Fatuma Karume: Zanzibar inaidai Tanzania bara 4.6 trillion

Fatuma Karume: Zanzibar inaidai Tanzania bara 4.6 trillion

Huu ndiyo ukweli wenyewe mchungu. Zanzibar ni nchi mojawapo iliyo sehemu ya nchi mbili huru ziundazo JMT. Kwa hiyo stahiki zake zote zitokanazo na mambo yaliyoanishwa ndani ya muungano ni halali yake.
It is too hard a truth to accept.
 
Fatuma Karume amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inaidai Serikali ya Jamhuri ya Muungano kiasi cha pesa cha trilioni 4.6 kutokana na kupokonywa kutoka kwa wadau mbalimbali wa maendeleo

Fatuma Karume ambaye mara kwa mara hujimwambafai kukulia Ikulu ya Zanzibar na hivyo kuwa anafahamu siri nyingi ameandika kupitia ukurasa wake wa Twitter kuwa Serikali ya Muungano imekuwa na kasumba ya kuipora pesa Zanzibar ambazo zipo Kikatiba na Kisheria juu ya Muungano

My take : Hawa Wazanzibar hawaridhiki kila siku wanaibuka na kero mpya ifike pahali tuunde Serikali moja including Zanzibar iwe kimkoa tu tutumie nguvu tu


USSRView attachment 1768148

Pana haja ya kuangalia bara inaidai Zanzibar kiasi gani?

Hivi hata Tanesco waliwalipa?
 
Nilishangaa sana walipompa urais wa Tls wakati Zanzibar ina chama chao cha sheria, wamezoea kubebwa viongozi wengine walikuwa wanakachekea kasoro Magu alikakomesha.
 
Fatuma Karume amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inaidai Serikali ya Jamhuri ya Muungano kiasi cha pesa cha trilioni 4.6 kutokana na kupokonywa kutoka kwa wadau mbalimbali wa maendeleo

Fatuma Karume ambaye mara kwa mara hujimwambafai kukulia Ikulu ya Zanzibar na hivyo kuwa anafahamu siri nyingi ameandika kupitia ukurasa wake wa Twitter kuwa Serikali ya Muungano imekuwa na kasumba ya kuipora pesa Zanzibar ambazo zipo Kikatiba na Kisheria juu ya Muungano

My take : Hawa Wazanzibar hawaridhiki kila siku wanaibuka na kero mpya ifike pahali tuunde Serikali moja including Zanzibar iwe kimkoa tu tutumie nguvu tu


USSRView attachment 1768148
Huyu dada ana akili timamu kweli? Sio kupayuka payuka tu kama vile yeye ni special one. Tanzania gani anayoitetea kama analeta siasa hizi za kubabaisha? Asisikilizwe.
 
Nani aliyeanza kuuomba huo muungano?,karume ndie alikuja usiku wa mansne kwa mashua kuja kuomba msaada KWE nyerere akiwa ameogopa kupinduliwa na akina prof babu,nyerere akamwanbia sina msaada zaidi ya kkuingiza ndani ya nchi yangu,tuungane,hawatakupindua, tafuta andiko la Frank karros aliekuwa balozi na jasusi wa C,I,A,miaka ya 60,
Huyo CIA ni muongo kama waongo wengine, kwasababu haiwezekani mwenye huitaji anufaike zaidi kuliko asie na huitaji, yaani Nyerere kazika nchi kubwa ya Tanganyika kwasababu ya kanchi kama Zanzibar! !! ukweli unaonekana wala haitajiki CIA kuteleza hizo propaganda zao
 
My take : Hawa Wazanzibar hawaridhiki kila siku wanaibuka na kero mpya ifike pahali tuunde Serikali moja including Zanzibar iwe kimkoa tu tutumie nguvu tu
Hii kero mpya? Umezaliwa jana kwani wewe sio? Jitambue kwanza kabla kuongea pumba
 
hizi ndio kama zile hela tulikuwa tunawadai acacia na barrick...madeni ya nadharia, "profesorio rabish"
 
Yani unataka tugawane mkopo lakini deni mtuachie tulilipe wenyewe?
Ndio shida ya ubaguzi... hawa wakija huku wanajidai wenzetu, wakienda kwao wanatubagua.... dawa ni kuwa na Tanganyika yetu tu.
 
Huu muungani ni kama wa kulazimishana lazimishana vile, body language ya wanzabari wakiwa peke yao ni kama hawautaki ...ila wakija kwenye vikao huku bara sijui nini huwapata !!
Wanaokuja kwenye vikao mara nyingi huwa ni watumwa wa wenye manufaa na muungano.
 
Back
Top Bottom