Fatma Karume: Dkt. Slaa akifia Mahabusu Watu wataanza kumlaumu Rais badala ya DPP aliyezuia HAKI yake ya Dhamana!

Fatma Karume: Dkt. Slaa akifia Mahabusu Watu wataanza kumlaumu Rais badala ya DPP aliyezuia HAKI yake ya Dhamana!

Mjukuu wa baba wa taifa la Zanzibar Fatma Karume amesema endapo Dr Slaa atapatwa na baya lolote hata kufa akiwa mahabusu watu watamlaumu Rais badala ya kumlaumu DPP anayetumia madaraka ya Kikatiba vibaya kwa kuzuia dhamana

Fatma Karume ameomba apewe Namba ya Simu ya DPP Ili azungumze naye kisheria zaidi

Haya yote yamefanyika Ukurasani kwake X
View attachment 3227175
Mlale Unono 🐼
Kwa nini DPP anaogopa kufanya kazi sawa.
Anaogopa asi pokonywe tonge.
Mwana sharia Mkuu wa zanzibar wa zamani Othman Masudi aliipinga katiba mya ya warioba hakuogopa kukosa Tonge na sasa makamo wa raisi
 
Usichore mstari anaweza kuwa na maelekezoo toka juu
 
sure gentleman,
laana ya usaliti wa kanisa, laana ya usaliti wa ndoa takatifu, laana ya kupora wake za watu, laana ya usaliti wa kisiasa,

ndio maana hicho kizee kinafedheheka na hakuna mwenye habari nae ispokua wanafiki wachache tu 🐒
Aisee balaa
 
nina dhambi ya asili pekee,

ila huyo Mzee slaa ana laana ya usaliti wa imani ya kanisa, usaliti wa ndoa, uporaji wake za watu na usaliti wa kisiasa,

unadhani ataishi kwa amani tena gentleman?🐒
Siku hizi kumchukia mtu mnaangalia Dini yake, huangalii makosa yake. Ila ungeondoa hiyo kasumba yaani "DINI" ungeona ukweli. DINI Katika nchi zenye watu wenye Elimu ya Chini imekuwa kasumba "Brain washing" indoctrination; ungevuliwa hilo ungejiona upo huru sana. Hiyo ndiyo Tofauti iliopo. Malaria 2 na Tlaatlaah mmevaa mzigo mzito sana; vueni!
 
Kwa akili yako Bi. Fatma unahisi DPP anaweza kufanya kazi bila kufata maelekezo ya Raisi? Ingekuwa hivyo tungekuwa hata tume huru na katiba vilishapatikana siku nyingi.

Mwenyekiti ndio driving force ya watendaji kila mahali. Nobody wants to go opposite with what the chairlady wants.
 
Siku hizi kumchukia mtu mnaangalia Dini yake, huangalii makosa yake. Ila ungeondoa hiyo kasumba yaani "DINI" ungeona ukweli. DINI Katika nchi zenye watu wenye Elimu ya Chini imekuwa kasumba "Brain washing" indoctrination; ungevuliwa hilo ungejiona upo huru sana. Hiyo ndiyo Tofauti iliopo. Malaria 2 na Tlaatlaah mmevaa mzigo mzito sana; vueni!
ukweli ni kwamba,
ni laana tu ndiyo inakatesa hako kazee gentleman,

hayo mengine yote unayojaribu kuyaibua ni unafiki tu tena wa kiwango cha juu, kana kwamba huelewi wala hujui kiwango cha usaliti wa huyu Mzee kwa kiapo cha kanisa lake, ndoa takatifu na familia yake, uporaji wa wake za watu na usaliti wa kisiasa,

au unadhani kwa fedheha alowaachia mke na watoto wake hadharani, pamoja na yule alieporwa mke wake walifurahia sana vitendo hivyo?

na ile ndio ilikua haki right?
tamaa ina gharama zake na malipo ni humu humu duniania gentleman 🐒
 
Ni kweli anayo kama babu yako aliyewaambukiza wajukuu zake ushoga.

wenzako wameshaacha kubetuliwa, sijajua wewe ni lini.😆😆😆😆😆
Ni muhimu kurelax tu gentleman bila makasiriko,

kazee kanatia huruma mno aise,
na hiyo inaonyesha usaliti ni laana ya fedheha ya kiwango cha juu mno gentleman 🐒
 
ukweli ni kwamba,
ni laana tu ndiyo inakatesa hako kazee gentleman,

hayo mengine yote unayojaribu kuyaibua ni unafiki tu tena wa kiwango cha juu, kana kwamba huelewi wala hujui kiwango cha usaliti wa huyu Mzee kwa kiapo cha kanisa lake, ndoa takatifu na familia yake, uporaji wa wake za watu na usaliti wa kisiasa,

au unadhani kwa fedheha alowaachia mke na watoto wake hadharani, pamoja na yule alieporwa mke wake walifurahia sana vitendo hivyo?

