Fatma Karume aondolewa kwenye orodha ya mawakili (Permanent removal), akutwa na hatia ya kukiuka maadili

Fatma Karume aondolewa kwenye orodha ya mawakili (Permanent removal), akutwa na hatia ya kukiuka maadili

..area D aliposhambuliwa TL kuna walinzi wa geti kuu. walinzi hao waliondolewa siku ya tukio.

..pia kuna walinzi ambao wako assigned kwenye nyumba za viongozi wakiwemo mawaziri. hao nao walikuwa wameondolewa.

..Je, mhanga wa tukio lile akidai waliomshambulia waliwezeshwa/walishirikiana na wenye mamlaka na walinzi wa eneo la tukio atakuwa amekosea?
Siwezi kukupinga wala kukubaliana na wewe, kwani majuzi tu Mbowe naye alikuja na jambo ambalo linaonyesha kuwa siyo kweli kwamba nyumba za viongozi wanaoishi mle zina walinzi maalum. Hata hivyo nina mashaka na ukweli wa utaratibu wa ulinzi unaosema kwani kwa kawaida maeneo maalumu huwa yana ulizi wa doria, siyo ulinzi individualized kama unavyodai. Viongozi wanakuwa na body gurads wao, ambao unfortunately Lissu na Mbowe hawana.
 
Idadi ya wajinge imeakuwa inaongezeka sana Tanzania kiasi kuwa hawawezi kufikiri namna ya kutoa hoja bali lugha za mtusi tu. Kama mimi ni Kilaza wa Lumumba basi nina afadhali kidogo kuliko wewe kicheche wa Ufipa!
Soma maswali yangu alafu angalia na majibu yako kama umejibu hata moja?? Then kasirika tena kama ukiitwa kilaza!
 
Unaandika kwa hisisa na chuki tu. Yeye Karume ni mwanasheria, na amepata umaarufu huo kwa sababu ya taaluma yake ya sheria; sasa leo kama hakubaliani na mahakama, ambacho ndicho chombo kinachotoa haki kisheria, basi asipeleke kesi zake huko. Akishakubali kwenda kutaja kesi huko ina maana anakubali kuwa yuko pale kutafuta haki. Kwenda na kuanza kujifanya mjuaji ndiyo inamtokea puani sasa. Aliwahi kutoa vitisho fulani zamani kidgo ikabidi yule hakimu ajiotoe kwenye kesi na kuisababisha kesi ikae muda mrefu sana bila kusikilizwa kwa vile mahakimu wengine wote walikataa kuichukua. Hiyo ikawa ni kumtesa mteja wake ambaye alikuwa anataka shauri lake lisisikilizwe mapema, lakini lilichelewesha kwa takriban mwaka mzima kutokana na upuuzi wake. Yuko anaropoka kama vile hajui kuwa anaruhusiwa kukata rufaa iwapo hakubaliani na hukumu; ila uropokaji ndio anaotanguliza mbele kama vile amesoma sheria chini ya mti.

Bado hujatoa ushahidi wowote kuwa Lissu alishambuliwa na nani, ni maneno ya kujitungia kwa hisia na chuki tu. Zamani sana Profesa Jwani Mwaikusa alipigwa risasi na kuuwawa mchana kweupe na mpaka tunapoongea leo haijajulikana ni nani waliomshambulia. Ingekuwa ni leo hii ungesema pia kuwa ni serikali. Huwezi kujua kuwa mtu mropokaji namna hiyo huwa pia anatengeza maadui wengi huko huko mitaani.

Akwilina hakuuwawa kwa sababu zozote za kisiasa ilikuwa ni umamuzi mbaya wa askari mmoja katika kutuliza ghasia, lakini watu kama wewe leo mnalifanya jambo la kisiasa. Mara nyingi watu waliofilisika kisisasa hutafuta sababu nyingine zozote zile ili kuonekana wako relevant
Kite do cha serikali kushindwa kufanya uchunguzi kwa madai ya kukoswa ushirikiano toka kwa Lissu, kunyimwa matibabu na serikali na kuvuliwa ubunge kinyemeka huo ni Ujumbe todha kuwa ni nani alikuwa behind all this.
 
CCM ndio wamemfuta uwakili?!
Acha kujitoa ufahamu as if hujui ni namna gani vyombo mbalimbali vinaingiliwa kwenye awamu hii!!!

