Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,183
- 2,479
It is too hard a truth to accept.Huu ndiyo ukweli wenyewe mchungu. Zanzibar ni nchi mojawapo iliyo sehemu ya nchi mbili huru ziundazo JMT. Kwa hiyo stahiki zake zote zitokanazo na mambo yaliyoanishwa ndani ya muungano ni halali yake.