fimboyaasali JF-Expert Member Joined Jan 14, 2011 Posts 8,617 Reaction score 8,244 May 24, 2024 #1 ongeza bidii kufanya mazoezi,na ukipewa nafasi kucheza ongeza umakini uwanjani
Chukwu emeka JF-Expert Member Joined Jan 12, 2018 Posts 24,314 Reaction score 38,919 May 24, 2024 #2 Ni mchezaji mzuri sana ila naona Bench limemmaliza sana,kwa local players hatupaswi kumuacha kwasababu anakitu
Ni mchezaji mzuri sana ila naona Bench limemmaliza sana,kwa local players hatupaswi kumuacha kwasababu anakitu
The Conscious JF-Expert Member Joined Mar 18, 2021 Posts 740 Reaction score 1,218 May 24, 2024 #3 Jamaa aongeze jitihada,kuna siku nilimuona kaingia kipindi cha pili kacheza kidogo tu akatolewa daah kwa wachezaji hicho kitu huwa hakipendezi kabisa
Jamaa aongeze jitihada,kuna siku nilimuona kaingia kipindi cha pili kacheza kidogo tu akatolewa daah kwa wachezaji hicho kitu huwa hakipendezi kabisa
Shadow7 JF-Expert Member Joined Sep 28, 2020 Posts 24,606 Reaction score 39,289 May 24, 2024 #4 Ni mchezaji mzuri tuendelee kumpa muda
fimboyaasali JF-Expert Member Joined Jan 14, 2011 Posts 8,617 Reaction score 8,244 May 24, 2024 Thread starter #5 Chukwu emeka said: Ni mchezaji mzuri sana ila naona Bench limemmaliza sana,kwa local players hatupaswi kumuacha kwasababu anakitu Click to expand... ni kweli
Chukwu emeka said: Ni mchezaji mzuri sana ila naona Bench limemmaliza sana,kwa local players hatupaswi kumuacha kwasababu anakitu Click to expand... ni kweli
fimboyaasali JF-Expert Member Joined Jan 14, 2011 Posts 8,617 Reaction score 8,244 May 24, 2024 Thread starter #6 The Conscious said: Jamaa aongeze jitihada,kuna siku nilimuona kaingia kipindi cha pili kacheza kidogo tu akatolewa daah kwa wachezaji hicho kitu huwa hakipendezi kabisa Click to expand... ni kweli ndio maana mechi iliyofuata na dodoma jiji,gamondi alimpa dakika 70 kucheza
The Conscious said: Jamaa aongeze jitihada,kuna siku nilimuona kaingia kipindi cha pili kacheza kidogo tu akatolewa daah kwa wachezaji hicho kitu huwa hakipendezi kabisa Click to expand... ni kweli ndio maana mechi iliyofuata na dodoma jiji,gamondi alimpa dakika 70 kucheza