Fatma Karume aondolewa kwenye orodha ya mawakili (Permanent removal), akutwa na hatia ya kukiuka maadili

Fatma Karume aondolewa kwenye orodha ya mawakili (Permanent removal), akutwa na hatia ya kukiuka maadili

T-Shirt za Lissu zilianza baada ya Lissu kuwa amepigwa risasi na ndipo watu wakawa wanamwombea apone, siyo kwamba alipigwa baada ya watu kuwa wanamwombea. Halafu watu hawakukamwata ilikuwa ndiyo hii ya kuzusha tu, kwani ilibidi Kamanda wa polis atoe tamko kuwa huo ni uzushi tu.

Ni kweli aliwahi kusema kuna watu wanamfuatilia lakini ali-conclude kuwa ni usalama wa taifa bila kuwa amefanya uchunguzi wowote. Zaidi zaidi alitangazia vyombo vya habari bili kuripoti polis kuwa anadhani kuna majambazi wanamfuatilia. Alichanganya sheria na siasa, na wakati mwingine hiyo unakuwa unatoa opportunity zaidi kwa hao majambazi . Zamani kidogo Mwakyembe naye aliwahi kuripoti kufuatiliwa na watu wakitaka kumwua lakini alipeleka taarifa hiyo polisi kwa mkuu wa polis wakati huo akiitwa Mangua (nadhani), ingawa baadaye akalishwa sumu.

Ujambazi bado upo nchini lakini tunapofikia kusema kila ujambazi unafanywa na serikali tunakuwa tunatoa nafasi kwa ujambazi kuendelea kwa vile wanajua kuwa hawatatafutwa, na ukishaihukumu serikali kwa ujambazi huo, ina maana unaondoa au unapunguza sana ushirikiano na serikali hiyo.
Mkuu, watu walizuiwa kuvaa T-shirt za Lissu na kumuombea kiwa mahututi hospital. Ushaona wapi hiyo ....!! Kwa nini hakuna Mbunge yeyote wa CCM alikwenda kumtembelea Lissu Nairobi ... Ndiyo maana nasema all the circumstantial evidence zinapoint upande fulani.

Ni kweli kabisa ujambazi kama huo unaweza kufanywa na watu binafsi ... lakini kitendo cha vyombo vyetu kushindwa kujishugulisha kupeleleza eti wakidai wanamsubiri Lissu, inatia shaka kama kweli wana nia hiyo. Ina maana kama Lissu na dereva wangekufa huo ndo ungekuwa ni mwisho wa upelelezi wao!!
 
Endelea kulala bado kuna ndoto nyingine ya choo inakuja, kitumie kukojoa na kukata gogo.
Ndoto za mtu mwingine zikikutisha ujue unakaribia kulipia kwa matendo yako hapa duniani kabla hatujakupigia chepe.
 
Siwezi kukupinga wala kukubaliana na wewe, kwani majuzi tu Mbowe naye alikuja na jambo ambalo linaonyesha kuwa siyo kweli kwamba nyumba za viongozi wanaoishi mle zina walinzi maalum. Hata hivyo nina mashaka na ukweli wa utaratibu wa ulinzi unaosema kwani kwa kawaida maeneo maalumu huwa yana ulizi wa doria, siyo ulinzi individualized kama unavyodai. Viongozi wanakuwa na body gurads wao, ambao unfortunately Lissu na Mbowe hawana.

..unazungumzia zamani.

..siku hizi viongozi wa kawaida tu wana misafara, achilia mbali ulinzi.

..eneo aliloshambuliwa TL ni compound yenye makazi ya Naibu Spika na mawaziri kadhaa.

..eneo hilo lina walinzi wa getini, na walinzi ktk nyumba moja moja wanazoishi viongozi.

..swali la kujiuliza ni nani aliondoa walinzi ili kuwapisha magaidi waliotumwa kumshambulia TL?

