Fatma Karume: Dkt. Slaa akifia Mahabusu Watu wataanza kumlaumu Rais badala ya DPP aliyezuia HAKI yake ya Dhamana!

Fatma Karume: Dkt. Slaa akifia Mahabusu Watu wataanza kumlaumu Rais badala ya DPP aliyezuia HAKI yake ya Dhamana!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mjukuu wa baba wa taifa la Zanzibar Fatma Karume amesema endapo Dr Slaa atapatwa na baya lolote hata kufa akiwa mahabusu watu watamlaumu Rais badala ya kumlaumu DPP anayetumia madaraka ya Kikatiba vibaya kwa kuzuia dhamana

Fatma Karume ameomba apewe Namba ya Simu ya DPP Ili azungumze naye kisheria zaidi

Haya yote yamefanyika Ukurasani kwake X
Screenshot 2025-02-06 211815.png

Mlale Unono 🐼
 
Mjukuu wa baba wa taifa la Zanzibar Fatma Karume amesema endapo Dr Slaa atapatwa na baya lolote hata kufa akiwa mahabusu watu watamlaumu Rais badala ya kumlaumu DPP anayetumia madaraka ya Kikatiba vibaya kwa kuzuia dhamana

Fatma Karume ameomba apewe Namba ya Simu ya DPP Ili azungumze naye kisheria zaidi

Haya yote yamefanyika Ukurasani kwake X

Mlale Unono 🐼
Ni kweli kabisa ila kama rais angekuwa ni mbara post yake ingemlaumu pia rais huyo. Sheria za TAnzania zinatumika vibaya sana na mahakama zimekuwa kama kibogoyo zinakosa maamuzi
 
Mjukuu wa baba wa taifa la Zanzibar Fatma Karume amesema endapo Dr Slaa atapatwa na baya lolote hata kufa akiwa mahabusu watu watamlaumu Rais badala ya kumlaumu DPP anayetumia madaraka ya Kikatiba vibaya kwa kuzuia dhamana

Fatma Karume ameomba apewe Namba ya Simu ya DPP Ili azungumze naye kisheria zaidi

Haya yote yamefanyika Ukurasani kwake X

Mlale Unono 🐼
DPP anapokea maelekezo toka kwa Samia
 
Mjukuu wa baba wa taifa la Zanzibar Fatma Karume amesema endapo Dr Slaa atapatwa na baya lolote hata kufa akiwa mahabusu watu watamlaumu Rais badala ya kumlaumu DPP anayetumia madaraka ya Kikatiba vibaya kwa kuzuia dhamana

Fatma Karume ameomba apewe Namba ya Simu ya DPP Ili azungumze naye kisheria zaidi

Haya yote yamefanyika Ukurasani kwake X
View attachment 3227175
Mlale Unono 🐼
Yote ni mikakati ya wale wenye kupanga mama ashinde uchaguzi kwa kishindo wakati uchaguzi ukiwa wa haki hawezi kushinda. Ameanza na kukandamiza demokrasia kwa kukanyaga katiba ya chama chake kupitishwa kihuni na kwa hila kua mgombea urais. Hapo wapambe wa mama wanaogopa kama Dr Slaa anaweza tokea mgombea urais kupitia chama kimojawapo. Dr. Slaa ni kiongozi aliyejiwekea heshima kubwa na kutambulika kama muadilifu mpenda haki usawa na jasiri.
 
Wampe hata nyembe anyowe zile ndevu. Amekuwa kituko. Mzee amechoka balaa.
Slaa hakusoma alama za nyakati,sasa sio firebrand yupo yupo tu.
Sio Chadema au CCM wanamuhitaji Father Slaa.
La kumsaidia afunge na kusali kwa mola wake.
 
Mjukuu wa baba wa taifa la Zanzibar Fatma Karume amesema endapo Dr Slaa atapatwa na baya lolote hata kufa akiwa mahabusu watu watamlaumu Rais badala ya kumlaumu DPP anayetumia madaraka ya Kikatiba vibaya kwa kuzuia dhamana

Fatma Karume ameomba apewe Namba ya Simu ya DPP Ili azungumze naye kisheria zaidi

Haya yote yamefanyika Ukurasani kwake X
View attachment 3227175
Mlale Unono 🐼

Ndiyo maana sheria nzui na haki ni muhimu. Raisi analaumiwa kwasababu sheria zenyewe hazileti haki
 
Mambo ya laana yanamhusuje mkanamungu?Mkanamungu anakuwaje na dhambi ya asili?Hicho kizimba cha akili kimewaharibu watanzania
 
Back
Top Bottom