Nani kakwambia upige picha uoneko?Farasi Wa ajabu wameonekana uko Zanzibar Leo wajuvi hii ina maana gani. Au ndo siku za mwisho izi. View attachment 1422339
Sent using Jamii Forums mobile app
sawa mkuu ata corona mlisema aiwezi kuua mbona SishangaiHuwezi kutudanganya kirahisi hivyo
kweli mkuu π€π€Mkoo ngoja waje wengine walio ona alafu turudi kwenye biblia takatifu kitabu cha ufunuo ndo kuna hizo abari za farasi.
Pia kuna project ilikuwa ya kumleta masihi nadhani ilikuwa inaitwa cjui blue nini tafuta hio mada kule intelligence
Sawa bhana
Sawa bhana
usingefungua kusoma ww ndo mbea afu jinsia yako ni ipi una mambo ya kishosti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sitashangaa sana maana watanzania walishawahi kumuona Nyerere kwenye mwembe.
Sent using Jamii Forums mobile app
ππππ Sawa mkuu
πππππ€π€ Sawa Mkuu
prove mkuu Ila hii ni real.Khaaa hii mbona inaonekana kabisa kuwa ni photoshop
Imerushwa kwenye vyombo vya habari??Farasi Wa ajabu wameonekana uko Zanzibar Leo wajuvi hii ina maana gani. Au ndo siku za mwisho izi. View attachment 1422339
Sent using Jamii Forums mobile app
Alisikika juha mmoja akisema.Farasi Wa ajabu wameonekana uko Zanzibar Leo wajuvi hii ina maana gani. Au ndo siku za mwisho izi. View attachment 1422339
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe hata kuandika hujui halafu unaniquoteusingefungua kusoma ww ndo mbea afu jinsia yako ni ipi una mambo ya kishosti