johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mjukuu wa baba wa taifa la Zanzibar Fatma Karume anesema anatamani Watanzania Wote wangekuwa na ufahamu kama Watoto Wadogo wa Gen Z
Karume amefurahishwa na Kauli ya Gen Z Kwa Ruto kwamba " Sisi ndio tumekuweka hapo na Sisi Tunaweza kukuondoa"
Karume ameongea ukurasani X
Baadae Mlale Unono 😃
Karume amefurahishwa na Kauli ya Gen Z Kwa Ruto kwamba " Sisi ndio tumekuweka hapo na Sisi Tunaweza kukuondoa"
Karume ameongea ukurasani X
Baadae Mlale Unono 😃