Farhia Middle, tafadhali we mtoto wewe!

Basi kana ni hivyo. ukiniletea ng'ombe wapatao 500 tu mimi sina shida kabisa ya wewe kuwa mkwe wangu
 
Picha na video ziko wapi??

Hapa kama hamna picha badi Moderator wafute huu uzi kwani ni uzushi πŸ˜ƒ
 
 
Acha waoneshe misambwanda yao,wafukunyua mitaro wana wa zoom tu

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…