Kila mwenye akili timamu bado anakumbuka jinsi Tanganyika Law Society ilivyokuwa inawekewa figisu figisu at the time ilipokuwa inaongozwa na critics!

Lakini ajabu ya watu aina yenu ni pale unapokuta hata CCM wenyewe wakiongea hadharani tena bila aibu kwamba:-

Dola.png


Sasa ikiwa wanatumia hata vyombo vya dola for their own gain, ndo watashindwa ku-influence maamuzi ya TLS?! And if so, wewe ni nani hata ubishe anachosema hata General Secretary mwenyewe?!

Endeleeni tu kutetea upumbavu unaoendelea nchi hii but hatutaacha kuwakumbusha kwamba, kutetea maujinga yanayoendelea katu haitawafanya nanyi muwe salama and like them coz' the only like them will always be themselves, na watu pekee walio safe are themselves.... I mean The First Family, PERIOD!
 
Soma maswali yangu alafu angalia na majibu yako kama umejibu hata moja?? Then kasirika tena kama ukiitwa kilaza!
Swali lako nimelisoma na lilikuwa ni reflection hiyo hiyo ninayosema. Usidhani kuwa sijui kusoma na kuelewa mambo.
 
Acha kujitoa ufahamu as if hujui ni namna gani vyombo mbalimbali vinaingiliwa kwenye awamu hii!!!

Kila mwenye akili timamu bado anakumbuka jinsi Tanganyika Law Society ilivyokuwa inawekewa figisu figisu at the time ilipokuwa inaongozwa na critics!

Lakini ajabu ya watu aina yenu ni pale unapokuta hata CCM wenyewe wakiongea hadharani tena bila aibu kwamba:-

View attachment 1578809

Sasa ikiwa wanatumia hata vyombo vya dola for their own gain, ndo watashindwa ku-influence maamuzi ya TLS?! And if so, wewe ni nani hata ubishe anachosema hata General Secretary mwenyewe?!

Endeleeni tu kutetea upumbavu unaoendelea nchi hii but hatutaacha kuwakumbusha kwamba, kutetea maujinga yanayoendelea katu haitawafanya nanyi muwe salama and like them coz' the only like them will always be themselves, na watu pekee walio safe are themselves.... I mean The First Family, PERIOD!
Huu ni ujumbe tosha kuwa Tundu Antiphas Lissu ndo mgombea pekee mwenye hoja sahihi mwaka huu.

Nchi hii Uhuru na Haki vimepotea. Sasa ni dhahiri Tumchague Tundu Antiphas Lissu kwa ajiri ya uhuru, haki na maendeleo ya watu!
 
Kite do cha serikali kushindwa kufanya uchunguzi kwa madai ya kukoswa ushirikiano toka kwa Lissu, kunyimwa matibabu na serikali na kuvuliwa ubunge kinyemeka huo ni Ujumbe todha kuwa ni nani alikuwa behind all this.
Unayozungumza yana hisia na yanaweza kumfanya mtu achukie sana ila unasahau kuwa mengine yanatawaliwa na sheria; na Lissu ni mwasheria anayejua maana ya sheria kuchukua mkondo wake na anatakiwa awe mkweli kuhusu hilo. La maana ni kuwa baada ya mashambulizi serikali ilitakiwa ianze mara moja kuwatafuta maharamia wale waliotaka kumwua Lissu. Ila on the other side, CDM kutumia tukio hilo kama political chip ya kuishambulia serikali ilikuwa ni makosa pia. Kama mimi ndiye ningekuwa mwenyekiti CDM labda ninge-handle jambo lile kitofauti, na vile vile kama ningekluwa Rais au Spika huenda pia ningelihandle tofauti. Ninaona kama Chadema walitanguliza ubinafsi wa kisiasa mapema sana wa kutukana wakunga kabla ya kumaliza uzazi, na wakunga nao wakachukulia matusi hayo serious na kuzila kumhudumia mzazi huyo.

Yaani politics za nchi yetu siku hizi ni za kugawa watu badala ya kutafuta kuwaunganisha; kama umeshika makali ya upanga unashindana na mwenye mpini jifunze namna ya kufanya naye kazi kwa makini, usijifanye na wewe umeshika mpini.
 
