Uchaguzi 2020 Fatma Karume a.k.a shangazi natamani kukuona mjengoni 2020-2025

kalisheshe

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2020
Posts
2,064
Reaction score
4,056
Natamani Sana kukuona bungeni 2020-2025 Fatma Karume a.k.a shangazi hoja zako zenye mashiko mitandaoni ndio zimenifanya nitamani kukuona pale mjengoni ukichangia hoja kwa serikali yetu.

Haijalishi utaingia mjengoni kwa chama gani ila hoja zako tu ndio zimenifanya nitamani kukuona mjengoni.

Sifurahii kuona hoja zako zikiishia mitandaoni tu Bali ninatamani kuzisikia pale mjengoni.

WanaJF tusaidiane kumshawishi huyu Mama kwani Ni hazina kwa taifa letu.
 
Itapendeza sana tena sana. Mlio karibu naye mshawishi agombee hata kupitia ACT/ CHADEMA
 
Namshauri asijiunge na vyama vya siasa kwani vitampunguzia heshima.
Ukiwa mwanachama unalazimika kukubaliana na lolote linalotoka kwa mkuu wako.
Na hivi vyama vyetu vina makandokando kibso ambayo atalazimika kuyafagilia kwani ndiyo matakwa ya mwamba.
Na kwasababu Fetty amejikita kukemea anayoona hayafai basi aendelee na hiyo kazi ambayo mimi naona inamjengea heshima.
 
Ni kweli mkuu. Lakini naona ni vyema angekemea madudu akiwa pale mjengoni.
 

Hajui kujenga hoja huyo atabaki kuongea kama amebawa shingo na kupoteza muda bule bungeni
 
Hv huyu shangazi ana mume ?
 
Yaani ukiandika vituko twitter unakuwa mbunge?
 
Punguzeni matusi
Alafu mnasema ufipa ndy Wana matusi

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Vijana wa don town mna tabu sana!!!.
Tusi liko wapi sasa hapo?.Tena anatumika vizuri tu mwanzo mwisho.
Na naskia ni mildfild mzuri anapiga miguu yote kulia na kushoto.
 
Nilimuangalia kwenye mahojiano kadhaa ila hamna kitu. Kuweka hasira mbele tu ndicho nlichokiona ila hoja za kuvutia kumsikiliza hana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…