Sijui huwa wanalazimishwa kucheka, maana sio kwa matabasamu yale, mmmh hii nayo nje ya mada[emoji85]Hahahahahaa mkuu umenifanya nikumbuke videos kadhaa za Rose Muhando,Bonny Mwaitege n.k
Nimecheka sana.
Weeeh! Styl gani hizo?Hata kugegeda walokoke wanastili zao
Hebu tafuta mmoja kisha uje unisimulie.Mhhhhh hebu tujuze walau kidogo mumy,wengine kama mimi sijawahi kabisa kudate na mlokole!
njoo pm mm ni mlokole nikupe upakoMhhhhh hebu tujuze walau kidogo mumy,wengine kama mimi sijawahi kabisa kudate na mlokole!
Mdakuzi hana shida bwana, unamwambia ulikuwa practical.
Oooh itakuwa tunapishana labda, mpe hi.Hahahahaaaa hunitakii mema wewe!
Yupo mumy,tena nowdays kajaa humu sana tu.
Zimefika....Oooh itakuwa tunapishana labda, mpe hi.
Mie napitaga kimya kimya nasomaaaa, nafurahi nalala.Zimefika....
Twende zetu tukasome story ya Lara na hivi katuletea ya uswahilini noma sana.
Yani sometime nikiangaliaga video zao nikiwa nasafiri kwenye ma'bus nabaki nacheka mwenyewe.hivi kwanini madansa wa waimba injili huwa wanatabasamu tuseme wanagrin muda wote? mpaka wanakuwa kituko.
Unizidi Mimi nimecheka had I hapa grocery nzima wamenishangaaHahahahahaa mkuu umenifanya nikumbuke videos kadhaa za Rose Muhando,Bonny Mwaitege n.k
Nimecheka sana.
Nao uko sawa ya wengi hawapendi kuwatengeneza wapenzi wao kuendana na matakwa Bali watengenezewe tu,Nawe kiboko ama ulikua umechokana na huyo girlfriend? Maana haiingii akilini kumwacha umpendea kisa shati la kung'ara si ungemwelimisha tu.
Hahahahaaa siwapatii picha.Kwaya za kilokole kutoka mbeya wanapenda moka nyeupe, mashati ya kumeremeta, na vizibao hatareeee
Angalia video za ambwene mwasonge na mwaitegeHahahahaaa siwapatii picha.
Naona umeattach picha ila mie sioni,sijui ni hivi natumia version ya zamani?