Maige Chagu
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 237
- 245
Huyo ndio zero kabisa kichwani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha ! Eti wakutumika , mi nadhani huyu dada anafaa kuwa kipozeo!.Yule sio wa mjengoni.Yule ni wakutumika tu.
Hapo utakubali maneno ya mh.Rwakatale eti hakili za plastic.Ha ha ha ! Eti wakutumika , mi nadhani huyu dada anafaa kuwa kipozeo!.
Ana sifa za kuwa mgombea mweza wa Tundu LisuFatma ni mwanamke ambae wengi tunamheshimu
Wewe acha kabisa.Kipoozeo ni jina la shehe.Ha ha ha ! Eti wakutumika , mi nadhani huyu dada anafaa kuwa kipozeo!.
Hoja zipi za kuunga mkono USHOGA au?
Mamluki wa under cover hao. Waogope kama ukoma. CCM wana mbinu kwa maelfuItapendeza sana tena sana. Mlio karibu naye mshawishi agombee hata kupitia ACT/CDM
Ila Fatma (Shangazi)yuko vizuri katika maandishi, ila hana kipaji cha kuongeaNatamani Sana kukuona bungeni 2020-2025 Fatma Karume a.k.a shangazi hoja zako zenye mashiko mitandaoni ndio zimenifanya nitamani kukuona pale mjengoni ukichangia hoja kwa serikali yetu.
Haijalishi utaingia mjengoni kwa chama gani ila hoja zako tuu ndio zimenifanya nitamani kukuona mjengoni.
Sifurahii kuona hoja zako zikiishia mitandaoni tuu Bali ninatamani kuzisikia pale mjengoni.
WanaJF tusaidiane kumshawishi huyu Mama kwani Ni hazina kwa taifa letu.
Bungeni siyo sehemu ya kupeleka vituko
Hv huyu shangazi ana mume ?
Wanatosha wale wale, hatutaki wengine tenaKama wale mazumbukuku wameingia cjui unashaur nn?
Wanatosha wale wale, hatutaki wengine tena