Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna kitu kama hicho. Mtu akijiaibisha ni yeye mwenyewe kaaibika. By the way kapendeza sijaona tatizo[emoji226]1 akioza wote...
Hivi matokeo toka kwa mkemia mkuu kipindi kile yalikuwaje?Shikamoni wakubwa, wadogo malhaba!!
Huu ndyo mwonekano mpya wa mwanamuziki Vanessa Mdee. Toa koment yako juu ya uvaaji wake, je ni utandawazi au ni ushamba wangu? View attachment 1210840
Hakuna vitu vibaya kama frustrations na stress......Shikamoni wakubwa, wadogo malhaba!!
Huu ndyo mwonekano mpya wa mwanamuziki Vanessa Mdee. Toa koment yako juu ya uvaaji wake, je ni utandawazi au ni ushamba wangu? View attachment 1210840
KumbeAlizaliwa ufaransa kakulia kule sioni cha ajabu.
Nimependa [emoji8][emoji8]
Uchi wa kwake waaibike wenginee [emoji849]
Watu hawaleti hisia kwenye business. Huyu mdada katika wasanii wanaojua kujibrand bhasi anaongoza na ndio maana anapata deals zilizopo international maana anauzika pakubwa.
Haijalishi ipo right or wrong kwako lakini kwake ndio inamlipa