Fatuma Karume: Zanzibar inaidai Tanzania bara 4.6 trillion

Fatuma Karume: Zanzibar inaidai Tanzania bara 4.6 trillion

Zanzibar = 4,000,000/60,000,000 = 0.0333 = 3.3%. Nadhani ni sahihi wao kupata 4% ya misaada na mikopo, lakini mikopo ni lazima walipie kwa kiasi hichohicho cha 4%.
Zanzibar population yao haiwez kufika 4mil
 
UNA HOJA NZITO

Hili ni agano zito sana..... jiulize nini kiliwaongoza kutumia udongo?

Kwani wangekaa mezani wakaandika na kutia saini isingetosha?

Tena haikutosha udongo peke yake.... udongo kwenye vibuyu na kumimina kwenye chungu🤔

Sijui wakati wanauchanganya waliunenea nini na baada ya hapo waliupeleka wapi na kile chungu na zile vibuyu ila naamini kipo walicholiombea taifa hili katika hilo agano na Mungu alisikia na kubariki
 
Fatuma Karume amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inaidai Serikali ya Jamhuri ya Muungano kiasi cha pesa cha trilioni 4.6 kutokana na kupokonywa kutoka kwa wadau mbalimbali wa maendeleo

Fatuma Karume ambaye mara kwa mara hujimwambafai kukulia Ikulu ya Zanzibar na hivyo kuwa anafahamu siri nyingi ameandika kupitia ukurasa wake wa Twitter kuwa Serikali ya Muungano imekuwa na kasumba ya kuipora pesa Zanzibar ambazo zipo Kikatiba na Kisheria juu ya Muungano

My take : Hawa Wazanzibar hawaridhiki kila siku wanaibuka na kero mpya ifike pahali tuunde Serikali moja including Zanzibar iwe kimkoa tu tutumie nguvu tu


USSRView attachment 1768148
Kwanza kana watoto kweli, na hao watoti baba yao ni nani?
Maana naona anakomaa tu lakini familia yake haijulikani
 
Pesa na gharama zilizotumika kumpa Madaraka Baba yake mwaka 2000 kwa kumpora ushindi Dr Gharib Bilal ndani ya chama na baadae kuporwa Maalim Seif nje ya chama
Baadae bara tukapeleka Dozens za Askari kumlinda hadi wakafa watu wengi wameshatulipa?

Znz watu wameuawa wakati wa Utawala wa Baba na Babu yake tu
 
Tuwaachie zenji tuvitongoji twao kwani shida nini?

Binafsi mpka sasa sjaona faida ya huu muungano.


Huu muungano mm nauona kama commensalism relationship.
 
Wakate kwenye hayo matrilion chenji yao wapewe... kwanini Zanzibar wanalazimishwa kutumia umeme wa Tanesco badala ya kuwa na umeme wao? Je huo umeme wa Tanesco uko Pemba na Kojani?
Kabla ya Tanesco walikuwa wanatumia umeme wa mafuta/generator ambao ni gharama mno
 
Iweke Referendum kama wanautaka muungano.
Mwambieni aweke pia Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania inaidai Zanzibar kiasi gani?! Na wanavyoijaza dunia ndg zetu hawa bila hizi fursa za ubwete ubwete upande wa pili kuanzia ajira,fursa za kibiashara ardhi tena yenye rutuba sijui wangekuwa wageni wa nani.Tanganyika haiitaji Zanzibar kama Zanzibar inavyoihitaji Tanganyika.Iko wazi,hawa wenye uwezo wasiwahadae wenzao wanaojikongoja.
 
Acheni kujibaraguza sasa
Isingekuwa mambo ya usalama hao Zenji tungewatema tu, kila siku wao kelele tu hizo 4.6 Trilioni anaona rahisi tu kuzitamka. Ameshindwa kuona ni kwa namna gani Zenji inavyonufaika zaidi na huu muungano kuliko Tanganyika kuanzia ardhi, kazi tukiwarudisha wote huko si kisiwa hicho kitazama na haya mabadiliko ya tabia nchi maana maji ya bahari yanazidi kuongezeka tu
 
Kabla ya Tanesco walikuwa wanatumia umeme wa mafuta/generator ambao ni gharama mno
Kwa taarifa yako Zanzibar ipo mbioni kuwekeza offshore wind turbines. Teknologia rafiki kwa mazingira na bei nafuu. Siku siyo nyingi Zanzibar itauza nishati ya umeme Tanganyika kupitia marine cable- reversal of fortunes. "The times they are a changin"
 
Back
Top Bottom