Unaandika kwa hisisa na chuki tu. Yeye Karume ni mwanasheria, na amepata umaarufu huo kwa sababu ya taaluma yake ya sheria; sasa leo kama hakubaliani na mahakama, ambacho ndicho chombo kinachotoa haki kisheria, basi asipeleke kesi zake huko. Akishakubali kwenda kutaja kesi huko ina maana anakubali kuwa yuko pale kutafuta haki. Kwenda na kuanza kujifanya mjuaji ndiyo inamtokea puani sasa. Aliwahi kutoa vitisho fulani zamani kidgo ikabidi yule hakimu ajiotoe kwenye kesi na kuisababisha kesi ikae muda mrefu sana bila kusikilizwa kwa vile mahakimu wengine wote walikataa kuichukua. Hiyo ikawa ni kumtesa mteja wake ambaye alikuwa anataka shauri lake lisisikilizwe mapema, lakini lilichelewesha kwa takriban mwaka mzima kutokana na upuuzi wake. Yuko anaropoka kama vile hajui kuwa anaruhusiwa kukata rufaa iwapo hakubaliani na hukumu; ila uropokaji ndio anaotanguliza mbele kama vile amesoma sheria chini ya mti.

Bado hujatoa ushahidi wowote kuwa Lissu alishambuliwa na nani, ni maneno ya kujitungia kwa hisia na chuki tu. Zamani sana Profesa Jwani Mwaikusa alipigwa risasi na kuuwawa mchana kweupe na mpaka tunapoongea leo haijajulikana ni nani waliomshambulia. Ingekuwa ni leo hii ungesema pia kuwa ni serikali. Huwezi kujua kuwa mtu mropokaji namna hiyo huwa pia anatengeza maadui wengi huko huko mitaani.

Akwilina hakuuwawa kwa sababu zozote za kisiasa ilikuwa ni umamuzi mbaya wa askari mmoja katika kutuliza ghasia, lakini watu kama wewe leo mnalifanya jambo la kisiasa. Mara nyingi watu waliofilisika kisisasa hutafuta sababu nyingine zozote zile ili kuonekana wako relevant
Endeleeni tu kujitoa ufahamu, na mnaokera zaidi ni wale mnaojitoa ufahamu sio kutokana na itikadi zenu kisiasa bali kwa sababu tu Mkuu wa Nchi probably ni wa kabila lenu au anatokea mnakotokea... nyie ndio mnakera zaidi; watu aina ya Gwajima ambao bila aibu akaamua kuunda mtandao wa kumtetea mkuu wa nchi kwa sababu tu ni Msukuma mwenzako... NI UJINGA ULIOJE!

Hivi bila aibu unaweza kufananisha issue ya Tundu Lissu na Mwaji Mwaikusa? Are you serious?!

Tundu Lissu alishambuliwa ndani ya nyumba za serikali zenye ulinzi 24/7; hivyo ndivyo ilivyokuwa hata kwa Mwaikusa?

Tundu Lissu ni critic wa serikali ambayo imesha-prove kwamba haitaki kukoselwa na ndio maana critics wengi ama wapo mahabusu kwa kesi za kipumbavu tu au kupotezwa kama ilivyokuwa kwa watu aina ya Ben Saanane! Hivyo ndivyo ilivyokuwa kwa Mwaikusa?

Hivi watu walivyokuwa wanauchukia utawala wa Kikwete wangeshindwa kuihusisha serikali hadi useme ingekuwa siku hizi wangeihusisha serikali moja kwa moja?

Hata kama ilikuwa ni kufunika kombe au vinginevyo, watu walikamatwa na kufikishwa mahakamani kuhusiana na mauaji ya Mwaikusa ambayo yalifanyika mahali ambako hakukua na 24/7 government security! Je, wamekamatwa wangapi kuhusiana na kupigwa risasi with intent to killl kwa Tundu Lissu?

Acheni kutetea ujinga nyie watu! Msidhani nyie ndo mpo salama kwa sababu tu mnatetea walio kwenye mamlaka!! Mbaya zaidi, wala hamtetei kwa kuongozwa kwa itikadi... watu ambao binafsi huwa naheshimu uzwazwa wao hata kwa shingo upande kwa sababu wanachofanya wao ndicho pia huwa kinafanywa na wafuasi wa vyama vya upinzani... kutetea ujinga wa vyama na viongozi wao, lakini kinyume chake wewe wala huelekei kwamba unatetea kwa kuongozwa na itikadi ya CCM!!!
 
