Farasi wa ajabu waonekana Zanzibar

Mkoo ngoja waje wengine walio ona alafu turudi kwenye biblia takatifu kitabu cha ufunuo ndo kuna hizo abari za farasi.
Pia kuna project ilikuwa ya kumleta masihi nadhani ilikuwa inaitwa cjui blue nini tafuta hio mada kule intelligence
kweli mkuu πŸ€”πŸ€”
 
Khaaa hii mbona inaonekana kabisa kuwa ni photoshop
 
Sijui habari za mapicha ya kutengeza lkn hii imetengenezwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…