Fastjet ni kero tupu!

Ha ha ha, kaz kwelikweli, no har in africa ndo itawakomesha wabongo, kila ck mtaishia kulalama
 
Mkuu hiyo mbona ishatokea KIA watu tulikaa kimya tuu yaani sasa hivi ndege zimepanda wapandaji
Fungua attachment hiyo
Ebu tupe maelezo mkuu ya iyo attachement,sijawahi fika kIA,waliiingiaje awo wamachinga adi karibu na ndege kunadi bidhaa zao?
 
Jamaa hawana bei ya chini wala nn! Usanii 2

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mkuu hiyo mbona ishatokea KIA watu tulikaa kimya tuu yaani sasa hivi ndege zimepanda wapandaji
Fungua attachment hiyo

Hao jamaa wako uwanja gani! Hapa tz
 
Jamaa hawana bei ya chini wala nn! Usanii 2
kweli kabisa ila naona watu wanashabikia bila kuwa na ushaidi, Dar-KIA-Dar ni 198000 lakini bado kuna masharti kibao kama kutorudisha nauli ukiahirisha safari, kulipia mziko wako wa kawaida,ukichelewa kidogo ndege inakuacha
 
mleta mada next time tumia precision au Qatar.
 
Kama wamekuacheni rudini mkapande coaster ziko nyingi ziendazo mikoani...na DCD za G'mboto pia zitaanza trip za mikoani,ondoa shaka.
 
wewe inaonekana uwezo wako wa kufikiri ndo umeishia hapo,jitahidi usafiri kwenye nchi zenye mwanga kidogo ubongo utapata mwanga

,delay kwenye airline yoyote ni kitu cha kawaida,wabongo wengi tumelakla sana,amkeni mtembee kidogo

Hii Fastjet itafundisha Watanzania discipline.
 

Babu ndege sio basi la green star kuna madaraja so likijaa la kajamba nani huku kwa 32000 basi utapata kwa ghali. Sema wabongo hatujui timing wakisema saa 8 ww waja saa9. Basi wakusaidiaje labda kodi taxi fukuzia utawakuta kibamba
 
Mkuu siku nyingine uwahi.

Hiyo 32,000 lazima ufanye booking mapema. ukitaka kuparamia ndege kama daladala lazima Na wewe wakubamize kwa bei
 
Ndege yenyewe inaitwa FAST JET alafu nyie mnaremba unategemea nini hapo.mambo fastafast nyie mnaleta ulegelege,ndio maana hata msaada wenyewe wa ndege tunaona ni vitu vigeni sababu ya huu uzembe wa kuchelewa kwenye kila kitu.mambo FASTAFASTA,
 
Mkuu usijal bado uko kwenye transition itafika mda utazoea tu coz kutoka kwenye chakito au ngorika mpaka kuruka na mwewe si kitu kidogo t needs enough time..si wenzako tushazoea toka zamaan coz toka watoto tulikua tunatumia sana mwewe yan ulaya kama unaenda ilala..don gve up ndo maisha yalivo
 
Hili nipo uande wao
 

Mi nina wasiwasi na mleta mada. Reporting time ni two hours before departure time. Fast jet wanataka 40 minutes before take off uwe ume check in. Sasa hiyo dakika 1 aliyochelewa ilikuwa ni baada ya time ipi? Halafu kama kuna emergence kuna taratibu zake za kutoa taarifa.
 
Last edited by a moderator:
sio kweli wadogo zangu walikua wanaenda mwanza na wamachelewa almost 15 min lkn walifanyiwa checking.... ila swala la bei kweli maana they paid 123000 kila moja kama nauli n still wakalipishwa hela ya mizigo without forgeting ndani ya airplane hakuna free service kama.ni soda hata maji vyote utatakiwa kuvinunua.
 

Duh... wanalipishwa mizigo kuanzia uzito gani?? Isijekuwa hata handbag mtu unalipishwa :lol:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…