Fashion mpya ya Vanessa Mdee

Fashion mpya ya Vanessa Mdee

Sidhani
Kama kuna ubaya ila ubaya ni
Kulaumu bila kujua sababu za lawama
Zetu.
 
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Akisena Akiwa Mbeya
Hivi Yule Aliyekumbatiwa Angekuwa Binti Yangu
Ningewazaba Vibao Wote Wawili, Bila Shaka Huyo Kama Ni Binti Yako.........
 
STRESS ZA MAPENZI MBAYA SANA. NAMUONA RAY C MPYA KWA MBAAAALI
 
Anampa taarifa EX wake kuwa kwa sasa anaenea na kupwaya kwa jamaa aliyenaye.
 
Penye ukweli lazima pasemwe huyu mwanadada Vanesa Mdee hayupo sexy kabisa yani havutii kabisa akivaa nusu utupu tofauti na mastaa wenzake wa kike.

Sijawahi kuona Vanesa kapost picha amevaa chupi akapendeza zaidi ya kujichoresha tu maana mvuto kwake ni zeroo kabisa na kwa mwendo huu ataishia kumegwa na kutemwa

Huyu Vanesa licha ya kuwa na mwili usiovutia hata jikoni ni zero kabisa ,sasa kuoa mwanamke kama huyu ni hasara maana kupika hajui, mwili wa kuvutia hana ,tako hana , tena si ajabu hata kwenye sita kwa sita ukakuta ni gogo kabisa.

20190918_214217.jpeg
 

Attachments

  • 20190918_214217.jpeg
    20190918_214217.jpeg
    33.6 KB · Views: 34
Kapendeza na ni maisha yake kuvaa anavyoona kwake ni sawa
 
Basi avue nguo zote ili maadili yaongezeke?
Watu hawaleti hisia kwenye business. Huyu mdada katika wasanii wanaojua kujibrand bhasi anaongoza na ndio maana anapata deals zilizopo international maana anauzika pakubwa.
Haijalishi ipo right or wrong kwako lakini kwake ndio inamlipa
 
Back
Top Bottom