MabatiBeiNafuu
Member
- Aug 24, 2021
- 72
- 65
Wananzaga hivihiviHii ndio fashion aliyekuja nayo mkali wa Bongofleva hapa Tanzania.
Ukipata Nafasi ya Kukutana na Msanii Barnaba AKA Mopao Mkali wa Fashion
Je Utampa Neno Gani. kwa Fashion hii.???
View attachment 1912776
Barnaba wa THT πwait....huyo ni barnaba au babra?
Hamza mtaje na yeyeDah..huu mwaka ..
Manara kaenda Yanga
Rais kafa
Messi kaondoka Barca
Sasa huyu nae kakosa nguo zote kaanza vaa sketi?
Kitakachofuata?Alianza kwenye kusuka
Kisha akaja kwenye kuvaa hereni
Akaona haitoshi sasa
Anavala sketi
Sawa sawa
wait....huyo ni barnaba au babra?
Umesahau CR7 karudi Man UDah..huu mwaka ..
Manara kaenda Yanga
Rais kafa
Messi kaondoka Barca
Sasa huyu nae kakosa nguo zote kaanza vaa sketi?
Hamza hujamtajaUmesahau CR7 karudi Man U
Umber ruty kaharikwa shuleni
Tozo zimeongezeka
Kijana bado kidogo anabadirishiwa jina anakuwa Babra
Mueaushini maeneo fulani ya Dodoma kabla tatizo halijawa kubwaHii ndio fashion aliyekuja nayo mkali wa Bongofleva hapa Tanzania.
Ukipata Nafasi ya Kukutana na Msanii Barnaba AKA Mopao Mkali wa Fashion
Je Utampa Neno Gani. kwa Fashion hii.???
View attachment 1912776
Mmmh pplHii ndio fashion aliyekuja nayo mkali wa Bongofleva hapa Tanzania.
Ukipata Nafasi ya Kukutana na Msanii Barnaba AKA Mopao Mkali wa Fashion
Je Utampa Neno Gani. kwa Fashion hii.???
View attachment 1912776
Ndo tuyaoneeeDah..huu mwaka ..
Manara kaenda Yanga
Rais kafa
Messi kaondoka Barca
Sasa huyu nae kakosa nguo zote kaanza vaa sketi?