🤣
Tanganyika hakuna haki. Si anaruhusiwa kule Zenji lkn.

Huyu ni nguli wa sheria akitaka kazi atafanya hata huko duniani sio lazima hapa.
Maana yake hapa sio duniani tupo kwenye sayari nyingine🤣🤣
 
Tanganyika hakuna haki. Si anaruhusiwa kule Zenji lkn.

Huyu ni nguli wa sheria akitaka kazi atafanya hata huko duniani sio lazima hapa.

Bado anazo kazi nyingi za kisheria anafanya Uingereza! Kule anatambulika!
 
Makosa yake ni yepi? Huyu mama mwaka huu analo, kule Imma advocates wamemtimua na huku nako pia
Hawezi kufanya kazi za uwakili kama kafutiwa uwakili. IMMMA asingeweza kuendelea na kazi za uwakili labda awe office admin ila siyo partner wa law firm.
Atalipwa stahiki zake zote, hapo ni millions ndefu!

Everyday is Saturday................................ 😎
 
hapo ni suala la maadili tu,hakuna hasama,wakili msomi hutakiwi kuwa lopo lopo,huyo bange zake zinamdhuru
Akawe mwanasiasa tu
Maadili yapi Embu fafanua???

Tuambie pia, kawa lopo lopo kwenye nini???

Ni wapi duniani Wakili hatakiwi kuwa mwanasiasa???
 
Kikao cha kamati ya maadili ya Mawakili kilichokaa leo tarehe 23/9/2020 kimemkuta na hatia ya kukiuka maadili kwa kiwango cha juu, wakili Fatma Karume mwenye roll namba 848 na hivyo kuamuru jina lake liondolewe (permanent removal) katika orodha ya mawakili Tanganyika.

Septemba mwaka 2019, wakili Karume alisimamishwa kufanya kazi ya uwakili Tanzania Bara, maamuzi yaliyotolewa na Jaji Feleshi kwenye kesi iliyofunguliwa na Ado Shaibu akipinga uteuzi wa mwanasheria mkuu wa serikali kuteuliwa kimakosa na Rais Magufuli na kesi iliondolewa.

Mahakama kuu iliamuru Fatma apelekwe kamati ya maadili ya mawakili kwa kosa la kushambulia ofisi ya mwanasheria mkuu ambae ndiye alikuwa wakili wa Ado Shaibu katika kesi hiyo.

Pia, soma=> Fatma Karume asimamishwa kufanya kazi za Uwakili

===
Akijibu hoja ya mdau kwenye mtandao wa twitter aliyemuomba akate rufaa dhidi ya uamuzi huo, Fatma amesema hatafanya hivyo kwa maelezo kwamba muamuzi wa rufaa yake sio huru.

"Ukiingia kwenye mapambano unahitaji kujua nani unapambana nae, kanuni za mpambano na uhuru wa muamuzi. Iwapo kanuni haziko wazi na muamuzi hayuko huru, huo sio mpambano bali upotevu wa muda. Hifadhi nguvu zako kwa mpambano unaoweza kushinda". Yalinukuliwa majibu ya Fatma Karume.
Hii nukuu ya Karume ilitakiwa wapinzani waichukue.
Wajue kuwa NEC ni tawi LA ccm.
Kwa hip lazima damu imwagike ili kuitoa ccm madarakani
 
Kikao cha kamati ya maadili ya Mawakili kilichokaa leo tarehe 23/9/2020 kimemkuta na hatia ya kukiuka maadili kwa kiwango cha juu, wakili Fatma Karume mwenye roll namba 848 na hivyo kuamuru jina lake liondolewe (permanent removal) katika orodha ya mawakili Tanganyika.

Septemba mwaka 2019, wakili Karume alisimamishwa kufanya kazi ya uwakili Tanzania Bara, maamuzi yaliyotolewa na Jaji Feleshi kwenye kesi iliyofunguliwa na Ado Shaibu akipinga uteuzi wa mwanasheria mkuu wa serikali kuteuliwa kimakosa na Rais Magufuli na kesi iliondolewa.

Mahakama kuu iliamuru Fatma apelekwe kamati ya maadili ya mawakili kwa kosa la kushambulia ofisi ya mwanasheria mkuu ambae ndiye alikuwa wakili wa Ado Shaibu katika kesi hiyo.

