FAO yaishauri Tanzania kuweka kipaumbele katika zao moja la kilimo litakaloitambulisha nchi soko la Kimataifa

Hawana maana mazao mengine msilime,bali kuwepo na zao kiongozi kama vile cuba wanalima miwa siyo kwamba mazao mengine hawalimi.
Brazil kahawa,siyo kwamba mengine hawalimi

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Kwa uelewa ulionao hata ashuke malaika hutoelewa.
Nimetumia lugha unayoielewa lakini 0
H ah haaaaa! Mkuu, umenichekesha kweli. Hata hivyo, nina wasiwasi kuna uwezekano swali limekuwa gumu kwako.

Labda nililegeze kigodo, yaani ninahitaji unitajie sifa za hili "zao la kipaumbele", kwa maani hili zao litakuwa na sifa maalumu zitakazolifanya linachukuliwe na serikali na hata wananchi kwa namna ya kipekee? mfano, ukilima zao hilo, serikali itakupa ruzuku za pembejeo, ukivuna kisha kuuza, hutakatwa kodi za miamala ya simu, utapata mkopo usio na riba benki, na ukisafirisha zao hili hutakatwa ushuru. Ukilima zao hili utapunguziwa tozo za kwenye miamala ya kibenk, hutalipa umeme wa Tanesco....nakadhalika na kadhalika.

Pia mifano mingine inayoweza kuwa sifa ya zao hili ni, litalazimika kulimwa msimu mmoja, ama miwili, na kuanzia muda fulani mpaka muda fulani kufit soko, litalimwa na mkulima atakayekuwa na eneo linaloanzia ekari kadhaa!

Najitahidi mkuu, unielewe ili malaika wasishuke.

Karibu.
 
Hahahaaaa........!
 
Shirika la Chakula duniani FAO limeishauri Tanzania kuweka kipaumbele katika zao moja la kilimo litakaloitambulisha nchi yetu kwenye soko la kimataifa.

Chanzo: Radio One

My take; Pendekeza zao, binafsi Napendekeza Korosho
Tukikubali watatushauri tuwe na mbuga moja itakayotutambulisha kimataifa...waache ufyatu!
 
Kutegemea zao moja kwa la kibiashara sio wazo lenye afya ukizingatia volubility ya soko lenyewe , ushauri mzuri ungekua kufocus kwenye list ya mazao machache na kuwekeza nguvu kubwa huku. Na kitu cha msingi zaidi ni kuwa na kujenga uwezo wa kuchakata mazao ya kilimo hapa nchini na sio kuuza raw materials
 
Ardhi yenye inahitaji crop rotation ili iwe na rutuba
 
Nadiliki kusema huo ushauri ni wakisenge sana tz ni nchi kubwa kwanini zao moja tunatakiwa kutambulika kwa mazao mengi kwa kadili iwezekanavyo
 
Huo ni ushauri wa kipumbavu
 
Reactions: BAK
THANK YOU 🙏🏾 Akili kubwa hii.

Waende zao hapa!! Enzi za Mwalimu Nyerere tulikuwa na Pamba,Kahawa,Mkonge ,Chai na Muhogo kama Exports.Na tulikuwa Vizuri sana .Sasa hivi Wanaotuangusha ni Wanasiasa .Kama wakiwa makini Tanzania tutarudi no 1 kwenye export za mazao ya Kilimo
 
Zao moja ili bei ikianguka na uchumi uanguke. Nonsense
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…