Faraja: Matokeo Ya Ufugaji Wa Kuku

Faraja: Matokeo Ya Ufugaji Wa Kuku

Mkuu Naomba unitumie na mimi, ila itakuwa rahisi ukiattach kwenye hii thread ili kila mtu apate.

Inaelekea kabanwa na shughuli zi kijasiriamali maana hata bado hatujawasiliana nae. mara ya mwisho alikuwa safarini.
 
Shukrani kwa ushauri Ndugu!
Nitajitahidi kutotolesha ilakwa sasa nina banda moja (Nimepangishwa) lakini nime plan kulifanyia partition ambamo nitalea vifaranga pindi nikianza rasmi utotoleshaji. Nadhani changamoto itakuweo wenye kulea vifaranga ndani ya banda la kuku wakubwa.

Ila plan yangu kubwa ilikuwa kununua kiwanja nje kidogo ya mji alafu ndio nianze utotoleshaji kwa wingi.

Vipi unanishaurje kuhusu kujenga kibanda ndani ya banda la kuku wakubwa kwa ajili ya vifaranga.

Hlw safi
 
Kila la kheri
Ni mimi ndugu yako a.k.a jirani yako wa tbt

Mafanikio mema bro!!!
 
nami pia naomba soft copy ya kitabu nami nafuga ntawapigia muone nina kuku 50 wa miezi 5 na 45 week 6

Mkuu usihofu jamaa akipata nafasi atatuwekea attachment ya hicho kitabu, ila mpaka sasa hajanitumia.
 
Huyu jogoo umempa shida sana...kuhudumia majike 27 ni tatizo sana
 
Hakikisha u awapa chakula chenye virutubisho vyote. Kuchechemea na miguu kukosa nguvu inaweza kuwa ni upungufu wa madini. Hakikisha madini yanakuwa ya kutosha. Pia kama unataka kuuza mayai tu na hutaki ya kutotolesha kufuga jogoo ni hasara tu. Kuku hutaga bila jogoo lakini mayai hayo ni kwa kula tu hayawezi kutotolewa. Hongera sana kwa mradi wako. Mm nafuga pia kuku chotara na ninatotolesha vifaranga wa kuuza, nipo Dodoma.
 
Ningefurahi kuona kila anaetuma ujumbe anataja mahali alipo. Tunaweza kushirikiana kwa kutembeleana kama tutaona tuko jirani. Pia kupeana masoko, mteja anaweza kuja kwako ww huna kumbe yupo mtu mkoani kwako na mko jirani anao kuku hana soko. Karibuni. Mm napatikana Dodoma.
 
Ningefurahi kuona kila anaetuma ujumbe anataja mahali alipo. Tunaweza kushirikiana kwa kutembeleana kama tutaona tuko jirani. Pia kupeana masoko, mteja anaweza kuja kwako ww huna kumbe yupo mtu mkoani kwako na mko jirani anao kuku hana soko. Karibuni. Mm napatikana Dodoma.

wazo zuri sana,Nina swali,hivi machotara huchukua muda gani kuanza kutaga kulinganisha na kienyeji pure?
 
CHAMGAMOTO NI MBEGU NZURI HASA KWA CHOTARA..KUNAMTU NILIMWAMBIA NATAKA MAYAI CHOTARA AKASEMA ATANIPATIA,ILEKULETA TUU,viyai vdgo sana,hajui ni chotara gani,, mimi nakaa drs,kimara ndo naaza ninamitetea 2, vifaranga 6 vya week5,na 8vfaranga vya 1week. vyote nimevitenga kulingana na umr wao,hivi 8vmekaa namama week1 nikavtoa. napenda mwenye hii mbegu,dorep,hata 1tray plz !! hii ndo 0785549495.
 
Mi nafanya harakati za kutengebeza incubeta ya kienyeji nikimudu ikaweza kufanya kazi vizuri ntaleta mrejesho na itakuwa mkombozi kwetu sisi tusiokuwa na mitaji ya mamilioni, ila kukosa mtaji wa mamilion hiyo haimaanishi kuwa hatuezi kupata hayo mamilioni
 
Mie niko Mwanza na natafuta kuku,wa kienyeji mwenye sifa kutaga mayai megi, mzazi mzuri na ,tunzaji mzuri wa vifaranga, kama unao tuwasiliane
 
Back
Top Bottom