Kaka naomba msaada wako wa hiko kitabu...Mimi ni mtendaji wa kijiji...na nahamasisha watu kufuga Kuku kila siku...nadhani ukisaidia na Hilo kitabu nitasaidia watu wengi sana..maana sasa Nina vijana ambao wamemaliza darasa la saba ..najaribu kuwaonyesha jinsi gani wa naweza kupata hela za kujikimu kwa umri wao Mdogo kwa njia ya kufuga kukukulea vifaranga wala si tatizo. kwahao kuku wako banda la bati 3 za mita 3 au 2.5 litakutosha. PM namba yako nikuelekeze cha kufanya dhidi ya vifaranga na kama utakuwa karibu na nilipo naweza kukutumia kitabu (bule) bila malipo nilicho toa SUA
My number ni 0784 728 330kulea vifaranga wala si tatizo. kwahao kuku wako banda la bati 3 za mita 3 au 2.5 litakutosha. PM namba yako nikuelekeze cha kufanya dhidi ya vifaranga na kama utakuwa karibu na nilipo naweza kukutumia kitabu (bule) bila malipo nilicho toa SUA
Kweli akili ni nywele, hongera Mkuu!Mkuu mi siwabembelezi kabisa kuku kwa sababu nimeamua ni business. Kuna bike mmoja alikuwa analalia mayai 18 sasa simu ya 17 akashinda nje, mie namwangalia tu. Nikamwambia wife chemsha maji. Ikafika saa kumi na mbili nikamkimbiza kwa hasira nikamkata kichwa kikawa kitoweo saafi.
Sasa upande wa pili nikaanza kupiga dili nafanyaje....nikakamata box la viroba vya konyagi nikashindilia maranda nikaweka mayai yote. Nikamkimbiza jike mwingine kwa hasira kwelikweli, na mabuti nakumbuka alikula. Nikamkamata nikamuweka ndani ya box kisha nikafunga na gundi. Mayai yake, yalikuwa 7 nikayaweka kwa jike mmoja alikuwa na mayai 10. Nimemfungia hadi siku ya tatu nikaanza kusikia chwiichwiii...kutoa vifaranga wote kaangua.
Nikambeba nikampa maji na tikiti nusu na msosi kisha nikamwendea yule was mayai 17 ambapo sasa alifikisha 19 nikamfukuza na nikamuweka huyu aliyetoka jela. Akalalia. Huyu sasa aliyefukuzwa nikamtia tena jela siku mbili katoka hana muda na mayai tena. Hapa naposema ndo kati ya wale ninaotazamia mwezi ujao atatotoa.
Vifaranga wako OK kabisa sema walinipa jambajamba maana ikawa bajeti ya kerosine ipo juu, wanataka joto wale. Leo kunguru kamkamata mmoja nimefoka balaa hom hapakaliki nataka kifaranga wangu. Wife kasema kesho analeta jike mmoja.
Kwenye business mie sitaki utani, na kuku wangu wanalijua hilo. Jogoo wangu juzi alitaka kuwa kitoweo baada ya kutoonyesha umahili wa kuwashugulikia matetea, wife kama kawaida nikamwambia bandika maji jikoni, bahati nzuri nikamuona kachachamaa anapanda fastafasta...sitaki uhuni mie.
namimi nahitaji kitabu kiongozkulea vifaranga wala si tatizo. kwahao kuku wako banda la bati 3 za mita 3 au 2.5 litakutosha. PM namba yako nikuelekeze cha kufanya dhidi ya vifaranga na kama utakuwa karibu na nilipo naweza kukutumia kitabu (bule) bila malipo nilicho toa SUA
kiongoz naomba msaada kuku wangu wanapiga chafya usiku kunatatizo?Iko poa sana mkuu biashara ya ufugaji wakuku inalipa ukizingatia kanuni zake kama usafi, chanjo zidi ya magonjwa na nyinginezo kaza mwendo utafika
Hiyo inaweza kuwa ni new castle(mdondo) au Fowl coryza wahi chanjo mzee utalia na kuona ufugaji hauna maanakiongoz naomba msaada kuku wangu wanapiga chafya usiku kunatatizo?
dawa gani niwapatieHiyo inaweza kuwa ni new castle(mdondo) au Fowl coryza wahi chanjo mzee utalia na kuona ufugaji hauna maana
Anza na vifaranga ulee mwnyw,kununua kuku mkubwa ni risk sana,hujui huko unakonunua kalelewa vp.Mie niko Mwanza na natafuta kuku,wa kienyeji mwenye sifa kutaga mayai megi, mzazi mzuri na ,tunzaji mzuri wa vifaranga, kama unao tuwasiliane
kama upo kanda ya ziwa naweza kukupa vifaranga wa kienyeji wazuri wenye chanzo na afya nzuri.Hongera sana. Umeniamsha.
