Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Waache hizo,, watu tushachelewa qatar, ndege ya saa 7 tumefika airport saa 6 tulikuta wameshafunga sehem zao za check in na computer zimeshazimwa lakini walikuja wakawasha computer na waka print sticker zao za mabeg tukafanyiwa check in fasta as emergence na tukaingia as kama tulikuwa tunasubiriwa sisi as tulivyoingia tu ndo ndege ikafungwa na kuanza kuondoka..
Sembuse hao wa dakika 1,,, sizani kama kuna ndege inamtosa abiria kwa dakika 1... Na hata KLM nilishachelewa ORD na bado hawakufunga fasta tukafanyiwa check in na tukaingia...
Kila abiria wakimtosa kuchelewa si itakuwa balaa kwenye connections mfano you have almost 3 connections to final destinations so ukiikosa ndege ya kwanza transit zote zinaharibika as sio kila sehemu kuna daily flights.. Mfano ukiachwa na turkish may be in chicago inabid usubiri 2 days kupata connection ya turkish from instanbul to dar si balaa hilo na kama imejaa si wiki nzima inakula kwako upo airport tu...
Hao fast jet hata kama ni ku keep time wamezidi maana hata international airline hazipo systematic kiasi hicho
Duh... wanalipishwa mizigo kuanzia uzito gani?? Isijekuwa hata handbag mtu unalipishwa :lol:
Habari zenu wanajamvi,
Kuna baadhi ya mambo yananichanganya kuhusu hawa fastJet,
1.Bei zao wanazotutangazia hazina ukweli wowote na hazikaribiani na ukweli,
Mfano leo kwenye website yako wamatutangazia ndege yao ya kwanza kutoka Dar kwenda KIA ni tsh32,000 ,nimepiga simu wanasema ni Tsh107000=.
2.Ukichelewa hata dakika moja baada ya reporting time hawakujui,kwani wameshachukua chao,wanakunyima safari.Hii imemtokea jamaa yangu mmoja leo jioni,walikuwa zaidi ya abiria 8 lakini hawakuwasikiliza zaidi ya kuwapa majibu ya kukatisha tamaa na kejeli,
3.majibu yao kwa ujumla wanaonekana kama abiria wanaopanda hiyo ndege wanapanda bure,au ni kama msaada flani,hawamthamini abiria kabisa,
4.Watanzania wenzangu tunaofanya hapo fastjet na wateja ebu jaribuni kuipa thamani pesa yetu ilingane na huduma tunayopewa na tunayotoa kwa wateja,hatuhitaji msaada wenu,
Mwenye kero kama zangu tiririka hapa
Waache hizo,, watu tushachelewa qatar, ndege ya saa 7 tumefika airport saa 6 tulikuta wameshafunga sehem zao za check in na computer zimeshazimwa lakini walikuja wakawasha computer na waka print sticker zao za mabeg tukafanyiwa check in fasta as emergence na tukaingia as kama tulikuwa tunasubiriwa sisi as tulivyoingia tu ndo ndege ikafungwa na kuanza kuondoka..
Sembuse hao wa dakika 1,,, sizani kama kuna ndege inamtosa abiria kwa dakika 1... Na hata KLM nilishachelewa ORD na bado hawakufunga fasta tukafanyiwa check in na tukaingia...
Kila abiria wakimtosa kuchelewa si itakuwa balaa kwenye connections mfano you have almost 3 connections to final destinations so ukiikosa ndege ya kwanza transit zote zinaharibika as sio kila sehemu kuna daily flights.. Mfano ukiachwa na turkish may be in chicago inabid usubiri 2 days kupata connection ya turkish from instanbul to dar si balaa hilo na kama imejaa si wiki nzima inakula kwako upo airport tu...
Hao fast jet hata kama ni ku keep time wamezidi maana hata international airline hazipo systematic kiasi hicho
hata 20kgs zilikua hazijafika wanasema hela unayolipia wakati wa kukata ticket chargez za mizigo huwa ziko excluded hizo utalipia airport wakishapima mizigo yako
Habari zenu wanajamvi,
Kuna baadhi ya mambo yananichanganya kuhusu hawa fastJet,
1.Bei zao wanazotutangazia hazina ukweli wowote na hazikaribiani na ukweli,
Mfano leo kwenye website yako wamatutangazia ndege yao ya kwanza kutoka Dar kwenda KIA ni tsh32,000 ,nimepiga simu wanasema ni Tsh107000=.
2.Ukichelewa hata dakika moja baada ya reporting time hawakujui,kwani wameshachukua chao,wanakunyima safari.Hii imemtokea jamaa yangu mmoja leo jioni,walikuwa zaidi ya abiria 8 lakini hawakuwasikiliza zaidi ya kuwapa majibu ya kukatisha tamaa na kejeli,
3.majibu yao kwa ujumla wanaonekana kama abiria wanaopanda hiyo ndege wanapanda bure,au ni kama msaada flani,hawamthamini abiria kabisa,
4.Watanzania wenzangu tunaofanya hapo fastjet na wateja ebu jaribuni kuipa thamani pesa yetu ilingane na huduma tunayopewa na tunayotoa kwa wateja,hatuhitaji msaada wenu,
Mwenye kero kama zangu tiririka hapa
Habari zenu wanajamvi,
Kuna baadhi ya mambo yananichanganya kuhusu hawa fastJet,
1.Bei zao wanazotutangazia hazina ukweli wowote na hazikaribiani na ukweli,
Mfano leo kwenye website yako wamatutangazia ndege yao ya kwanza kutoka Dar kwenda KIA ni tsh32,000 ,nimepiga simu wanasema ni Tsh107000=.
2.Ukichelewa hata dakika moja baada ya reporting time hawakujui,kwani wameshachukua chao,wanakunyima safari.Hii imemtokea jamaa yangu mmoja leo jioni,walikuwa zaidi ya abiria 8 lakini hawakuwasikiliza zaidi ya kuwapa majibu ya kukatisha tamaa na kejeli,
3.majibu yao kwa ujumla wanaonekana kama abiria wanaopanda hiyo ndege wanapanda bure,au ni kama msaada flani,hawamthamini abiria kabisa,
4.Watanzania wenzangu tunaofanya hapo fastjet na wateja ebu jaribuni kuipa thamani pesa yetu ilingane na huduma tunayopewa na tunayotoa kwa wateja,hatuhitaji msaada wenu,
Mwenye kero kama zangu tiririka hapa
Unalipa 32000 au hata 100,000,kwenda kurudi kj na unachelewa???nyie ndio wapuuzi wote 8,mshafanya hilo daladala.basi la mkoa lenyewe halisubiri abiria itakua ndege.nawapa sifa hao staff maana wangewaendekeza nyie itakuwa taabu mtataka hata kutumiwa gari nyumbani kuwachukua na buku 30 zenu nyambaf.
Cc FJM fast jet manager
teeehee teehee
Unalipa 32000 au hata 100,000,kwenda kurudi kj na unachelewa???nyie ndio wapuuzi wote 8,mshafanya hilo daladala.basi la mkoa lenyewe halisubiri abiria itakua ndege.nawapa sifa hao staff maana wangewaendekeza nyie itakuwa taabu mtataka hata kutumiwa gari nyumbani kuwachukua na buku 30 zenu nyambaf.
Mkuu usijal bado uko kwenye transition itafika mda utazoea tu coz kutoka kwenye chakito au ngorika mpaka kuruka na mwewe si kitu kidogo t needs enough time..si wenzako tushazoea toka zamaan coz toka watoto tulikua tunatumia sana mwewe yan ulaya kama unaenda ilala..don gve up ndo maisha yalivo