johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mungu ni mkubwa.Akizungumza katika misa ya mazishi ya Balozi Kijazi Katibu wa TEC father Kitima amesema wanakubaliana na tamko la Rais Magufuli kwamba wananchi wamwombe Mungu bila kuacha kuchukua tahadhari za kisayansi dhidi ya ugonjwa wa Corona.
Father Kitima amesema ni vema wananchi wakachukua tahadhari zote za kisayansi dhidi ya ugonjwa wa Corona huku wakimtanguliza Mungu mbele.
Chanzo: TBC
Maendeleo hayana vyama!
Huu ugonjwa ni communicable desease, maana yake ni ugonjwa unaoambukizwa kwa haraka kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.Mwili na afya ni yako kwann usubirie matamko utadhani afya yako ni Mali ya umma.
Kama TAG wameshatupa tuzo ya kuishinda corona kupitia maombi matamko ya nini tenaHuu ugonjwa ni communicable desease, maana yake ni ugonjwa unaoambukizwa kwa haraka kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.
Wewe mwenyewe ukijikinga halafu watu wengine hawajajikinga haikusaidiii maana hili gonjwa kupamabana nalo inahitaji ushirikiano kwa jamii nzima.
Huruma!
Akizungumza katika misa ya mazishi ya Balozi Kijazi Katibu wa TEC father Kitima amesema wanakubaliana na tamko la Rais Magufuli kwamba wananchi wamwombe Mungu bila kuacha kuchukua tahadhari za kisayansi dhidi ya ugonjwa wa Corona.
Father Kitima amesema ni vema wananchi wakachukua tahadhari zote za kisayansi dhidi ya ugonjwa wa Corona huku wakimtanguliza Mungu mbele.
Chanzo: TBC
Maendeleo hayana vyama!
mungu wenu hajaridhika na kafara za kina Ben Saanane, Azory Gwanda Kanguye, Akwilini Akwilini mlizotoa labda anahitaji kafara zaidi ili awasikie👇👇👇👇👇👇
Nani ambae haamini km huo ugonjwa upo?, huyo asie amini ameshikilia afya yako?!, wewe huyo asie amini ni mmeo kwamba mko nae kitanda kimoja,.?.ukijikinga wewe atapona yeye?, AU asipojikinga yeye utakufa wewe,usiwe mjinga na mpumbavu,fanya kile unachoona kinakufaaHuu ugonjwa ni communicable desease, maana yake ni ugonjwa unaoambukizwa kwa haraka kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.
Wewe mwenyewe ukijikinga halafu watu wengine hawajajikinga haikusaidiii maana hili gonjwa kupamabana nalo inahitaji ushirikiano kwa jamii nzima.
Sasa ikiwa kwenye jamii kuna wengine hawaamini kama huo ugonjwa upo na mbaya zaidi wameaminishwa na kiongozi wa nchi unategemea hata wewe ukichukua hatua mwenyewe itasaidia nini?
Hii mada haijaidiliwi na mashoga, tafuta mwanaume akitindue na usishobokee waume za watu humu, hizi mada zinajadiliwa na wanaume wenye akili.Nani ambae haamini km huo ugonjwa upo?, huyo asie amini ameshikilia afya yako?!, wewe huyo asie amini ni mmeo kwamba mko nae kitanda kimoja,.?.ukijikinga wewe atapona yeye?, AU asipojikinga yeye utakufa wewe,usiwe mjinga na mpumbavu,fanya kile unachoona kinakufaa
nakazia hapo "bila kuacha kuchukua tahadhari"Akizungumza katika misa ya mazishi ya Balozi Kijazi Katibu wa TEC father Kitima amesema wanakubaliana na tamko la Rais Magufuli kwamba wananchi wamwombe Mungu bila kuacha kuchukua tahadhari za kisayansi dhidi ya ugonjwa wa Corona.
Father Kitima amesema ni vema wananchi wakachukua tahadhari zote za kisayansi dhidi ya ugonjwa wa Corona huku wakimtanguliza Mungu mbele.
Chanzo: TBC
Maendeleo hayana vyama!
The underboss,sikukulenga wewe,nilikosea kiambata,,lkn namlaumu anaelalamika mkuu wa nchi kutokuvaa barakoa,acha yeye asivae,vaa wewe,Hii mada haijaidiliwi na mashoga, tafuta mwanaume akitindue na usishobokee waume za watu humu, hizi mada zinajadiliwa na wanaume wenye akili.
Jambo la pili mimi ni mume wa mtu, usinishobokee ukafikiri nitakutindua, tafuta mume, mimi ni mume wa mtu.
Endelea kujifukizaTupo nyuma sisi!!!
Maana yake nimewapa credit kwa kuchukua nafasi ya mhusika ambaye yeye anataka kulifanya Taifa kuamini kila kitu katika imani huku yeye mwenyewe akiwa ni mwana sayansi aliyebobea na wa kiwango cha elimu ya PhD!Waombe msamaha mapadre, mapadre,maaskofu wa wakikatoliki wapo vizuri sana kuliko huo utopolo