Uchaguzi 2020 Fatma Karume a.k.a shangazi natamani kukuona mjengoni 2020-2025

Uchaguzi 2020 Fatma Karume a.k.a shangazi natamani kukuona mjengoni 2020-2025

kalisheshe

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2020
Posts
2,064
Reaction score
4,056
Natamani Sana kukuona bungeni 2020-2025 Fatma Karume a.k.a shangazi hoja zako zenye mashiko mitandaoni ndio zimenifanya nitamani kukuona pale mjengoni ukichangia hoja kwa serikali yetu.

Haijalishi utaingia mjengoni kwa chama gani ila hoja zako tu ndio zimenifanya nitamani kukuona mjengoni.

Sifurahii kuona hoja zako zikiishia mitandaoni tu Bali ninatamani kuzisikia pale mjengoni.

WanaJF tusaidiane kumshawishi huyu Mama kwani Ni hazina kwa taifa letu.
 
Fatma karume a.k.a shangazi
IMG_20200606_100211.jpeg
 
Itapendeza sana tena sana. Mlio karibu naye mshawishi agombee hata kupitia ACT/ CHADEMA
 
Natamani Sana kukuona bungeni 2020-2025 Fatma karume a.k.a shangazi hoja zako zenye mashiko mitandaoni ndio zimenifanya nitamani kukuona pale mjengoni ukichangia hoja kwa serikali yetu.
Haijalishi utaingia mjengoni kwa chama gani ila hoja zako tuu ndio zimenifanya nitamani kukuona mjengoni.
Sifurahii kuona hoja zako zikiishia mitandaoni tuu Bali ninatamani kuzisikia pale mjengoni.
Wana jf tusaidiane kumshawishi huyu Mama kwani Ni hazina kwa taifa letu.
Namshauri asijiunge na vyama vya siasa kwani vitampunguzia heshima.
Ukiwa mwanachama unalazimika kukubaliana na lolote linalotoka kwa mkuu wako.
Na hivi vyama vyetu vina makandokando kibso ambayo atalazimika kuyafagilia kwani ndiyo matakwa ya mwamba.
Na kwasababu Fetty amejikita kukemea anayoona hayafai basi aendelee na hiyo kazi ambayo mimi naona inamjengea heshima.
 
Ni kweli mkuu. Lakini naona ni vyema angekemea madudu akiwa pale mjengoni.
 
Natamani Sana kukuona bungeni 2020-2025 Fatma Karume a.k.a shangazi hoja zako zenye mashiko mitandaoni ndio zimenifanya nitamani kukuona pale mjengoni ukichangia hoja kwa serikali yetu.

Haijalishi utaingia mjengoni kwa chama gani ila hoja zako tuu ndio zimenifanya nitamani kukuona mjengoni.

Sifurahii kuona hoja zako zikiishia mitandaoni tuu Bali ninatamani kuzisikia pale mjengoni.

WanaJF tusaidiane kumshawishi huyu Mama kwani Ni hazina kwa taifa letu.

Hajui kujenga hoja huyo atabaki kuongea kama amebawa shingo na kupoteza muda bule bungeni
 
Yaani ukiandika vituko twitter unakuwa mbunge?
 
Nilimuangalia kwenye mahojiano kadhaa ila hamna kitu. Kuweka hasira mbele tu ndicho nlichokiona ila hoja za kuvutia kumsikiliza hana.
 
Back
Top Bottom