Pia, soma=> Fatma Karume asimamishwa kufanya kazi za Uwakili

===
Akijibu hoja ya mdau kwenye mtandao wa twitter aliyemuomba akate rufaa dhidi ya uamuzi huo, Fatma amesema hatafanya hivyo kwa maelezo kwamba muamuzi wa rufaa yake sio huru.

"Ukiingia kwenye mapambano unahitaji kujua nani unapambana nae, kanuni za mpambano na uhuru wa muamuzi. Iwapo kanuni haziko wazi na muamuzi hayuko huru, huo sio mpambano bali upotevu wa muda. Hifadhi nguvu zako kwa mpambano unaoweza kushinda". Yalinukuliwa majibu ya Fatma Karume.
1. Kosa na mazingira yake havijaeleweka na

2. Kosa la ngapi hilo hata astahili adhabu hiyo ya 'kifo'?

3. Hakuna adhabu nyingine kama onyo, onyo kali, faini, suspension nk ila 'kifo'?

4. Alipwewa nafasi ya kujitetea? (Due process).
Kuna kila sababu kusema:

(a) Kwamba uamuzi huu umefanywa kwa holela = arbitrarily

(b) Mazingira yake kimantiki HAYAELEWEKI kwahiyo kuna dalili ya mizengwe = CAPRICIOUSNESS

(c) Kukosekana kwa due process na (a)&(b) hapo juu kunaashiria corruption.

The HALLMARKS OF BAD GOVERNANCE:
1. ARBITRARINESS
2. AMBIGUITY
3. CAPRICIOUSNESS
 
Kikao cha kamati ya maadili ya Mawakili kilichokaa leo tarehe 23/9/2020 kimemkuta na hatia ya kukiuka maadili kwa kiwango cha juu, wakili Fatma Karume mwenye roll namba 848 na hivyo kuamuru jina lake liondolewe (permanent removal) katika orodha ya mawakili Tanganyika.

Septemba mwaka 2019, wakili Karume alisimamishwa kufanya kazi ya uwakili Tanzania Bara, maamuzi yaliyotolewa na Jaji Feleshi kwenye kesi iliyofunguliwa na Ado Shaibu akipinga uteuzi wa mwanasheria mkuu wa serikali kuteuliwa kimakosa na Rais Magufuli na kesi iliondolewa.

Mahakama kuu iliamuru Fatma apelekwe kamati ya maadili ya mawakili kwa kosa la kushambulia ofisi ya mwanasheria mkuu ambae ndiye alikuwa wakili wa Ado Shaibu katika kesi hiyo.

Pia, soma=> Fatma Karume asimamishwa kufanya kazi za Uwakili

===
Akijibu hoja ya mdau kwenye mtandao wa twitter aliyemuomba akate rufaa dhidi ya uamuzi huo, Fatma amesema hatafanya hivyo kwa maelezo kwamba muamuzi wa rufaa yake sio huru.

"Ukiingia kwenye mapambano unahitaji kujua nani unapambana nae, kanuni za mpambano na uhuru wa muamuzi. Iwapo kanuni haziko wazi na muamuzi hayuko huru, huo sio mpambano bali upotevu wa muda. Hifadhi nguvu zako kwa mpambano unaoweza kushinda". Yalinukuliwa majibu ya Fatma Karume.
Dah kweli ukifanya kitu kinakirudia kizazi chako!! Huyu babu yake mzaa baba Abeid Karume ktk utawala wake alipiga marufuku mawakili kuingia mahakamani! Haya mjukuu wake naye kazuiwa kufanya kazi ya uwakili.
 
Unayozungumza yana hisia na yanaweza kumfanya mtu achukie sana ila unasahau kuwa mengine yanatawaliwa na sheria; na Lissu ni mwasheria anayejua maana ya sheria kuchukua mkondo wake na anatakiwa awe mkweli kuhusu hilo. La maana ni kuwa baada ya mashambulizi serikali ilitakiwa ianze mara moja kuwatafuta maharamia wale waliotaka kumwua Lissu. Ila on the other side, CDM kutumia tukio hilo kama political chip ya kuishambulia serikali ilikuwa ni makosa pia. Kama mimi ndiye ningekuwa mwenyekiti CDM labda ninge-handle jambo lile kitofauti, na vile vile kama ningekluwa Rais au Spika huenda pia ningelihandle tofauti. Ninaona kama Chadema walitanguliza ubinafsi wa kisiasa mapema sana wa kutukana wakunga kabla ya kumaliza uzazi, na wakunga nao wakachukulia matusi hayo serious na kuzila kumhudumia mzazi huyo.

