Farhia Middle, tafadhali we mtoto wewe!

JF kuna vijana wa hovyo kabisa
 
Mm natumia tv ndogo ya chogo Huwa anajaa screen yote kwahiyo siungi mkono hoja
 
Ankoooo! Hujakosea....Hakika Farhia ni mrembo, na anaitendea haki taaluma yake!
 
Ila usisahau Sio kila king'aacho ni dhahabu.
 
Chibonge wetu Farhia
Sema afanye diet nzuri na mazoezi maana ubufukunyuku unamnyemelea
 
Hata sijui...hivi ni lugha gani hii...
Ila najua kuna kabila linapenda kusema baaah...
Kimakonde hiko cha kimalaba...
Hapo maja yake "" mtoto hana akili ""
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Dr Mengi.
R.I.P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…