Kwame Nkrumah
JF-Expert Member
- Dec 2, 2008
- 886
- 376
Siku ya akina Mama imepita na sasa siku ya akina Baba inakuja. Tukumbushane mambo mazuri uliyotendewa na mzee that made you such a lady/gentleman that you are today.
Tukumbushane pia nicknames na majina tunayowaita wazee wetu, Dad, Baba, Mshua, Dingi ,Mkurugenzi, Jerumani [ jirani yetu walikuwa wanamuita baba yao hivyo kwa sababu alikuwa mkali sana ] n.k . Baba yako mlikuwa mnamuitaje?
Wengi wetu pia ni akina baba, Nini experience yako ya ubaba? Kipi hukutegemea katika ubaba? Kwa mlio ughaibuni mtoto wako ameishaanza kukurebisha kiingereza ? Ha haa haa... "dad it's not hOt,it's hAt"...
Sitasahau pia stori za Dingi kwamba " Nilikuwa nakuwa wa kwanza kila mwaka darasani" au " nilikuwa na akili sana nilirushwa sana madarasa" pia "nilikuwa mwanamichezo bora sana".
Ni wasaa pia tuwakumbuke akina baba wote waliotutangalia kwa mwaka uliopita na kuwashukuru kwa malezi mema na kuwaombea wapumzike kwa amani.
Tukumbushane pia nicknames na majina tunayowaita wazee wetu, Dad, Baba, Mshua, Dingi ,Mkurugenzi, Jerumani [ jirani yetu walikuwa wanamuita baba yao hivyo kwa sababu alikuwa mkali sana ] n.k . Baba yako mlikuwa mnamuitaje?
Wengi wetu pia ni akina baba, Nini experience yako ya ubaba? Kipi hukutegemea katika ubaba? Kwa mlio ughaibuni mtoto wako ameishaanza kukurebisha kiingereza ? Ha haa haa... "dad it's not hOt,it's hAt"...
Sitasahau pia stori za Dingi kwamba " Nilikuwa nakuwa wa kwanza kila mwaka darasani" au " nilikuwa na akili sana nilirushwa sana madarasa" pia "nilikuwa mwanamichezo bora sana".
Ni wasaa pia tuwakumbuke akina baba wote waliotutangalia kwa mwaka uliopita na kuwashukuru kwa malezi mema na kuwaombea wapumzike kwa amani.
Last edited: