Farewell to Angela Merkel

Farewell to Angela Merkel

Mara chache alipigiwa picha akienda dukani...
1639253887808.png

analipa
1639253988862.png

Hapa ni kama alialika wageni kwake ? (chupa 3 divai..)
1639254128547.png
 
Haya Sasa wale wazalendo uchwara
Mpo,hua mnaimba kelele zenu uchwara humu jamvini
Nye Nye Nye
Mnaweza ishi Maisha kama ya huyo mama kiongozi wa taifa la mabeberu na yupo normal tu?

Tatizo lenu ubinafsi,uroho,uchumia tumbo,njaa,ujinga,maradhi vinawaandama jitu ndani ya miaka mitano limekwapua trillion 1.5 huko
Na hata matumizi nayo halina linazisafirisha nje huko likifa wajanja wanazipiga kimya kimya huku wananchi wake hawana matundu ya vyoo
Shame to you CCM's leaders!
 
Back
Top Bottom