Fatuma Karume: Zanzibar inaidai Tanzania bara 4.6 trillion

Fatuma Karume: Zanzibar inaidai Tanzania bara 4.6 trillion

Fatuma Karume amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inaidai Serikali ya Jamhuri ya Muungano kiasi cha pesa cha trilioni 4.6 kutokana na kupokonywa kutoka kwa wadau mbalimbali wa maendeleo

Fatuma Karume ambaye mara kwa mara hujimwambafai kukulia Ikulu ya Zanzibar na hivyo kuwa anafahamu siri nyingi ameandika kupitia ukurasa wake wa Twitter kuwa Serikali ya Muungano imekuwa na kasumba ya kuipora pesa Zanzibar ambazo zipo Kikatiba na Kisheria juu ya Muungano

My take : Hawa Wazanzibar hawaridhiki kila siku wanaibuka na kero mpya ifike pahali tuunde Serikali moja including Zanzibar iwe kimkoa tu tutumie nguvu tu


USSRView attachment 1768148
Umenifurahisha hapo kwenye "my take", umeandika kinyonge sana ni bora ungeacha wadau wakusaidie kujibu hoja instead ya ulichoandika ambacho mbali na kuonyesha umaamuma bali inakudhihirisha umjinga uliyeshindwa kuitetea Jamhuri
 
( inasemekana kuna wakati serikali ya JMT inatoa pesa za kusaidia kulipa mishahara ya SMZ),
Hilo suala lilitokea kipindi cha utawala wa Komandoo ilikua ni late 90's lakini sio kama ni jambo la mara kwa mara

Sawa kabisa. Ndio maana kabla ya madai haya wangefanya tathmini ya mchango wao katika kulipa madeni na kuendesha serikali ya JMT. Aidha, misaada wanayopokea kutoka JMT ( inasemekana kuna wakati serikali ya JMT inatoa pesa za kusaidia kulipa mishahara ya SMZ), madeni wanayodaiwa na taasisi mbalimbali za serikali ya JMT ( pamoja na waliyo samehewa). Kukimbilia tu kupiga hesabu za kile wanachoona ni stahiki na kupiga kelele kuwa wanadhulumiwa sio vizuri.

Amandla...

Wanakimbilia kupiga hisabu sababu Zanzibar wanaidi Bara hela nyingi mno, for the last 10 years haipungui trillion 10, Hizo wanazodaiwa wao na Bara ni hela ndogo ndogo tu, mana kama hio ishu ya umeme hata bilioni 100 haijafika.
 
2 state solution ndio dawa /muarobaini kero za muungano . Hapa jamhuri ya Zanzibar ,n'gambo ya pili ya Zanzibar channel Jamhuri ya Tanganyika. Jamhuri mbili zinaishi kwa amani na upendo milele daima.

Na Tanganyika itaachiwa ilitumia jina la Tanzania kama wanalipenda, mana Zanzibar hwatakua na haja nalo
 
Fatuma Karume amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inaidai Serikali ya Jamhuri ya Muungano kiasi cha pesa cha trilioni 4.6 kutokana na kupokonywa kutoka kwa wadau mbalimbali wa maendeleo

Fatuma Karume ambaye mara kwa mara hujimwambafai kukulia Ikulu ya Zanzibar na hivyo kuwa anafahamu siri nyingi ameandika kupitia ukurasa wake wa Twitter kuwa Serikali ya Muungano imekuwa na kasumba ya kuipora pesa Zanzibar ambazo zipo Kikatiba na Kisheria juu ya Muungano

My take : Hawa Wazanzibar hawaridhiki kila siku wanaibuka na kero mpya ifike pahali tuunde Serikali moja including Zanzibar iwe kimkoa tu tutumie nguvu tu


USSRView attachment 1768148
Hiyo mikopo kama wangepata , je kwenye kulipa nako wangechangia asilimia hiyo 4?
 
Tunahitaji kuwa na serikali moja kuondoa haya malumbano
Hilo hawalitaki hata kulisikia, na kwa kuzingatia idadi ya bara na visiwani inawezekana mgawanyo huo wa mapato wala sio wa usawa,haya mambo ni magumu kweli
 
Hilo suala lilitokea kipindi cha utawala wa Komandoo ilikua ni late 90's lakini sio kama ni jambo la mara kwa mara



Wanakimbilia kupiga hisabu sababu Zanzibar wanaidi Bara hela nyingi mno, for the last 10 years haipungui trillion 10, Hizo wanazodaiwa wao na Bara ni hela ndogo ndogo tu, mana kama hio ishu ya umeme hata bilioni 100 haijafika.
Una hakika gani kuwa hawajasaidiwa zaidi ya hiyo tuliyoambiwa? Ndio maana ni vizuri waweke hesabu zote wazi. Unaweza kukuta wanajipunja. Kinachotakiwa ni uwazi na sio hizi hear say.

Amandla...
 
Isingekuwa mambo ya usalama hao Zenji tungewatema tu, kila siku wao kelele tu hizo 4.6 Trilioni anaona rahisi tu kuzitamka. Ameshindwa kuona ni kwa namna gani Zenji inavyonufaika zaidi na huu muungano kuliko Tanganyika kuanzia ardhi, kazi tukiwarudisha wote huko si kisiwa hicho kitazama na haya mabadiliko ya tabia nchi maana maji ya bahari yanazidi kuongezeka tu
Hawa waliopo bara wakirudi wote huko visiwani watabanana kweli kweli sijui Kama ardhi itawatosha
 
Fatuma Karume amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inaidai Serikali ya Jamhuri ya Muungano kiasi cha pesa cha trilioni 4.6 kutokana na kupokonywa kutoka kwa wadau mbalimbali wa maendeleo

Fatuma Karume ambaye mara kwa mara hujimwambafai kukulia Ikulu ya Zanzibar na hivyo kuwa anafahamu siri nyingi ameandika kupitia ukurasa wake wa Twitter kuwa Serikali ya Muungano imekuwa na kasumba ya kuipora pesa Zanzibar ambazo zipo Kikatiba na Kisheria juu ya Muungano

My take : Hawa Wazanzibar hawaridhiki kila siku wanaibuka na kero mpya ifike pahali tuunde Serikali moja including Zanzibar iwe kimkoa tu tutumie nguvu tu


USSRView attachment 1768148
Mbwa ukimchekea atakufuata hadi msikitini
 
Zanzibar ni wabaguzi sana.. Na bado
Halafu asili yao karibu robo tatu ni huku bara, huko Zenj walihamia tu,kisiwa hakikuwa na watu bali kituo cha meli za uvuvi na biashara, labda Watumbatu ndio wana jeuri ya kujiita Wazanzibari wengi ni wahamiaji tu kuna Wakomoro, wahindi,waoman, Wamalawi . Na huyo anayejimwambafy kwanza sio mzanzibari ni mhamiaji tu asili yake ni Malawi kwa Kamuzu Banda.
 
View attachment 1768230

Hivi Nyerere na Karume walivyochanganya ule udongo wa bara na visiwani kwenye kile chungu waliweka agano gani?

Na baada ya kuuchanganya waliupeleka wapi?

Atakayejua kile chungu kilipo na udongo wake na yale maneno anaweza vunja Muungano.... na sasa sababu hauvunjiki tuunde Serikali moja malalamiko yaishe
Nasikia walienda kukutupa katikati ya bahari ya hindi..kati ya zenji na bara.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom