Farid Mussa sasa rasmi Jangwani

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,553
Wakati lile movie likiendelea huko Karume leo wananchi wametangaza ingizo jipya, ni Farid Mussa aliyekua akikipiga huko mbele.

===

Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili winga wa zamani wa Azam FC na Tenerife B ya nchini Hispania Farid Mussa
 
mbona kama unatufokea sasa..!!!!!!!!!!!!!!
 
Kutoka tenerife hadi jangwani,akili za ajabu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…