peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
CCM ni nambari one
Yani unataka tugawane mkopo lakini deni mtuachie tulilipe wenyewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani unataka tugawane mkopo lakini deni mtuachie tulilipe wenyewe?
Zanzibar population yao haiwez kufika 4milZanzibar = 4,000,000/60,000,000 = 0.0333 = 3.3%. Nadhani ni sahihi wao kupata 4% ya misaada na mikopo, lakini mikopo ni lazima walipie kwa kiasi hichohicho cha 4%.
UNA HOJA NZITO
Tunahitaji kuwa na serikali moja kuondoa haya malumbano
Kwani wameshalipa umeme wa Tanesco unaoenda huko? Kama vp kila mtu abaki kwake tu....yaani kimkoa tu kipewe asilimia 4%.....??
Na tanganyika iko wapi?Huu ndiyo ukweli wenyewe mchungu. Zanzibar ni nchi mojawapo iliyo sehemu ya nchi mbili huru ziundazo JMT. Kwa hiyo stahiki zake zote zitokanazo na mambo yaliyoanishwa ndani ya muungano ni halali yake.
Deni la TANESCO walishalipa?
Kwanza kana watoto kweli, na hao watoti baba yao ni nani?Fatuma Karume amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inaidai Serikali ya Jamhuri ya Muungano kiasi cha pesa cha trilioni 4.6 kutokana na kupokonywa kutoka kwa wadau mbalimbali wa maendeleo
Fatuma Karume ambaye mara kwa mara hujimwambafai kukulia Ikulu ya Zanzibar na hivyo kuwa anafahamu siri nyingi ameandika kupitia ukurasa wake wa Twitter kuwa Serikali ya Muungano imekuwa na kasumba ya kuipora pesa Zanzibar ambazo zipo Kikatiba na Kisheria juu ya Muungano
My take : Hawa Wazanzibar hawaridhiki kila siku wanaibuka na kero mpya ifike pahali tuunde Serikali moja including Zanzibar iwe kimkoa tu tutumie nguvu tu
USSRView attachment 1768148
Zanzibar ni wabaguzi sana.. Na bado
Hii ndio dawa maana tumechoka na chokochoko
Mmeanza msio na haya!
Deni la TANESCO mmelipa?
Halafu hela ya msaada mnataka mgawo, kaombeni na nyie mtupatie!
Kabla ya Tanesco walikuwa wanatumia umeme wa mafuta/generator ambao ni gharama mnoWakate kwenye hayo matrilion chenji yao wapewe... kwanini Zanzibar wanalazimishwa kutumia umeme wa Tanesco badala ya kuwa na umeme wao? Je huo umeme wa Tanesco uko Pemba na Kojani?
Mwambieni aweke pia Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania inaidai Zanzibar kiasi gani?! Na wanavyoijaza dunia ndg zetu hawa bila hizi fursa za ubwete ubwete upande wa pili kuanzia ajira,fursa za kibiashara ardhi tena yenye rutuba sijui wangekuwa wageni wa nani.Tanganyika haiitaji Zanzibar kama Zanzibar inavyoihitaji Tanganyika.Iko wazi,hawa wenye uwezo wasiwahadae wenzao wanaojikongoja.
Acha uteja wewe,zanzibar inamaendeleo gn?Sasa kwani hujui Zanzibar iliendelea mapema kabla ya bara?
Waachie nchi yao uone kama hawajageuka kitovu cha biashara East Africa
Isingekuwa mambo ya usalama hao Zenji tungewatema tu, kila siku wao kelele tu hizo 4.6 Trilioni anaona rahisi tu kuzitamka. Ameshindwa kuona ni kwa namna gani Zenji inavyonufaika zaidi na huu muungano kuliko Tanganyika kuanzia ardhi, kazi tukiwarudisha wote huko si kisiwa hicho kitazama na haya mabadiliko ya tabia nchi maana maji ya bahari yanazidi kuongezeka tu
Kwa taarifa yako Zanzibar ipo mbioni kuwekeza offshore wind turbines. Teknologia rafiki kwa mazingira na bei nafuu. Siku siyo nyingi Zanzibar itauza nishati ya umeme Tanganyika kupitia marine cable- reversal of fortunes. "The times they are a changin"Kabla ya Tanesco walikuwa wanatumia umeme wa mafuta/generator ambao ni gharama mno