Farid Musa Ulaya ndio basi tena?


Zipo Sana
Ungesoma ya Boban ungelia
 
Nafikiri badala ya kubaki makabatini wajitokeze watu wazikusanye watengeneze kama kitabu hivi wapewe wakina Ivo Mapunda wenye hizi "Academy" ziwasaidie watoto wa kitanzania kwa siku zijazo ili wasije kuwa kama wakina "Boban"
Vitabu hii nchi havisomwi
Watengeneze makala "documentaries" au wampe diamond atengenezee wimbo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…