenye zao la Halizeti (Sunflower 🌻) kwa sababu linaweza kustawi popote nchini. Tunaangushwa na sera mbovu ya kilimo.
Ata Mimi naona hili zao ikiwa pamoja na maweze haya mazao yapewe kipaumbele sababu mahitaji ya ndani ni makubwa ikitokea tukawekewa vikwazo bado tunaweza kuuza hapa hapa na nchi jirani
 
Hii ni concept ya Comparative Advantage
Wajiongeze
Lakini mkulima analima kitu anachoona kinamlipa
Ingawa kama soko likiwa la uhakika watalima tu bila kuambiwa
Ni Kweli kabisa, hayo ni mambo ya Adam Smith - Scottish economist. Kwa ufupi ni kwamba tumeshindwa kujipambanua ni nini hasa ambacho ndio export yetu. Tunawaweza kuwa kuwa na export nyingi tu na tukajipambanua nazo kama kambarage alivyofanya yaani kwa mfano - mahindi yalijulikana kabisa ni mikoa ya nyanda za juu- Iringa etc, Pamba kwa akina Ngosha, Korosho kwa akina Kachero Mbobezi , Tanzanite kwa wamasai, na mengineyo ya namna hiyo.
 
huo ushauri wa mabeberu tukiukubali tutaingia mkenge na hakuna mwananchi atakayekubaliana na upuuzi huo.wawashauri kwanza wazungu wenzao.mara nyingi huwa najiuliza kwa nn hawa mabeberu wanaisemea sana afrika?what is the motive behind.nadhani hawa watu wangependa kuona waafrika wote tunapotea ktk bara hili ili walichukue wao.ss tumeamua tutaenda na mazao yote lkn kwa ufanisi.kuchagua zao moja ni mbinu ya kuja kutumaliza kiuchumi.watafanya mbinu zote kulifanya hilo zao liporomoke kiuchumi ili watanzania tuishie hapo.hatukubali huo upuuzi.
Umeelewa kweli wewe?.jipe muda ujielimishe kuhusu hilo swala badala yakukimbilia kucoment fikra ulizonazo kichwani.Hili jambo sio geni duniani na hata sisi tungekua serious toka enzi za nyerere leo tungekua na zao moja kubwa linalouza zaidi soko la dunia ila kwasababu ya ujinga wetu tukaharibu mazao yote ya biashara leo tuko tuko tu tunaishia kulalamika kukosekana kwa soko kwenye mazao yetu kwasababu hatukuwekeza vyakutosha kwenye sekta ya kilimo.Unaposikia kilimo cha mahindi marekani,au matunda italia au miwa cuba au pamba india usifikiri wamefika hapo kwakua na fikra kama zako.Ata sisi tungeweza kuwekeza nguvu kwenye zao moja kubwa libiashara likakamata soko la dunia na likakuza uchumi wetu badala ya aina ya kilimo tunachokifanya sasa.
 
Tuletee ripoti nzima ya FAO ili tuelewe na kujiridhisha zaidi.kuhusu zao la kipaumbele napendekeza nafaka ,na kipekee mpunga/mchele
 
Hawa wanatafuta jinsi yakutubananisha kimataifa mkikaidi Jambo lao utasikia Bei yazao tegemezi zinavyo shushwa
 
...

Kama vile Marekani ni maarufu kwa kilimo cha mahindi duniani haina maana ya kwamba hawafanyi biashara katika mazao mengine
... mahindi yao kwa ajili ya kulishia nguruwe na cattle! Dah; this world is not fair.
 
Waende zao hapa!! Enzi za Mwalimu Nyerere tulikuwa na Pamba,Kahawa,Mkonge ,Chai na Muhogo kama Exports.Na tulikuwa Vizuri sana .Sasa hivi Wanaotuangusha ni Wanasiasa .Kama wakiwa makini Tanzania tutarudi no 1 kwenye export za mazao ya Kilimo
Kwani hayo uliyo yataja ni mazao ya kilimo au Ni MAZAO YA BIASHARA?
 
Waende zao hapa!! Enzi za Mwalimu Nyerere tulikuwa na Pamba,Kahawa,Mkonge ,Chai na Muhogo kama Exports.Na tulikuwa Vizuri sana .Sasa hivi Wanaotuangusha ni Wanasiasa .Kama wakiwa makini Tanzania tutarudi no 1 kwenye export za mazao ya Kilimo
Mwalimu mbona ndiye aliharibu kilimo chetu.
 
Back
Top Bottom