Ibn Massood
Senior Member
- May 7, 2012
- 153
- 372
Kweli Pampers imekujaa, ndio umeandika kitu gani padri?Wee ngumbaru jifune kusoma kwa ufahamu kwanza kabla hujanikaribia.
Unanipa kazi ya kukufundisha kusoma na mimi sina muda huo.
Kwani mume wako anafanya vizuri?Huyu dada anapitia "midlife crisis", aidha mume hafanyi kazi yake kisawasawa, mpuuzeni na mumsamehe, hakajuwi kasemalo wala vitendo..
Inawezekana!Labda haelewi Uingereza ni Muungano wa nchi ngapi.
Wavivu hawawezi kuendelea
Tulia punda, mambo kama hayakuhusu achana nayo, sio kujitia kiherehere!Wee ngumbaru jifune kusoma kwa ufahamu kwanza kabla hujanikaribia.
Unanipa kazi ya kukufundisha kusoma na mimi sina muda huo.
Fatuma ameolewa kweli huyu mdada?
Nafikiria jinsi me atakavyoishi na mutu km huyu!!
Anaweza kukunyima papuchi kwa vifingu vya sheria na ukatii!! Ole wako utie neno!!!
Hivi anavokosa mme ndo hasira zinampanda kishenzi.
Siku akimpata tu kila mtu atajua!! Yaani atakuwa mpoleeee kwa huu muungano.
Na km yupo kwa sasa mshaurini huyo mumewe aaache urojo! Asirojoke bali apige mashine mpaka iteme juu!
Nakwambia f karume atakuwa mpoleeeeeee! Km sie! Jiwe anaweza asiamini huko ahera.
Amekosa wa kumfinya na hakuna watu wajua finya km wakurya.hii minjemba ikikufinya lzm utulie....
Kimdada hakilali kutwa kucha nakwambia ni ajili ya muungano wetu tuuuuuu! !inahuuu!!
Muda wote aliokuwaga anapiga kelele juu ya magufuli, binafsi nilijua ni ubaguzi tu unaomsumbua, maana kama ni haki, angekwishasema tunayosikia kuwahi kutendwa na Karume.Zanzibar ni wabaguzi sana.. Na bado
Bora mimi punda, wewe guluguja usiye ubongo wala uti wa mgongo.Tulia punda, mambo kama hayakuhusu achana nayo, sio kujitia kiherehere!
Tanzania bara ni nchi gani hiyo? Ilianzishwa lini? Kuna kumbukumbu zake mahali popote mtusaidie?Tanzania ni Muungano wa Nchi mbili Tanzania bara na Zanzibar.
Kwenye pato la Taifa, Zanzibar inachangia asilimia ngapi?Fatuma Karume amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inaidai Serikali ya Jamhuri ya Muungano kiasi cha pesa cha trilioni 4.6 kutokana na kupokonywa kutoka kwa wadau mbalimbali wa maendeleo
Fatuma Karume ambaye mara kwa mara hujimwambafai kukulia Ikulu ya Zanzibar na hivyo kuwa anafahamu siri nyingi ameandika kupitia ukurasa wake wa Twitter kuwa Serikali ya Muungano imekuwa na kasumba ya kuipora pesa Zanzibar ambazo zipo Kikatiba na Kisheria juu ya Muungano
My take : Hawa Wazanzibar hawaridhiki kila siku wanaibuka na kero mpya ifike pahali tuunde Serikali moja including Zanzibar iwe kimkoa tu tutumie nguvu tu
USSRView attachment 1768148
Kuhusiana na Muungano au Nyerere na KarumeEndelea kujifunza.
anataka madaraka huyu babake alikuwa hivihivi mpaka alipopewa Urais wa Zanzibar! Ila huyu kamwe hapati ng'o! familia isiyo na shukrani!Fatuma Karume amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inaidai Serikali ya Jamhuri ya Muungano kiasi cha pesa cha trilioni 4.6 kutokana na kupokonywa kutoka kwa wadau mbalimbali wa maendeleo
Fatuma Karume ambaye mara kwa mara hujimwambafai kukulia Ikulu ya Zanzibar na hivyo kuwa anafahamu siri nyingi ameandika kupitia ukurasa wake wa Twitter kuwa Serikali ya Muungano imekuwa na kasumba ya kuipora pesa Zanzibar ambazo zipo Kikatiba na Kisheria juu ya Muungano
My take : Hawa Wazanzibar hawaridhiki kila siku wanaibuka na kero mpya ifike pahali tuunde Serikali moja including Zanzibar iwe kimkoa tu tutumie nguvu tu
USSRView attachment 1768148
Vizuri umetambua kuwa wewe ni punda tu.Bora mimi punda, wewe guluguja usiye ubongo wala uti wa mgongo.
Umebaki kulialia hapa wakati wanaume wamekuchukulia nchi yako umebaki kuwa stateless person.
Wewe guluguja kilema hujafikia uwezo wa abstract thinking hata nilichoandika hujaelewa.Vizuri umetambua kuwa wewe ni punda tu.
pumba zilizojaa insecurityWewe guluguja kilema hujafikia uwezo wa abstract thinking hata nilichoandika hujaelewa.
You have earned your passage to my ignore list.pumba zilizojaa insecurity
I don't give a dam.n and never did!You have earned your passage to my ignore list.