Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Kaka Mkubwa nipo diaspora,sina pa kumuonea!
Kwani hujawahi kumsikia yeye mwenyewe anatamkaje?Hivi hilo jina la pili linatamkwa "mido" au " midle" ?
Ila wabongo Mungu anawaona, kutitia tena??? HahahaIla kweli atakuja kutitia kwenye kiti
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Itakua hua yupo busy kuangalia unene wa mtangazaji kuliko kusikiliza utambulisho wake,
sawa
Inawezekana, mtu kila akisoma taarifa anajitambulisha leo anakuja kutuuliza swali kama hili kweli?Itakua hua yupo busy kuangalia unene wa mtangazaji kuliko kusikiliza utambulisho wake,
[emoji854][emoji854]
Boost your Immune System to fight a Covid-19.
[emoji3][emoji3] Jacqueline naye ajitafakari.. [emoji848]Naam
Huyu dada huwa namkubaii sana wakati wa usomaji wa Taarifa ya habari pale ITV.
Anajiamini na uwasilishaji wake wa habari ni mzuri kwakweli
Kwangu Mimi namuona inafaa sana BBC Swahili wamchukue huyu akasadiane na akina Kikeke na Zuhura kuliko wale Wakenya na Waganda wanaoongea Kiswahili Cha ovyo pale BBC.
Dada/Mama Farhia Middle jaribu fanya mazoezi upunguze huo uzito aisee [emoji43] kichwa kimekuwa duara Sasa Kama kiazi ulaya.
Nafikiri kuwa na mwili wa wastani ni moja Kati sifa nzuri ya News anchors wote
Natumaini utapita hapa na kusoma nakufanyia kazi huu ushauri wangu
Mimi nakukubali sana una taste Fulani hivi Ila huo mwili uliofutuka x [emoji47][emoji43][emoji47]unatisha.
Jackline Silemu na wewe jitafakari.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23]Wewe wasema apungue, mume aseme nenepa nile vilivyonona, unadhani atakusikiliza wewe. We angali habari, ukimaliza zima tv kalale.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani jina liandikwe "Middle" halafu litamkwe "midle" ? Labda kama mleta uzi kaongeza d moja.
Kwa hiyo mwenye jina lake mwenyewe anakosea?Yaani jina liandikwe "Middle" halafu litamkwe "midle" ? Labda kama mleta uzi kaongeza d moja.