Fatma Karume: Yaani leo nimethibitisha Adelardus (AG) hajui Katiba, anadai Serikali ina mihimili mitatu na yeye ndie anasimamia yote

Mkuu Sina hakika Kama hiyo ndo sababu kuu.ninachojua Mimi jiwe ameua kabisa hata zile akili ndogo ambazo watu walikuwa nazo kwa maana hiyo mteule mmoja wa magu akielekea kibra basi vilaza wote wa ccm wanaelekea huko.no more thinking
 
Nkoi mtu kakuwekea na reference bado huelewi ?!. Sawah nahenhe . Natohayaga gete. Kama Kiswahili cha Fatuma hukukielewa
 
Nkoi mtu kakuwekea na reference bado huelewi ?!. Sawah nahenhe . Natohayaga gete. Kama Kiswahili cha Fatuma hukukielewa
Ibara ya 59(3) haihusiki na separation of powers in Tanzania. Soma ibara ya 4 ndio inatoa majibu. State authority shall be exercised by executive,judiciary and legislative. Ni serikali ambayo imefanya separation of powers. Sasa nashangaa Chadema nzima hawajui?
 
Hiyo kitu huwa inachanganya sana watu. Ukisoma vizuri masuala ya sheria utakuta inataja three organs of the state; Executive, Legislature and Judiciary. Executive ndio huwa inachanganya; kwa Kiswahili Executive ni serikali na wakati mwingine watu wanachanganya serikali na dola (State) huwa neno hili linatumika interchangeably. Ukweli ni kwamba Dola ina mihimili mitatu yaani Serikali, Bunge na Mahakama.
 
There you are! Kumbe wampata..Kilangi ni gwiji kwenye International Law lakini hna credentials za kuwa AG. Source kutoka kwa insider: yeye mwenyewe alishangazwa kwa kuteuliwa kuwa AG. Hii nchi ina matatizo sana!!!
Kama alishangazwa na uteuzi kwa kuwa hayuko competent kwenye hiyo nafasi na still akakubali uteuzi,Basi ni kilaza wa ukweli
 
Mkuu hicho ulichoandika kwa kiingereza umeona kweli kimefanana na huo utopolo uliomalizia nao kwa kiswahili?
 
Wote ambao wamesoma hivyo vifungu vya katika nahajaelewa kilichoandikwa ni MACHOKOOOOO KAMA MACHOKOO WENGINEE TU.
 
Kuwa kwake mjumbe wa tume ya utumishi wa umma anapataje mamlaka ya kuwa mshauri wa mahakama?
Mambo mawili;
1. Mwanasheria Mkuu wa Serikali ni Wakili hivyo kwa yeye kuwa mtaalamu wa masuala ya Sheria anaswihi kumshauri mtu/taasisi kuhusu sheria

2. Kwa mujibu wa katiba (sikumbuki kifungu)
 
Elimu hii sijui aliegundua Mlima Kilimanjaro Rebman,Ziwa Victoria Stanley.. Aaaa mkuu hivi tuelezee organs of the State sasa msomi wa Civics
 
Hivi huyo bishangazi hajaenda kuchukua fomu ya kugombea uraisi kule kwao? ... Ana gubu balaa!!. 😳
 
Mkuu soma vitabu vizuri. Dola ambayo ni state ni territory. Dola huwa inajumuisha mipaka yake,watu na vitu vingine. Ndio maana katiba yetu inasema Tanzania is one state which is a United Republic.
Government inaundwa na watu wachache ambao ni wawakilishi. Na hawa wanaunda serikali baada ya kuchaguliwa. Na government ina branches tatu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…