Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Hakuna Tanzania bara & Zanzibar. Bali tuna Tanganyika na ZanzibarTanzania ni Muungano wa Nchi mbili Tanzania bara na Zanzibar.
Nchi mojawapo umesema, nyingine ni ipi? Iko wapi?Huu ndiyo ukweli wenyewe mchungu. Zanzibar ni nchi mojawapo iliyo sehemu ya nchi mbili huru ziundazo JMT. Kwa hiyo stahiki zake zote zitokanazo na mambo yaliyoanishwa ndani ya muungano ni halali yake.
Hata ulivyoziandika hizi nchi mbili inaibua hoja ya ziada.Tanzania ni Muungano wa Nchi mbili Tanzania bara na Zanzibar.
Wameweka majenereta yanawashinda kuendesha, waya ulipancha kule bahari, nini kilitokea?Kama makubaliano yanasema wapewe 4% basi wapewe. Hakuna kuleta longolongo.
Wazanzibar wanaweza kuweka umeme wa Solar na Upepo, TANESCO kupeleka umeme huko ni kulea uchumba wa muungano tu lakini Wazenji wanavyo vyanzo vizuri vya umeme unaowatosha
Sasa kwani hujui Zanzibar iliendelea mapema kabla ya bara?Wameweka majenereta yanawashinda kuendesha, waya ulipancha kule bahari, nini kilitokea?
Solar? Hauwezi kuwa uko siriasi, upepo? Wataweza ku-mantain quality ya umeme kwa kutumia vyanzo hivyo? Sisi pamoja na Hydro na Thermal, bado quality imetushinda.
Haya huwa ni maneno ya majukwaani tu hakuna lolote kiuhalisiaSasa kwani hujui Zanzibar iliendelea mapema kabla ya bara?
Waachie nchi yao uone kama hawajageuka kitovu cha biashara East Africa
Ah wap watakuw kama mauritious tu, labda sultan side wa sasa arudSasa kwani hujui Zanzibar iliendelea mapema kabla ya bara?
Waachie nchi yao uone kama hawajageuka kitovu cha biashara East Africa
Dawa ya deni ni kulipa, kama ni kweli hayo makubaliano yapoFatuma Karume amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inaidai Serikali ya Jamhuri ya Muungano kiasi cha pesa cha trilioni 4.6 kutokana na kupokonywa kutoka kwa wadau mbalimbali wa maendeleo
Fatuma Karume ambaye mara kwa mara hujimwambafai kukulia Ikulu ya Zanzibar na hivyo kuwa anafahamu siri nyingi ameandika kupitia ukurasa wake wa Twitter kuwa Serikali ya Muungano imekuwa na kasumba ya kuipora pesa Zanzibar ambazo zipo Kikatiba na Kisheria juu ya Muungano
My take : Hawa Wazanzibar hawaridhiki kila siku wanaibuka na kero mpya ifike pahali tuunde Serikali moja including Zanzibar iwe kimkoa tu tutumie nguvu tu
USSRView attachment 1768148
Halafu wakarudije nyuma? Hivi Comoro si ni visiwa?Sasa kwani hujui Zanzibar iliendelea mapema kabla ya bara?
Waachie nchi yao uone kama hawajageuka kitovu cha biashara East Africa
Zanzibar = 4,000,000/60,000,000 = 0.0333 = 3.3%. Nadhani ni sahihi wao kupata 4% ya misaada na mikopo, lakini mikopo ni lazima walipie kwa kiasi hichohicho cha 4%.Kwani wameshalipa umeme wa Tanesco unaoenda huko? Kama vp kila mtu abaki kwake tu....yaani kimkoa tu kipewe asilimia 4%.....??
PumbafffHawa sio wenzetu tumewapa madaraka wanatuongoza bado hawaridhiki
Usalama gani ?hii hoja ni dhaifu sanaaaaaaa ukweli ni kwamba Zanzibar inahitajika sana katika muungano ndio maana Mwalimu Nyerere alikuwa tayari Kuzika nchi yake ya Tanganyika kwa ajili ya muunganoIsingekuwa mambo ya usalama hao Zenji tungewatema tu, kila siku wao kelele tu hizo 4.6 Trilioni anaona rahisi tu kuzitamka. Ameshindwa kuona ni kwa namna gani Zenji inavyonufaika zaidi na huu muungano kuliko Tanganyika kuanzia ardhi, kazi tukiwarudisha wote huko si kisiwa hicho kitazama na haya mabadiliko ya tabia nchi maana maji ya bahari yanazidi kuongezeka tu
Hakuna Muungano wa nchi mbili kuwa nchi mbili. Hapa tunadanganyana tu,kama kuna kero mama kwenye huu Muungano ni either kila nchi kivyake au tuwe nchi moja sasa wenye mamlaka wanapata kigugumizi kuamua.Fatuma Karume amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inaidai Serikali ya Jamhuri ya Muungano kiasi cha pesa cha trilioni 4.6 kutokana na kupokonywa kutoka kwa wadau mbalimbali wa maendeleo
Fatuma Karume ambaye mara kwa mara hujimwambafai kukulia Ikulu ya Zanzibar na hivyo kuwa anafahamu siri nyingi ameandika kupitia ukurasa wake wa Twitter kuwa Serikali ya Muungano imekuwa na kasumba ya kuipora pesa Zanzibar ambazo zipo Kikatiba na Kisheria juu ya Muungano
My take : Hawa Wazanzibar hawaridhiki kila siku wanaibuka na kero mpya ifike pahali tuunde Serikali moja including Zanzibar iwe kimkoa tu tutumie nguvu tu
USSRView attachment 1768148
Kuliko kuimeza jamhuri ya Zanzibar si bora muiache iendezake hizi fikra zenu za kibabe zina mwisho tu iko siku.Tunahitaji kuwa na serikali moja kuondoa haya malumbano