hahahahahahahahhhahaa jamani mate yana dondoka jamani unani tamanisha wewe acha tu
Unajitamanisha mwenyeo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahahahahahhhahaa jamani mate yana dondoka jamani unani tamanisha wewe acha tu
Ha ha haaaa, afu mi mchoyo enhee?
Kiukweli jana nimepika, zimetokea nis kiasi.
Lkn kwa vile nimejaribu nimepika kdg tu.
So next time ntapika kwa ajili ya members wooote wa mapishi.
Lol.
Hadi mie nimesahauliwa😱😱😱
Salaleee...
Hadi mie nimesahauliwa😱😱😱
Salaleee...
Ashakumzi matusi......................niliposoma 'nyama tunayowekaga katikati ya'
kidogo niseme astaghafirulahi
Ha ha haaaaa, mwalim nsameh.
Hayajaja mazuri sana ya kukupa wewe ungenicheka.
kesho napika hii kitu ntaleta feedback kama imetoka maloloso au?tatizo kijijini huku sina uhakika kama ntapata nyama ya kusaga ila kuna kijisupermarkte nitajaribu hapo
hii nyama cwezi ichemshe kidogo,limao vp?maa
Ha ha haaaa, afu mi mchoyo enhee?
Kiukweli jana nimepika, zimetokea nis kiasi.
Lkn kwa vile nimejaribu nimepika kdg tu.
So next time ntapika kwa ajili ya members wooote wa mapishi.
Lol.
Ukiweka ndimu itawiva tu huna haja ya kuchemsha....
my dia ndo nimetoka supermarket nimepata nyama ya kusaga,mayonnaise,mkate wa kawaida kwa ajili ya chengachenga.Vingine nnavyn home ila sasa burger bun nimezunguka mji mzima kuutafuta sijaupata yaani mesononeka ntaishia kula ya kusaga na sphagheti.Next weekend nitautafuta wanaosema leo wanaosupply huo mkate hawajaleta
Si ungepika mwenyeo tu hizo buns...
Natamani ningekuoa wewe jaman maana unaoneka upo vizuri kila idara
Hahaha jamani wewe