Yaani politics za nchi yetu siku hizi ni za kugawa watu badala ya kutafuta kuwaunganisha; kama umeshika makali ya upanga unashindana na mwenye mpini jifunze namna ya kufanya naye kazi kwa makini, usijifanye na wewe umeshika mpini.
Mkuu labda unapoteza kumbukumbu ya hili jambo. Politics zilikuja baaday e baada ya watu kuzuwa kumuombea makanisani, kuzuiwa kuvaa T-shrt za kumsupport, wana CCM kuzuiwa kumtembelea ... Hiyo ni pamoja na Lissu kuwa amesema hadharani kuwa kuna watu wanamfuatilia ambao anadhani ni wa usalama lakini akapuuzwa!! Hizo coincidence zote, unataka ushahidi gani .... hizo circumstantial evidence zinatosha kumhukumu mtu moja kwa moja!!
 
Hizo ni siasa tu. Tanzania judiciary iliishakufa long time ago. Hatuna kabisa Independent Judiciary.
 
Mkuu labda unapoteza kumbukumbu ya hili jambo. Politics zilikuja baaday e baada ya watu kuzuwa kumuombea makanisani, kuzuiwa kuvaa T-shrt za kumsupport, wana CCM kuzuiwa kumtembelea ... Hiyo ni pamoja na Lissu kuwa amesema hadharani kuwa kuna watu wanamfuatilia ambao anadhani ni wa usalama lakini akapuuzwa!! Hizo coincidence zote, unataka ushahidi gani .... hizo circumstantial evidence zinatosha kumhukumu mtu moja kwa moja!!
T-Shirt za Lissu zilianza baada ya Lissu kuwa amepigwa risasi na ndipo watu wakawa wanamwombea apone, siyo kwamba alipigwa baada ya watu kuwa wanamwombea. Halafu watu hawakukamwata ilikuwa ndiyo hii ya kuzusha tu, kwani ilibidi Kamanda wa polis atoe tamko kuwa huo ni uzushi tu.

Ni kweli aliwahi kusema kuna watu wanamfuatilia lakini ali-conclude kuwa ni usalama wa taifa bila kuwa amefanya uchunguzi wowote. Zaidi zaidi alitangazia vyombo vya habari bili kuripoti polis kuwa anadhani kuna majambazi wanamfuatilia. Alichanganya sheria na siasa, na wakati mwingine hiyo unakuwa unatoa opportunity zaidi kwa hao majambazi . Zamani kidogo Mwakyembe naye aliwahi kuripoti kufuatiliwa na watu wakitaka kumwua lakini alipeleka taarifa hiyo polisi kwa mkuu wa polis wakati huo akiitwa Mangua (nadhani), ingawa baadaye akalishwa sumu.

Ujambazi bado upo nchini lakini tunapofikia kusema kila ujambazi unafanywa na serikali tunakuwa tunatoa nafasi kwa ujambazi kuendelea kwa vile wanajua kuwa hawatatafutwa, na ukishaihukumu serikali kwa ujambazi huo, ina maana unaondoa au unapunguza sana ushirikiano na serikali hiyo.
 
Tunazidi kupata sababu ya kuiondoa CCM madarakani mwaka huu. Huu ni ushahidi tosha kuwa hoja za Lissu za Uhuru, haki na maendeleo ya watu ndo hoja za msingi kabisa kwenye uchaguzi huu. Mambo anayofanyiwa tena mjukuu na mtoto wa Raisi mstaafu yanatakiwa kutuamsha mara Mia watanzania mwaka huu kuwa nchi hii imefika mahali pabaya sana kwenye misingi ya haki.


WATANZANIA TUUNGANE WA NGUVU ZOTE KUMUONDOA MAGUFULI MADARAKANI. UONEVU HUU UMEZIDI NA KUVUKA KIWANGO SASA
Ukiwa mtoto wa mfalme ndo usiwajibishwe utukane tu utakavyo? Acha udwanzi we kuwadi.
 
Back
Top Bottom