..pia kuna hoja ya uwepo wa CCTV cameras ktk eneo hilo. Na hili TL amelisema, na inasemekana RPC wa Dodoma aliwahi kunukuliwa na gazeti akidai kuwa Polisi wamechukua CCTV zilizokuwa eneo la tukio.

..la mwisho ni mwenendo wa jeshi la Polisi ni wa kutia mashaka sana. Wanaonekana kama hawataki kufanya uchunguzi na kuwabaini waliotenda unyama ule. Vilevile hawataki chombo kingine chochote kisaidie kufanya uchunguzi. Familia ya TL iliiomba serikali ishirikishe wachunguzi wa kimataifa, lakini serikali imekataa kufanya hivyo.
 
Hivi kuna mawakili wa Tanganyika wanaoshobokea uanachama wa Zanzibar Law Society?
 
..unazungumzia zamani.

..siku hizi viongozi wa kawaida tu wana misafara, achilia mbali ulinzi.

..eneo aliloshambuliwa TL ni compound yenye makazi ya Naibu Spika na mawaziri kadhaa.

..eneo hilo lina walinzi wa getini, na walinzi ktk nyumba moja moja wanazoishi viongozi.

..swali la kujiuliza ni nani aliondoa walinzi ili kuwapisha magaidi waliotumwa kumshambulia TL?

..pia kuna hoja ya uwepo wa CCTV cameras ktk eneo hilo. Na hili TL amelisema, na inasemekana RPC wa Dodoma aliwahi kunukuliwa na gazeti akidai kuwa Polisi wamechukua CCTV zilizokuwa eneo la tukio.

..la mwisho ni mwenendo wa jeshi la Polisi ni wa kutia mashaka sana. Wanaonekana kama hawataki kufanya uchunguzi na kuwabaini waliotenda unyama ule. Vilevile hawataki chombo kingine chochote kisaidie kufanya uchunguzi. Familia ya TL iliiomba serikali ishirikishe wachunguzi wa kimataifa, lakini serikali imekataa kufanya hivyo.
AISEE,HIVI BADO KUNA MIMBURULA INAENDELEA KUJIULIZA MASWALI YA KIBWEGE KM HAYA HUKU ALIYESEMA KAPIGWA RISASI NDO KWANZA YUKO MAJUKWAANI KUTETEA TUMBO LAKE,NA HATUJUI HATA NANI ALIYEMPIGA HIZO RISASI NAYEYE MWENYEWE HATAKI IJULIKANE
STFBH.
 
AISEE,HIVI BADO KUNA MIMBURULA INAENDELEA KUJIULIZA MASWALI YA KIBWEGE KM HAYA HUKU ALIYESEMA KAPIGWA RISASI NDO KWANZA YUKO MAJUKWAANI KUTETEA TUMBO LAKE,NA HATUJUI HATA NANI ALIYEMPIGA HIZO RISASI NAYEYE MWENYEWE HATAKI IJULIKANE
STFBH.

..mamlaka zilizoondoa walinzi wa area D zinawafahamu waliompiga risasi TL.
 
Watoto wote wa Mwl JK nyerere hakuna mwenye kazi ya maana sana lakini wanaishi raha mustarehe kwa kodi zetu.
Watoto wa ma Rais wastaafu siyo wenzetu jamani.

Fanya utafiti kabla ya hujazungumzanqomba nikupe mifano Madaraka Nyerere alikuwa ni Balozi wa Tanzania Nchini Uingereza, Makongoro aliwahi kuwa Mbunge wa Bunge la JMT pamoja na Mbunge wa EALA hizo ni kazi za maana, zinazoeleweka na pia zinakinzana na ujumbe wako hapo juu!
(2) usiteseke sana Watoto wa Nyerere au Viongozi kula Pensheni za wazazi wao nawe tafuta pesa zako au kale ya Baba au Babu yako
 
Back
Top Bottom