Farid Mussa sasa rasmi Jangwani

Farid Mussa sasa rasmi Jangwani

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,553
Wakati lile movie likiendelea huko Karume leo wananchi wametangaza ingizo jipya, ni Farid Mussa aliyekua akikipiga huko mbele.

===

Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili winga wa zamani wa Azam FC na Tenerife B ya nchini Hispania Farid Mussa
 
mbona kama unatufokea sasa..!!!!!!!!!!!!!!
 
Kutoka tenerife hadi jangwani,akili za ajabu sana
 
Back
Top Bottom