Fatuma Karume: Zanzibar inaidai Tanzania bara 4.6 trillion

Fatuma Karume: Zanzibar inaidai Tanzania bara 4.6 trillion

Kuna watu wanasahau kabisa , kuna mambo ya Muungano ambayo serikali ya jamhuri inayagharimia bila mchangonwa zanzibar, kitu kama ulinzi na usalama, zanzibar wana polis na wanajeshi wanaohudumu na wanalipwa na jamhuri, kuna kitu kama bidi ya mikopo inahudumu zanzibar kwa mchango wa serikali ya jamhuri pekee lakin pia necta nk, kuna hata bunge ambalo ni wote wa bara na zenji, wote wanalipwa na kuhudumiwa na serikali ya jamhuri so kudai wao wapewe mgao, walizingatie hili pia
 
Huyo CIA ni muongo kama waongo wengine, kwasababu haiwezekani mwenye huitaji anufaike zaidi kuliko asie na huitaji, yaani Nyerere kazika nchi kubwa ya Tanganyika kwasababu ya kanchi kama Zanzibar! !! ukweli unaonekana wala haitajiki CIA kuteleza hizo propaganda zao
Bro huo ndio ukweli,kipindi kile kulikuwa na vita baridi kati ya urusi na nchi za magharibi zikiongozwa na marekani,prof mohamed babu alipeleka vijana 300 cuba kwa ajiri ya mafunzo ya itikadi ya ujamaa na kijeshi,baadae afisa wa cia ukanda wa afrika mashariki Mr Frank Karlus alipenyeza taarifa kwa karume kuwa kuna mipango ya kupinduliwa na vijana wa itikadi ya ukominist waliopelekwa cuba,ushauri wa karlus ni kuwa ni vzr ukaomba kuungana na tanganyika,ndipo mzee akapiga kasia usiku mpk tanganyika kwa nyerere alipofika akamweleza nyerere,nyerere akakubali,akaulizwa karume na nyerere unataka tufanye lini? Karume akasema hata leo mie niko tayari,alikaa tanganyika kwa mda wa siku 3,
 
Fatuma Karume amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inaidai Serikali ya Jamhuri ya Muungano kiasi cha pesa cha trilioni 4.6 kutokana na kupokonywa kutoka kwa wadau mbalimbali wa maendeleo

Fatuma Karume ambaye mara kwa mara hujimwambafai kukulia Ikulu ya Zanzibar na hivyo kuwa anafahamu siri nyingi ameandika kupitia ukurasa wake wa Twitter kuwa Serikali ya Muungano imekuwa na kasumba ya kuipora pesa Zanzibar ambazo zipo Kikatiba na Kisheria juu ya Muungano

My take : Hawa Wazanzibar hawaridhiki kila siku wanaibuka na kero mpya ifike pahali tuunde Serikali moja including Zanzibar iwe kimkoa tu tutumie nguvu tu


USSRView attachment 1768148
MNAANZA KUIFANYA KAZI YA MAMA KUWA NGUMU
 
Bro huo ndio ukweli,kipindi kile kulikuwa na vita baridi kati ya urusi na nchi za magharibi zikiongozwa na marekani,prof mohamed babu alipeleka vijana 300 cuba kwa ajiri ya mafunzo ya itikadi ya ujamaa na kijeshi,baadae afisa wa cia ukanda wa afrika mashariki Mr Frank Karlus alipenyeza taarifa kwa karume kuwa kuna mipango ya kupinduliwa na vijana wa itikadi ya ukominist waliopelekwa cuba,ushauri wa karlus ni kuwa ni vzr ukaomba kuungana na tanganyika,ndipo mzee akapiga kasia usiku mpk tanganyika kwa nyerere alipofika akamweleza nyerere,nyerere akakubali,akaulizwa karume na nyerere unataka tufanye lini? Karume akasema hata leo mie niko tayari,alikaa tanganyika kwa mda wa siku 3,
Sina cha kukusaidia umeamua kuamini uongo wa mchana kweupee, hivi wewe Karume awe na shida ya namna hiyo nchi yake ibaki mpaka leo, halafu yule ambaye hakuwa na shida ndio aizike Tanganyika yake, ilo jambo haliingii akilini kabisaaa
 
Nakupa hasara moja kubwa tu siku zanzibar wakipewa nchi yao..

Bandari ya dar itageuka kuwa feeder port hili ni zaidi ya anguko huku bara....
Kwani Bandari ni moja tu? uoga mwengine wa ovyooo sanaaaaaaa, hamia Mtwara boresha Bandari tena mtwara ina kina kirefu cha asili, sio kulialiaa vitu ambavyo vina solution kibao
 
Kwani wameshalipa umeme wa Tanesco unaoenda huko? Kama vp kila mtu abaki kwake tu....yaani kimkoa tu kipewe asilimia 4%.....??

Kumbe Mkuu na wewe unalijua hili ka Umeme hahaha
Yaani hawa jamaa sijui kichwani kwao vipi!
Vitu vingine viingi tunawapa bila kodi ujue....
Huku Kwetu tuna wa treaty kama Sisi wa hapa,Wanamiliki everything na Vyeo na Biadhara nk!
Kule kwao mwiko.
Anyway ngoja tuwastahi tuu!
Ila Wakae kimya
 
Kama makubaliano yanasema wapewe 4% basi wapewe. Hakuna kuleta longolongo.

Wazanzibar wanaweza kuweka umeme wa Solar na Upepo ukawatosha, TANESCO kupeleka umeme huko ni kulea uchumba wa muungano tu lakini Wazenji wanavyo vyanzo vizuri vya umeme unaowatosha maana ni nchi ndogo

Sawa Wakija huku hakuna Kumiliki Ardhi kama sisi tukienda kule,Yaani Wa huku akiwnda Kule shaeria kama zote...
Na Sisi tuhamishie zile taratibu huku?
Ziko nyingi tuu Mkuu
 
Isingekuwa mambo ya usalama hao Zenji tungewatema tu, kila siku wao kelele tu hizo 4.6 Trilioni anaona rahisi tu kuzitamka. Ameshindwa kuona ni kwa namna gani Zenji inavyonufaika zaidi na huu muungano kuliko Tanganyika kuanzia ardhi, kazi tukiwarudisha wote huko si kisiwa hicho kitazama na haya mabadiliko ya tabia nchi maana maji ya bahari yanazidi kuongezeka tu

Mkuu samahani Hii point unge m quote kabisa Mtoa mada....huku Bara wanakula bata mnooo kuanzia Kazi,Biashara,Ardhi,Vyakula,Nk nk
 
Ikiwa hawalazimishi kwanini siku zote hizo hawajaukata? Ikiwa hata jeshi liliwahi tishiwa kukatiwa umeme SMZ wao ni nani?
TANESCO wakikupatia umeme bila kukukatia licha ya wewe kuwa na deni wamekulazimisha kutumia huo umeme?

Unaelewa kulazimisha maanayake nini?
 
Back
Top Bottom