kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Nimekuwa nikifuatilia sana taarifa zake katika mpira wa miguu,ila nimegundua jambo moja.Ana mapenzi ya wazi wazi na club ya Yanga,jambo ambalo humfanya awe na utangazaji unaoelemea upande mmoja.Mfano akichukua maoni ya washabiki,inapokuwa ni dhidi ya simba,huchukua maoni yenye hisia hasi tu kama vile wapinzani wameonewa n.k bila ushahidi wowote.Yanga inapocheza,hata kama itaonekama wamebebwa namna gani,hutasikia akichukua maoni hasi dhidi ya Yanga.Ila kwa Simba ni kawaida.
Sikufahamu we Dada ila ukifanya kazi hiyo usipende kuwa mchochezi.Tunachukia washabiki.
Leo katika mechi ya mtibwa,umerudia yale yale.Unataka kuwaaminisha watu Simba hakustahili kushinda isipokuwa amebebwa!Hii ni kwa mujibu wa shabiki uliyempa muda bila kufikiri anajua kiasi gani kutafsiri sheria.
Acha hizo,mpira siyo taarab au bongo fleva
Sikufahamu we Dada ila ukifanya kazi hiyo usipende kuwa mchochezi.Tunachukia washabiki.
Leo katika mechi ya mtibwa,umerudia yale yale.Unataka kuwaaminisha watu Simba hakustahili kushinda isipokuwa amebebwa!Hii ni kwa mujibu wa shabiki uliyempa muda bila kufikiri anajua kiasi gani kutafsiri sheria.
Acha hizo,mpira siyo taarab au bongo fleva