na ile ndio ilikua haki right?
tamaa ina gharama zake na malipo ni humu humu duniania gentleman 🐒
Wewe unamhukumu Dr. Slaa? Unaona unavyokosa utashi? Kinana kafanya mangapi mabaya mbona hujamsema? Kauza Tembo na Ushahidi upo, Mwanae na Mama yake ambao walitelekezwa walishaandika hadi stori humu. Akina Makamba etc etc. Usimhukumu zambi zake Katika maisha yake. Hayo ya upadiri wake hayakuhusu. Je amesaliti nini Nchi kama alivyosaliti Bi Ushungi kuuza Bandari? Kuuza ardhi kwa wageni? Kuteka watu? Hivi ndiyo vinatuhusu mimi na wewe. Bwana Slaa na Watoto wake na upadri wake ni vyake na Mungu wake.
 
One day you gonna remember this, hapa hapa duniani
kitu muhimu zaidi cha kukumbuka gentleman, ni kuepuka na roho ya usaliti kwenye kiapo cha kazi, ndoa takatifu, familia au kupora wake za watu,

Lazima utalaaniwa na utateseka na kufedheheka kuanzia humu humu duniania kama anavyoabika Mzee slaa bila msaada wowote.

kua muaminifu epuka tamaa 🐒
 
Wewe unamhukumu Dr. Slaa? Unaona unavyokosa utashi? Kinana kafanya mangapi mabaya mbona hujamsema? Kauza Tembo na Ushahidi upo, Mwanae na Mama yake ambao walitelekezwa walishaandika hadi stori humu. Akina Makamba etc etc. Usimhukumu zambi zake Katika maisha yake. Hayo ya upadiri wake hayakuhusu. Je amesaliti nini Nchi kama alivyosaliti Bi Ushungi kuuza Bandari? Kuuza ardhi kwa wageni? Kuteka watu? Hivi ndiyo vinatuhusu mimi na wewe. Bwana Slaa na Watoto wake na upadri wake ni vyake na Mungu wake.
Gentleman,
simuhukumu huyo Mzee hata kidogo,
ingelikua ana haki asingekua anasota korokoroni..

binafsi naeleza ukweli bayana ambao uko kwenye public domain tangu kitambo. Ni manafiki pekee ndio anaweza kubisha.

laana ya kanisa, laana ya mke na familia, laana kutoka kwa alieporwa mke n.k ndivyo haswaa chimbuko la laana ya fedheha anazopitia huyo Mzee.

kueleza mambo yaliyo nje ya laana inayomtesa hiyo Mzee ni kujaribu kudhoofisha hoja mahususi kishirikina 🐒
 
kitu muhimu zaidi cha kukumbuka gentleman, ni kuepuka na roho ya usaliti kwenye kiapo cha kazi, ndoa takatifu, familia au kupora wake za watu,

Lazima utalaaniwa na utateseka na kufedheheka kuanzia humu humu duniania kama anavyoabika Mzee slaa bila msaada wowote.

kua muaminifu epuka tamaa 🐒
Ungekua msafi untetumia hilo jina hapa kwenye forum? Taatlaah? Dr. Slaa alikua anatumia jina lake moja kwa moja hapa. Acha uchawa na unafiki!
 
Gentleman,
simuhukumu huyo Mzee hata kidogo,
ingelikua ana haki asingekua anasota korokoroni..

binafsi naeleza ukweli bayana ambao uko kwenye public domain tangu kitambo. Ni manafiki pekee ndio anaweza kubisha.

laana ya kanisa, laana ya mke na familia, laana kutoka kwa alieporwa mke n.k ndivyo haswaa chimbuko la laana ya fedheha anazopitia huyo Mzee.

kueleza mambo yaliyo nje ya laana inayomtesa hiyo Mzee ni kujaribu kudhoofisha hoja mahususi kishirikina 🐒
Ndiyo maana watu kama nyie wakati Fulani ni kuwapuuzia. Unajua hata watu kama sisi ambao tuko neutral kwenye mambo haya ya siasa na ya dini huwa tunataka kushawishika na wapumbavu kama nyie. Ukweli tungekua tunataka kurudishia kibao nyie hamgekua na maisha mazuri, nani asiyejua? Watu wanakaa kimya kwa sababu hawataki shari. Heri nusu shari kuliko shari kamili. Wewe unafikiri bi Ushungi anatawala nchi hii kwa nguvu zake? Ni utashi wetu, na nyie mnayetaka shari endeleeni tu.

Kuna neno nakwambia hivi, tuna uwezo wa kuingia na kutoka. Unaujua msemo huu? Kila dawa mayotumia tuinaijua. Tunaweza kukwaambia asprin alikula lini.
 
Back
Top Bottom