Nisaidie nitapata wapi vifaranga vya kienyeji?
Weka namba tuwasiliane nitakupa vifaranga wazuri hadi hautanisahau katika ufugaji mkuuMie niko Mwanza na natafuta kuku,wa kienyeji mwenye sifa kutaga mayai megi, mzazi mzuri na ,tunzaji mzuri wa vifaranga, kama unao tuwasiliane
kama upo kanda ya ziwa naweza kukupa vifaranga wa kienyeji wazuri wenye chanzo na afya nzuri.
Dah! ningekupa mbegu kama hii ya kienyeji.Hapo haijaanza hata kuwika mzeeNido Dar es Salaam ndugu yangu
Ni vizuri uende kwenye duka la dawa za mifugo utapata ushauri mzuri wa dawa ya kutumia kutokana na maelezo utakayowapa.dawa gani niwapatie
Mkuu inatakiwa uwajengee eneo kubwa ili iwepo hewa ya kutosha nnachokiona kwenye hili bamba kati ya eneo lako na jirani yako kale kauchochoro ndio umeweka banda ongeza eneo mkuuHabari Wadau wenzangu!
Nina siku 15 (Wki 2 nasiku 1) tokea nimeanza ufugaji wa kuku wa kienyeji. Nilianza na Majike 15 na jogoo 1, nashukuru leo tarehe 21/09/2014 nimekamilisha trei moja la mayai na kupata mteja mara moja (Inaonyesha biasara ya mayai ya kuku wa kienyeji ni nzuri kuwa yana hitajika kwa wingi).
Plani yangu Mpaka mwisho wa mezi huu ninunue mitetea 10 mingie na jogoo 1 jumla ya uku wote iwe 27, ili niongeze uzalshaji wa mayai. Na kufikia mwezi wa 11 ninunue eneo kubwa la kufugia kibiashara maana hapa ni kama natafuta uzoefu.
Kimenistua kitu kimoja niliona juzi Mtetea mmoja una chechemea nikamshika baada ya kumchunguza nikamkuta anakidonda chini ya nyayo zake (Kama inavyo onekana kwenye picha ya tatu hako kakidonda kanjano hivi) kwa sasa hali yake si mbaya yupo karibu kurecover.
Naomba ushari juu ya hili tatizo la huyu mtetea ili niweze kulikabili lisiudie tena maana nahisi hajisiki vizuri na anaweza punguza utagaji.
Nashukuru wadau wote walio nihamasisha kuingia kwenye ufuaji kwa amna Tofauti tofauti.
-----------------------------------------------------------UPDATES--------------------------------------------------------------------------------
Habari Wadau kwa mara nyingine.
Yule mtetea aliye kuwa ana chechemea kwa sasa kapona kabisa na sikutumia dawa yeyote, ila naona mwingine pia aliye anza kutaga juzi anachechemea na hana kidonda sehemu yeyote miguuni sasa hapa ndipo ninapo shindwa kuelewa. May be Wanapigana(lakini ka kipndi chote nilicho kaa nao sijaona hii tabia) au ni uzito wa jogoo anapo wakmbiza maana ni jogoo kubwa.
Nimeendelea kutafuta case kama hii kwenye nyuzi nyingine ila bado sijapata.
Wenu katika UJASIRIAMALI: pH 7
Dah! ningekupa mbegu kama hii ya kienyeji.Hapo haijaanza hata kuwika mzeeView attachment 416774
Hii naiita Simiyu commercial breed,ipo kama kuchi tu,nzuri kibiashara.Aiseee, mbona unanirusha roho?! Hebu nambie hiyo aina inaitwaje niwasake, dar hakikosekani kitu
Hii naiita Simiyu comercial breed,ipo kama kuchi tu,nzuri kibiashara.View attachment 416802View attachment 416806
kuna badhi ya mbegu za kawaida unaweza kuzipata Dar mzee.Aiseee, mbona unanirusha roho?! Hebu nambie hiyo aina inaitwaje niwasake, dar hakikosekani kitu
Uko pande zipi kanda ya ziwa nam nahitajikama upo kanda ya ziwa naweza kukupa vifaranga wa kienyeji wazuri wenye chanzo na afya nzuri.